Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Featured Image

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)





  1. Tendo la kwanza; Malaika Gabrieli anampasha habari Maria kuwa atakuwa Mama wa Mungu. Tumwombe Mungu atujalie unyenyekevu.
  2. Tendo la pili; Maria Mtakatifu anakwenda kumtembelea Elizabeti. Tumwombe Mungu atujalie mapendo ya jirani.
  3. Tendo la tatu; Yesu anazaliwa Betlehemu. Tumwombe Mungu atujalie moyo wa ufukara
  4. Tendo la nne; Yesu anatolewa hekaluni. Tumwombe Mungu atujalie usafi wa moyo.
  5. Tendo la tano; Maria anamkuta Yesu hekaluni. Tumwombe Mungu atujalie kuwatii wakubwa wetu.




MATENDO YA UCHUNGU (Jumanne na Ijumaa)





  1. Tendo la kwanza; Yesu anatoka jasho la damu kwa ajili yetu. Tumwombe Mungu atujalie sikitiko la dhambi.
  2. Tendo la pili; Yesu anapigwa kwa mijeledi kwa ajili yetu. Tumwombe Mungu atujalie kuacha dhambi za uchafu.
  3. Tendo la tatu; Yesu anatiwa miiba kichwani kwa ajili yetu. Tumwombe Mungu atujalie kushinda kiburi.
  4. Tendo la nne; Yesu anachukua Msalaba kwa ajili yetu. Tumwombe Mungu atujalie kuvumilia taabu.
  5. Tendo la tano; Yesu anakufa Msalabani. Tumwombe Mungu atujalie kuwapenda Yesu na Maria.




MATENDO YA UTUKUFU (Jumatano na Jumapili)





  1. Tendo la kwanza; Yesu anafufuka. Tumwombe Mungu atujalie kugeuka watakatifu.
  2. Tendo la pili; Yesu anapaa mbinguni. Tumwombe Mungu atujalie kwenda mbinguni.
  3. Tendo la tatu; Roho Mtakatifu anawashukia Mitume. Tumwombe Mungu atujalie bidii katika dini yetu.
  4. Tendo la nne; Bikira Maria anapalizwa mbinguni. Tumwombe Mungu atujalie kufa vizuri.
  5. Tendo la tano; Bikira Maria anawekwa Malkia mbinguni. Tumwombe Mungu atujalie kudumu katika njia njema.




MATENDO YA MWANGA (Alhamisi)





  1. Tendo la kwanza; Yesu anabatizwa Mto Jordani. Tumwombe Mungu atujalie uaminifu kwa ahadi zetu za ubatizo.
  2. Tendo la pili; Yesu anageuza maji kuwa divai huko Kana. Tumwombe Mungu atujalie kuukoleza ulimwengu kwa chachu ya enjili.
  3. Tendo la tatu; Yesu anatangaza Ufalme wa Mungu. Tumwombe Mungu atujalie kupokea Ufalme wake kwa toba ya kweli.
  4. Tendo la nne; Yesu anageuka sura. Tumwombe Mungu atujalie neema ya kuung’arisha ulimwengu kwa uso wa Yesu.
  5. Tendo la tano; Yesu anaweka Sakramenti ya Ekaristia. Tumwombe Mungu atujalie neema ya kujitoa sadaka kwa ajili ya wengine.












Karibu Vitatabu vya Kikatoliki









[products orderby="rand" columns="4" category="vitabu-vya-dini" limit="20"]
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Monica Adhiambo (Guest) on July 24, 2017

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Anna Malela (Guest) on July 16, 2017

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Grace Majaliwa (Guest) on July 15, 2017

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Joseph Kitine (Guest) on July 4, 2017

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Diana Mallya (Guest) on June 7, 2017

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

John Lissu (Guest) on January 18, 2017

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Rose Lowassa (Guest) on December 28, 2016

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Mercy Atieno (Guest) on December 15, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Nicholas Wanjohi (Guest) on November 16, 2016

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Patrick Mutua (Guest) on September 7, 2016

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Henry Sokoine (Guest) on June 11, 2016

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Francis Mrope (Guest) on March 14, 2016

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Bernard Oduor (Guest) on February 5, 2016

Dumu katika Bwana.

Grace Majaliwa (Guest) on February 3, 2016

Rehema zake hudumu milele

Elijah Mutua (Guest) on December 25, 2015

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

John Mwangi (Guest) on November 25, 2015

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Thomas Mwakalindile (Guest) on November 19, 2015

Mungu akubariki!

Frank Macha (Guest) on September 17, 2015

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Alex Nakitare (Guest) on September 8, 2015

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Ann Wambui (Guest) on September 4, 2015

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Nora Kidata (Guest) on July 13, 2015

Neema ya Mungu inatosha kwako

Elijah Mutua (Guest) on July 8, 2015

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Alice Mwikali (Guest) on May 15, 2015

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Joyce Mussa (Guest) on May 12, 2015

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Related Posts

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

Kwa nguvu zangu zote za moyo wangu/ ninakuabudu ee Moyo Mtakatifu/ na Mwabudiwa sana,/ Moyo Mtaka... Read More

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Kristo utuhurumie
Bwana utuhurumie ... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina y... Read More

SALA YA IMANI

SALA YA IMANI

Mungu wangu,

nasadiki maneno yote linalosadiki na linalofundisha kanisa katoliki la Roma;Read More

AMRI ZA MUNGU

AMRI ZA MUNGU

1. NDIMI BWANA MUNGU WAKO, USIABUDU MIUNGU WENGINE.
2. USILITAJE BURE JINA LA MUNGU WAKO.Read More

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako... Read More

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Bwana utuhurumie
Bwana utuhurumie B... Read More

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaok... Read More

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

Ee Mtakatifu Teresia wa mtoto Yesu, ulistahili kuitwa Msimamizi wa misioni katoliki za dunia yote... Read More

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubw... Read More

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yes... Read More

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More