Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Featured Image

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima awe golikipa
3.Mwenye mpira ataamua nan acheze na nan asicheze





4.kama haujashiriki kufuma mpira unaweza ucpate namba
5.Ukichaguliwa mwishon ujue uwezo wako ni mdogo kuliko wote
6.Mwenye mpira akikaclika mpira umeisha
7.Inaruhusiwa kubadili golikipa kama ikitokea penat na baada ya apo ataendelea kudaka yule yule
8.Mechi itaisha pale giza linapoingia
9.wale ambao wamekosa namba kazi yao ni kufata mpira ukitoka
10.yule mtaalam wa soka {KM MIMI } huwa hakoc namba ata cku moja!
Ukiikumbuka lazima utabasam!


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

James Kawawa (Guest) on July 2, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

John Mwangi (Guest) on June 28, 2022

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Jackson Makori (Guest) on June 14, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Nyota (Guest) on June 8, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Patrick Kidata (Guest) on May 28, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Leila (Guest) on May 22, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Mariam (Guest) on May 4, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Diana Mallya (Guest) on March 31, 2022

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Victor Malima (Guest) on March 31, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Khalifa (Guest) on March 1, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Samson Tibaijuka (Guest) on January 28, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Nassor (Guest) on January 17, 2022

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Mary Kidata (Guest) on January 17, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Vincent Mwangangi (Guest) on January 6, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Rahma (Guest) on December 8, 2021

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Lucy Mahiga (Guest) on December 5, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Muslima (Guest) on November 25, 2021

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Samson Mahiga (Guest) on November 24, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on November 8, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

George Tenga (Guest) on October 31, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Ruth Kibona (Guest) on October 19, 2021

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Hawa (Guest) on October 12, 2021

πŸ˜„ Kali sana!

Joseph Mallya (Guest) on September 29, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Edwin Ndambuki (Guest) on September 21, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

John Kamande (Guest) on September 19, 2021

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Edith Cherotich (Guest) on September 15, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mahiga (Guest) on September 12, 2021

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Hekima (Guest) on August 25, 2021

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Umi (Guest) on August 23, 2021

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on August 17, 2021

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Sarah Mbise (Guest) on August 7, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

Lucy Wangui (Guest) on August 6, 2021

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on June 21, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Alice Wanjiru (Guest) on June 20, 2021

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Nyota (Guest) on June 13, 2021

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Tabu (Guest) on May 18, 2021

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Miriam Mchome (Guest) on May 16, 2021

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Zakaria (Guest) on May 2, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline!

Jane Muthoni (Guest) on April 26, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Anna Malela (Guest) on April 25, 2021

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Joyce Aoko (Guest) on April 18, 2021

😁 Hii ni dhahabu!

Peter Tibaijuka (Guest) on March 26, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Sarafina (Guest) on March 14, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Irene Makena (Guest) on March 1, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Majaliwa (Guest) on February 25, 2021

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rose Mwinuka (Guest) on January 19, 2021

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Anna Sumari (Guest) on January 17, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on January 16, 2021

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Athumani (Guest) on January 6, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Michael Onyango (Guest) on January 5, 2021

Asante Ackyshine

Janet Wambura (Guest) on December 25, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Stephen Mushi (Guest) on October 6, 2020

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mazrui (Guest) on September 27, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Faith Kariuki (Guest) on September 23, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Monica Adhiambo (Guest) on August 28, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Anthony Kariuki (Guest) on August 1, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

David Musyoka (Guest) on July 8, 2020

🀣 Hii imewaka moto!

Mwinyi (Guest) on June 26, 2020

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Zainab (Guest) on May 30, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Rahma (Guest) on May 22, 2020

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Related Posts

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

<... Read More
Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote!

Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti a... Read More

Simu ilivyozua utata

Simu ilivyozua utata

Mama alichukuwa simu akampa mwanawe. Mama..Mpigie babako mwambie chakula tayari. (Mtoto akachukuw... Read More

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Kasuku alisimama mlango wa kuingia supermarket wakapita wanawake watatu akasema nyeupe, nyekundu, ki... Read More
KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

Ukiona masikin kachinja kuku basi kat ya kuku au yeye kuna mmoja atakua mgonjwa... Read More

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Ukiona hivyo ujue ndio hivi

Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom... Read More

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Angalia anachokisema Madenge sasa

Angalia anachokisema Madenge sasa

MWALIMU kaingia darasani na kusema. "Wanaojijua wajinga wasimame".

MADENGE akasimama peke y... Read More