Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, Aleluya. Utuombee kwa Mungu, Aleluya. Furahi shangilia, ee Bikira Maria, Alaluya. Kwani hakika Bwana amefufuka Aleluya. Tuombe. Ee Mungu, uliyependa kuifurahisha dunia kwa kufufuka kwake Bwana wetu Yesu Kristu, Mwanao: fanyiza, twakuomba, kwa ajili ya Bikira Maria, tupate nasi furaha za uzima wa milele. Tunaomba hayo kwa njia ya Kristu Bwana wetu. Amina.
Malkia wa Mbingu
Date: January 17, 2016
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts
SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU
Ee Moyo Mtakatifu sana wa Yesu, chemchemi ya kila baraka, ninakuabudu, ninakupenda, na kwa majuto... Read More
SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI
SALA YA ASUBUHI
Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More
SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA
Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha ... Read More
Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania
Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More
SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE
Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako... Read More
Sala ya Medali ya Mwujiza
Ee Bikira Maria uliyekingiwa dhambi ya asili, utuombee sisi wenye kukimbilia kwako, uwaombee na w... Read More
SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI
Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yes... Read More
Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu
Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More
Litani ya Bikira Maria
- Bwana utuhurumie
- Bwana utuhurumie
- Kristo utuhurumie
- Bwana utuhurumie... Read More
SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI
Ee Yesu Mfungwa wa Upendo wa Mungu,/ ninapofikiri Upendo wako na jinsi ulivyojitolea kwa ajili ya... Read More
SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA
Ee Mt. Yosefu, tunakuomba kwa ajili ya wale asio na ajira, kwa ajili ya wale wanaotaka kujipatia ... Read More
David Ochieng (Guest) on June 28, 2017
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Victor Kamau (Guest) on May 16, 2017
Baraka kwako na familia yako.
Grace Njuguna (Guest) on May 10, 2017
πβ¨ Neema ya Mungu iwe nawe
Samson Tibaijuka (Guest) on January 28, 2017
Katika imani, yote yanawezekana
Nora Kidata (Guest) on October 28, 2016
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Agnes Sumaye (Guest) on September 2, 2016
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
David Kawawa (Guest) on May 28, 2016
πβ¨ Mungu atupe nguvu
Catherine Naliaka (Guest) on April 29, 2016
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Henry Mollel (Guest) on April 15, 2016
πβ€οΈ Mungu ni mwaminifu
Benjamin Masanja (Guest) on April 8, 2016
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Betty Akinyi (Guest) on March 25, 2016
πππ
Alice Mwikali (Guest) on March 11, 2016
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
David Chacha (Guest) on February 6, 2016
πβ€οΈπ Bwana akujalie baraka
Ruth Mtangi (Guest) on December 19, 2015
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Elizabeth Mrope (Guest) on December 11, 2015
Dumu katika Bwana.
Wilson Ombati (Guest) on November 23, 2015
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Alice Mwikali (Guest) on October 24, 2015
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Emily Chepngeno (Guest) on September 16, 2015
πβ€οΈβ¨ Mungu akujalie furaha
Susan Wangari (Guest) on September 10, 2015
πβ¨ Mungu asikie maombi yetu
Monica Lissu (Guest) on August 27, 2015
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Lydia Mutheu (Guest) on August 24, 2015
Mungu akubariki!
Margaret Mahiga (Guest) on July 30, 2015
Tembea kwa imani, si kwa kuona
David Sokoine (Guest) on April 15, 2015
ππ Mungu akujalie amani