Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, Aleluya. Utuombee kwa Mungu, Aleluya. Furahi shangilia, ee Bikira Maria, Alaluya. Kwani hakika Bwana amefufuka Aleluya. Tuombe. Ee Mungu, uliyependa kuifurahisha dunia kwa kufufuka kwake Bwana wetu Yesu Kristu, Mwanao: fanyiza, twakuomba, kwa ajili ya Bikira Maria, tupate nasi furaha za uzima wa milele. Tunaomba hayo kwa njia ya Kristu Bwana wetu. Amina.
Malkia wa Mbingu
Date: January 17, 2016
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts
Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania
Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More
Sala ya Medali ya Mwujiza
Ee Bikira Maria uliyekingiwa dhambi ya asili, utuombee sisi wenye kukimbilia kwako, uwaombee na w... Read More
SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA
Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha ... Read More
Kuweka nia njema
Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n... Read More
ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA
Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima
(Tumia rosari ya kawaida... Read More
SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI
Ee Yesu Mfungwa wa Upendo wa Mungu,/ ninapofikiri Upendo wako na jinsi ulivyojitolea kwa ajili ya... Read More
LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO
Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Bwana utuhurumie
Bwana utuhurumie B...
Read More
KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU
Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More
SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU
Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti T... Read More
SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU
Ee Mtakatifu Teresia wa mtoto Yesu, ulistahili kuitwa Msimamizi wa misioni katoliki za dunia yote... Read More
David Ochieng (Guest) on June 28, 2017
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Victor Kamau (Guest) on May 16, 2017
Baraka kwako na familia yako.
Grace Njuguna (Guest) on May 10, 2017
πβ¨ Neema ya Mungu iwe nawe
Samson Tibaijuka (Guest) on January 28, 2017
Katika imani, yote yanawezekana
Nora Kidata (Guest) on October 28, 2016
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Agnes Sumaye (Guest) on September 2, 2016
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
David Kawawa (Guest) on May 28, 2016
πβ¨ Mungu atupe nguvu
Catherine Naliaka (Guest) on April 29, 2016
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Henry Mollel (Guest) on April 15, 2016
πβ€οΈ Mungu ni mwaminifu
Benjamin Masanja (Guest) on April 8, 2016
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Betty Akinyi (Guest) on March 25, 2016
πππ
Alice Mwikali (Guest) on March 11, 2016
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
David Chacha (Guest) on February 6, 2016
πβ€οΈπ Bwana akujalie baraka
Ruth Mtangi (Guest) on December 19, 2015
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Elizabeth Mrope (Guest) on December 11, 2015
Dumu katika Bwana.
Wilson Ombati (Guest) on November 23, 2015
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Alice Mwikali (Guest) on October 24, 2015
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Emily Chepngeno (Guest) on September 16, 2015
πβ€οΈβ¨ Mungu akujalie furaha
Susan Wangari (Guest) on September 10, 2015
πβ¨ Mungu asikie maombi yetu
Monica Lissu (Guest) on August 27, 2015
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Lydia Mutheu (Guest) on August 24, 2015
Mungu akubariki!
Margaret Mahiga (Guest) on July 30, 2015
Tembea kwa imani, si kwa kuona
David Sokoine (Guest) on April 15, 2015
ππ Mungu akujalie amani