Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Novena ya Noeli

Featured Image

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku wa Noeli, tar 24 Disemba. Inajulikana kama novena ya Mt. Andrea kwa sababu novena hii huanza kusaliwa katika siku ya kumbukumbu ya Mt. Andrea Mtume.

"IHESHIMIWE, NA IBARIKIWE, SAA ILE NA WAKATI ULE, AMBAO MWANA WA MUNGU, ALIZALIWA NA BIKIRA MBARIKIWA SANA, USIKU WA MANANE, KULE BETHLEHEM, WAKATI WA BARIDI KALI.
WAKATI HUO, UPENDE E MUNGU WANGU, KUSIKIA MAOMBI YANGU, NA KUNIJALIA YALE NINAYOYAOMBA KWAKO, KWA NJIA YA MASTAHILI YA MWOKOZI WETU YESU KRISTO, NA YA MAMA YAKE MBARIKIWA. AMINA. (Sali mara 15 kwa siku).

Inasadikika kuwa chochote uombacho kwa imani kwa sala hii utakipata mradi kipatane na mapenzi ya Mungu. Sali na watoto/ familia kuwatafakarisha na kuwaongezea matazamio juu ya sikukuu ya Noeli.

Isambaze sala hii kwa wengine.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Ann Wambui (Guest) on July 13, 2024

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Betty Akinyi (Guest) on July 12, 2024

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Joseph Kiwanga (Guest) on April 6, 2024

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Anthony Kariuki (Guest) on March 5, 2024

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Sharon Kibiru (Guest) on October 15, 2023

Rehema zake hudumu milele

George Mallya (Guest) on July 29, 2023

Mungu ni mwema, wakati wote!

James Malima (Guest) on June 27, 2023

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Mariam Hassan (Guest) on June 15, 2023

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Irene Makena (Guest) on May 31, 2023

Dumu katika Bwana.

Chris Okello (Guest) on May 19, 2023

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Ann Awino (Guest) on May 1, 2023

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Guest (Guest) on January 30, 2026

AMINA

Jane Malecela (Guest) on December 27, 2022

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Anna Kibwana (Guest) on December 25, 2022

Neema ya Mungu inatosha kwako

Betty Kimaro (Guest) on December 2, 2022

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Nancy Komba (Guest) on November 17, 2022

Imani inaweza kusogeza milima

Joyce Mussa (Guest) on November 4, 2022

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Patrick Kidata (Guest) on September 25, 2022

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Carol Nyakio (Guest) on September 12, 2022

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Grace Mushi (Guest) on September 9, 2022

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

James Kawawa (Guest) on July 21, 2022

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Michael Onyango (Guest) on June 26, 2022

Rehema hushinda hukumu

Betty Kimaro (Guest) on March 21, 2022

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Charles Mrope (Guest) on December 17, 2021

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Thomas Mtaki (Guest) on September 5, 2021

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Elijah Mutua (Guest) on August 6, 2021

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Monica Nyalandu (Guest) on July 19, 2021

Nguvu hutoka kwa Bwana

Joyce Nkya (Guest) on June 5, 2021

Mungu akubariki!

James Mduma (Guest) on May 27, 2021

Tumaini ni nanga ya roho

Lucy Kimotho (Guest) on May 8, 2021

πŸ™πŸ™πŸ™

Janet Sumaye (Guest) on April 11, 2021

Mwamini Bwana; anajua njia

Elizabeth Malima (Guest) on March 6, 2021

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Charles Wafula (Guest) on March 5, 2021

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Irene Akoth (Guest) on January 22, 2021

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Nancy Kawawa (Guest) on January 4, 2021

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Diana Mallya (Guest) on December 28, 2020

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Ruth Wanjiku (Guest) on December 25, 2020

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Michael Onyango (Guest) on December 13, 2020

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Agnes Sumaye (Guest) on November 27, 2020

Nakuombea πŸ™

Agnes Lowassa (Guest) on November 27, 2020

Kwa Mungu, yote yanawezekana

David Musyoka (Guest) on November 16, 2020

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Kevin Maina (Guest) on September 10, 2020

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Nancy Akumu (Guest) on August 31, 2020

Neema na amani iwe nawe.

Lydia Mahiga (Guest) on August 2, 2020

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Joseph Kawawa (Guest) on May 27, 2020

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Linda Karimi (Guest) on May 8, 2020

Amina

Lucy Mushi (Guest) on April 3, 2020

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Charles Mboje (Guest) on February 1, 2020

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Mariam Kawawa (Guest) on December 27, 2019

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Jane Muthui (Guest) on July 17, 2019

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Christopher Oloo (Guest) on May 2, 2019

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Martin Otieno (Guest) on February 16, 2019

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Henry Sokoine (Guest) on February 7, 2019

Endelea kuwa na imani!

Moses Mwita (Guest) on January 20, 2019

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Francis Mtangi (Guest) on October 25, 2018

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Grace Mushi (Guest) on October 8, 2018

Mwamini katika mpango wake.

Betty Kimaro (Guest) on August 1, 2018

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Patrick Mutua (Guest) on July 28, 2018

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Moses Mwita (Guest) on July 12, 2018

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Related Posts

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubw... Read More

Sala ya Malaika wa Bwana

Sala ya Malaika wa Bwana

Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria, naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Salamu M... Read More

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Read More

SALA YA KUTUBU

SALA YA KUTUBU

Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukiz... Read More

SALA YA IMANI

SALA YA IMANI

Mungu wangu,

nasadiki maneno yote linalosadiki na linalofundisha kanisa katoliki la Roma;Read More

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

Ee Mtakatifu Teresia wa mtoto Yesu, ulistahili kuitwa Msimamizi wa misioni katoliki za dunia yote... Read More

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu wa Yesu, ninakukimbilia, ninakuja kwako katika mikono yako yenye huruma. Ndiwe ... Read More

Malkia wa Mbingu

Malkia wa Mbingu

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More

Majitoleo kwa Bikira Maria

Majitoleo kwa Bikira Maria

(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na... Read More

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

Sala ya Saa Tisa

Sala ya Saa Tisa

✝⌚✝

Sala ya saa tisaπŸ™πŸΎ

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.... Read More