Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

AMRI ZA MUNGU

Featured Image

1. NDIMI BWANA MUNGU WAKO, USIABUDU MIUNGU WENGINE.
2. USILITAJE BURE JINA LA MUNGU WAKO.
3. SHIKA KITAKATIFU SIKU YA MUNGU.
4. WAHESHIMU BABA NA MAMA, UPATE MIAKA MINGI NA HERI DUNIANI.
5. USIUE
6. USIZINI
7. USIIBE
8. USISEME UONGO
9. USITAMANI MWANAMKE ASIYE MKE WAKO
10. USITAMANI MALI YA MTU MWINGINE

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Josephine Nduta (Guest) on September 20, 2017

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

John Mwangi (Guest) on August 21, 2017

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Nancy Akumu (Guest) on July 29, 2017

Imani inaweza kusogeza milima

Elizabeth Mtei (Guest) on May 31, 2017

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Josephine Nduta (Guest) on May 30, 2017

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

James Kawawa (Guest) on May 25, 2017

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 24, 2017

πŸ™πŸ™πŸ™

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 12, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Alex Nakitare (Guest) on January 30, 2017

Mungu ni mwema, wakati wote!

Irene Makena (Guest) on December 31, 2016

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Samson Mahiga (Guest) on December 3, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Agnes Njeri (Guest) on November 19, 2016

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Jane Muthui (Guest) on October 13, 2016

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Lydia Mzindakaya (Guest) on September 1, 2016

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Charles Mboje (Guest) on September 1, 2016

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Irene Makena (Guest) on August 7, 2016

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Jane Muthoni (Guest) on May 31, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Joy Wacera (Guest) on May 14, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Ruth Kibona (Guest) on February 15, 2016

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Janet Wambura (Guest) on October 18, 2015

Sifa kwa Bwana!

Henry Sokoine (Guest) on September 11, 2015

Mungu akubariki!

Nancy Akumu (Guest) on July 29, 2015

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Joy Wacera (Guest) on July 17, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Related Posts

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako... Read More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ... Read More

SALA YA KUTUBU

SALA YA KUTUBU

Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukiz... Read More

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu wa Yesu, ninakukimbilia, ninakuja kwako katika mikono yako yenye huruma. Ndiwe ... Read More

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Bwana utuhurumie
Bwana utuhurumie B... Read More

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

Kwa nguvu zangu zote za moyo wangu/ ninakuabudu ee Moyo Mtakatifu/ na Mwabudiwa sana,/ Moyo Mtaka... Read More

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubw... Read More

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More