Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee, Bwana wetu;/ aliyetungwa kwa Roho Mtakatifu,/ akazaliwa na Bikira Maria,/ akateswa kwa mamlaka ya Ponsyo Pilato,/ akasulubiwa, akafa, akazikwa,/ akashukia kuzimu;/ siku ya tatu akafufuka katika wafu;/ akapaa mbinguni;/ amekaa kuume kwa Mungu Baba Mwenyezi;/ toka huko atakuja kuwahukumu wazima na wafu. Nasadiki kwa Roho Mtakatifu,/ Kanisa takatifu katoliki,/ ushirika wa Watakatifu,/ maondoleo ya dhambi,/ ufufuko wa miili,/ uzima wa milele. Amina.
Kanuni ya imani
Date: December 17, 2016
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts
SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI
Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yes... Read More
ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA
Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More
SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU
Kwa nguvu zangu zote za moyo wangu/ ninakuabudu ee Moyo Mtakatifu/ na Mwabudiwa sana,/ Moyo Mtaka... Read More
SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI
SALA YA ASUBUHI
Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More
SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)
Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More
Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu
Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More
LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II
Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More
SALA YA KUTUBU
Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukiz... Read More
SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE
Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubw... Read More
SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO
ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA
Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo ... Read More
SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU
Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh... Read More
Elijah Mutua (Guest) on August 19, 2017
ππ Nakusihi Mungu
Jane Malecela (Guest) on July 24, 2017
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Susan Wangari (Guest) on July 2, 2017
πβ€οΈβ¨ Asante Mungu kwa kila kitu
Ruth Kibona (Guest) on June 23, 2017
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Raphael Okoth (Guest) on June 21, 2017
πβ€οΈπ Asante Mungu kwa uhai
Carol Nyakio (Guest) on April 14, 2017
Nguvu hutoka kwa Bwana
Elizabeth Mrema (Guest) on April 2, 2017
Sifa kwa Bwana!
Charles Mrope (Guest) on March 9, 2017
πππ
Robert Okello (Guest) on November 3, 2016
πβ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike
Patrick Kidata (Guest) on October 22, 2016
Tembea kwa imani, si kwa kuona
George Tenga (Guest) on October 20, 2016
πππ« Mungu ni mwema
Margaret Mahiga (Guest) on August 23, 2016
Imani inaweza kusogeza milima
Victor Mwalimu (Guest) on June 28, 2016
πβ€οΈπ Bwana akujalie baraka
Rose Amukowa (Guest) on April 1, 2016
Neema ya Mungu inatosha kwako
Joseph Kawawa (Guest) on March 5, 2016
πππ
Chris Okello (Guest) on January 3, 2016
ππ Mbarikiwe sana
Rose Waithera (Guest) on October 23, 2015
Baraka kwako na familia yako.
Elizabeth Mtei (Guest) on September 26, 2015
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Andrew Mahiga (Guest) on August 23, 2015
πβ€οΈ Mungu akubariki
Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 18, 2015
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Elizabeth Mrope (Guest) on July 7, 2015
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Anthony Kariuki (Guest) on July 2, 2015
Mungu akubariki!
Diana Mumbua (Guest) on June 22, 2015
πβ€οΈ Mungu ni mlinzi wetu