Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Malkia wa Mbingu

Featured Image

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, Aleluya. Utuombee kwa Mungu, Aleluya. Furahi shangilia, ee Bikira Maria, Alaluya. Kwani hakika Bwana amefufuka Aleluya. Tuombe. Ee Mungu, uliyependa kuifurahisha dunia kwa kufufuka kwake Bwana wetu Yesu Kristu, Mwanao: fanyiza, twakuomba, kwa ajili ya Bikira Maria, tupate nasi furaha za uzima wa milele. Tunaomba hayo kwa njia ya Kristu Bwana wetu. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Frank Macha (Guest) on June 24, 2024

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Nicholas Wanjohi (Guest) on May 24, 2024

Mwamini katika mpango wake.

Elizabeth Mrope (Guest) on May 15, 2024

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Mariam Hassan (Guest) on May 1, 2024

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Diana Mallya (Guest) on April 20, 2024

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Janet Mbithe (Guest) on February 11, 2024

Nakuombea πŸ™

Grace Mushi (Guest) on December 28, 2023

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Nancy Kawawa (Guest) on December 26, 2023

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Paul Kamau (Guest) on November 27, 2023

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Thomas Mtaki (Guest) on November 19, 2023

Nguvu hutoka kwa Bwana

Stephen Kangethe (Guest) on April 18, 2023

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Francis Njeru (Guest) on March 24, 2023

Tumaini ni nanga ya roho

Kevin Maina (Guest) on December 2, 2022

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Robert Okello (Guest) on September 18, 2022

Endelea kuwa na imani!

Kenneth Murithi (Guest) on August 11, 2022

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Hellen Nduta (Guest) on July 11, 2022

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Catherine Naliaka (Guest) on June 20, 2022

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Joyce Aoko (Guest) on February 4, 2022

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Grace Wairimu (Guest) on December 7, 2021

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Francis Njeru (Guest) on August 26, 2021

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Thomas Mwakalindile (Guest) on July 9, 2021

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Andrew Mchome (Guest) on May 21, 2021

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Elizabeth Mrema (Guest) on May 15, 2021

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Rose Waithera (Guest) on April 29, 2021

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

George Ndungu (Guest) on March 24, 2021

Neema na amani iwe nawe.

Victor Sokoine (Guest) on March 21, 2021

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Edith Cherotich (Guest) on February 19, 2021

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Victor Malima (Guest) on January 23, 2021

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Samuel Were (Guest) on October 15, 2020

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Janet Mbithe (Guest) on October 2, 2020

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Christopher Oloo (Guest) on September 7, 2020

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Victor Kimario (Guest) on August 30, 2020

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Emily Chepngeno (Guest) on April 22, 2020

Sifa kwa Bwana!

Victor Sokoine (Guest) on April 4, 2020

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Joseph Njoroge (Guest) on February 20, 2020

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Fredrick Mutiso (Guest) on February 6, 2020

Amina

Andrew Mchome (Guest) on December 31, 2019

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Patrick Kidata (Guest) on December 14, 2019

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

David Ochieng (Guest) on November 17, 2019

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Janet Mbithe (Guest) on October 4, 2019

Mwamini Bwana; anajua njia

Grace Wairimu (Guest) on September 8, 2019

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Moses Mwita (Guest) on September 7, 2019

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Tabitha Okumu (Guest) on August 31, 2019

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Charles Wafula (Guest) on June 15, 2019

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

John Lissu (Guest) on May 17, 2019

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Miriam Mchome (Guest) on March 7, 2019

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Elizabeth Mtei (Guest) on January 25, 2019

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Rose Amukowa (Guest) on October 16, 2018

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Andrew Odhiambo (Guest) on September 28, 2018

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Lucy Mahiga (Guest) on September 6, 2018

Imani inaweza kusogeza milima

Janet Mbithe (Guest) on August 24, 2018

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Betty Akinyi (Guest) on May 19, 2018

Wakati wa Mungu ni kamilifu

John Mwangi (Guest) on May 4, 2018

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Victor Kimario (Guest) on April 9, 2018

Neema ya Mungu inatosha kwako

Bernard Oduor (Guest) on January 9, 2018

Rehema zake hudumu milele

Joseph Kitine (Guest) on January 9, 2018

πŸ™πŸ™πŸ™

Anna Mchome (Guest) on December 25, 2017

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Dorothy Majaliwa (Guest) on December 6, 2017

Rehema hushinda hukumu

Samson Tibaijuka (Guest) on October 18, 2017

Mungu ni mwema, wakati wote!

Agnes Lowassa (Guest) on July 8, 2017

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Related Posts

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaok... Read More

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

Sali Atukuzwe 7 kwa heshima ya Malaika 7 wateule ujipatie neema ya kuepa dhambi mbaya saba na kut... Read More

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubw... Read More

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

SALA YA MAPENDO

SALA YA MAPENDO

Mungu wangu,

nakupenda zaidi ya cho chote,

kwani ndiwe mwema,

ndiwe mwenye kupe... Read More

SALA YA JIONI

SALA YA JIONI

TUNAKUSHUKURU, EE MUNGU KWA MAPAJI YOTE ULIYOTUJALIA LEO AMINA


BABA YETU…………β... Read More

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ... Read More

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

Majitoleo kwa Bikira Maria

Majitoleo kwa Bikira Maria

(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na... Read More

SALA YA MATUMAINI

SALA YA MATUMAINI

Mungu wangu,

natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,

neema zako duniani na ... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

Ee Mt. Yosefu, tunakuomba kwa ajili ya wale asio na ajira, kwa ajili ya wale wanaotaka kujipatia ... Read More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More