Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Featured Image

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sala, matendo, kazi, masumbuko, na furaha zangu zote za siku hii ya leo, kwa ajili ya nia za Moyo wako Mtakatifu, Ee Yesu ufalme wako utufikie!

Baba Yetu….
Salamu Maria, …..
Nasadiki …….
Amri za Mungu ……
Amri za Kanisa ……

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

John Mwangi (Guest) on January 11, 2018

Rehema hushinda hukumu

Nora Lowassa (Guest) on November 7, 2017

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

John Malisa (Guest) on September 8, 2017

Baraka kwako na familia yako.

Lucy Mushi (Guest) on July 20, 2017

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Patrick Kidata (Guest) on April 21, 2017

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Sharon Kibiru (Guest) on April 18, 2017

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Stephen Kangethe (Guest) on March 3, 2017

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Grace Wairimu (Guest) on February 12, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Edith Cherotich (Guest) on December 11, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Peter Mwambui (Guest) on November 24, 2016

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Catherine Naliaka (Guest) on November 16, 2016

Rehema zake hudumu milele

Simon Kiprono (Guest) on November 9, 2016

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Lucy Mahiga (Guest) on October 14, 2016

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Nicholas Wanjohi (Guest) on September 28, 2016

Mwamini katika mpango wake.

Susan Wangari (Guest) on June 5, 2016

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Robert Okello (Guest) on April 27, 2016

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Jane Malecela (Guest) on April 1, 2016

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Tabitha Okumu (Guest) on March 31, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

John Mushi (Guest) on December 24, 2015

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Edith Cherotich (Guest) on November 14, 2015

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Francis Njeru (Guest) on November 2, 2015

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Nora Lowassa (Guest) on June 1, 2015

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Martin Otieno (Guest) on May 18, 2015

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Related Posts

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako... Read More

Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)