Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Featured Image

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani nikatamani fursana nikaingia kijisupermarket mara sindo nakutana na ex wangu! Mshenzi yule kaniona mimi sijui alikua na mpango wa kununua vocha ya jero eti kabadili kanunua vocha ya buku tano ilimradi nione maisha yake safi tangu tuachane. Mambo ya kijinga spendi kudadeky nimetoa buku kumi nikanunua mipampers nami nijifanye nimeowa nina mtoto halafu huyoo nikashika njia yangu.

Sasa washkaji zangu tafadhalini mwenye mtoto au shida ya pampers naomba anunue kwangu maana leo nalala tena kiza πŸ™†β€β™‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Hellen Nduta (Guest) on January 18, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Joseph Kitine (Guest) on January 18, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Alice Mrema (Guest) on January 15, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Mwafirika (Guest) on January 15, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

Frank Sokoine (Guest) on December 25, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Thomas Mtaki (Guest) on November 19, 2021

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Catherine Mkumbo (Guest) on October 2, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Christopher Oloo (Guest) on September 22, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Francis Mtangi (Guest) on September 20, 2021

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Stephen Amollo (Guest) on September 1, 2021

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Mrema (Guest) on August 25, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Rose Lowassa (Guest) on August 10, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Betty Kimaro (Guest) on July 26, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on June 29, 2021

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Bernard Oduor (Guest) on June 27, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

George Ndungu (Guest) on June 25, 2021

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on June 5, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Michael Onyango (Guest) on April 21, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on April 11, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Zulekha (Guest) on April 5, 2021

πŸ˜‚ Kali sana!

Husna (Guest) on March 31, 2021

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on March 6, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on February 21, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Charles Mchome (Guest) on February 18, 2021

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Grace Njuguna (Guest) on February 14, 2021

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

James Kimani (Guest) on February 13, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on February 4, 2021

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Fikiri (Guest) on January 28, 2021

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Sarah Mbise (Guest) on January 24, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on January 4, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Anna Mahiga (Guest) on November 19, 2020

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Rose Lowassa (Guest) on October 6, 2020

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on October 6, 2020

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Alice Wanjiru (Guest) on October 1, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Fredrick Mutiso (Guest) on September 1, 2020

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Wande (Guest) on August 28, 2020

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on August 12, 2020

πŸ˜‚πŸ˜…

Thomas Mtaki (Guest) on July 19, 2020

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Alice Mwikali (Guest) on July 19, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Monica Nyalandu (Guest) on July 19, 2020

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Hekima (Guest) on July 3, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mwakisu (Guest) on June 30, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Janet Wambura (Guest) on June 14, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on June 1, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Sarah Achieng (Guest) on May 6, 2020

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Baraka (Guest) on May 1, 2020

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

John Lissu (Guest) on April 22, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Robert Ndunguru (Guest) on March 17, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

David Kawawa (Guest) on March 11, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Mary Kendi (Guest) on February 7, 2020

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Alice Mwikali (Guest) on January 13, 2020

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Majid (Guest) on January 9, 2020

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Dorothy Nkya (Guest) on December 11, 2019

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Lydia Wanyama (Guest) on December 4, 2019

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Mtumwa (Guest) on December 3, 2019

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

David Musyoka (Guest) on November 25, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Vincent Mwangangi (Guest) on November 7, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Grace Majaliwa (Guest) on November 7, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Mwanaidha (Guest) on November 4, 2019

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Sharon Kibiru (Guest) on October 27, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Related Posts

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Ukiona hivyo ujue ndio hivi

Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom... Read More

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanam... Read More

Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More

Mambo ya pesa haya..

Mambo ya pesa haya..

MAMBO YA FEDHA AISEE……. Kuna jamaa alipewa shilingi 983628763600/= …acha uvivu, najua hujas... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Huyu ndo mwanamke

Huyu ndo mwanamke

Akikuta PESA wakati anafua atapiga kimya kimya, sasa ngoja akute umeacha CONDOM ndo utajua kama u... Read More

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Ukioa mke asiyesoma hata hili unaweza kufanya

KUOA MKE AMBAE HAJASOMA RAHA SANA LEO... Read More

Mcheki Chizi na daktari

Mcheki Chizi na daktari

Tafakari na ujumbe huuuu!!!…

DAKTARI :- Unajisikiaje?

CHIZI:-Kila siku naota nyani ... Read More