Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Wanaume wote ni waaminifu

Featured Image

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Mwanaume mmoja alienda kukata miti kwa ajili ya mkaa, bahati mbaya panga likadondokea mtoni, akaanza kulia sana. Malaika akatokea na kumuuliza kwanini analia. Jamaa akajibu; "Panga langu limedondokea mtoni na ndilo ninalotegemea kuendeshea maisha yangu".

Malaika akazama mtoni na kuibika na panga la DHAHABU na kumuuliza, ndio hili?

Jamaa: Hapana.

Malaika akazama tena na kuibuka na panga la SHABA na kuuliza, ndio hili?

Jamaa: Hapana.

Malaika akazama tena mara hii akaibuka na panga la CHUMA na kuuliza ndio hili?

Jamaa: NDIYO.

Malaika akafurahishwa sana na uaminifu wake hivyo akampa mapanga yote matatu. Jamaa akafurahi sana.

Siku nyingine jamaa alikuwa anatembea na mkewe njiani ghafla mke akadondokea mtoni, jamaa akaanza kulia. Malaika akatokea na kumuuliza: Kwanini unalia?

Jamaa: Mke wangu kadondokea mtoni na nampenda sana.

Malaika akazama mtoni akaibuka na WEMA SEPETU na kuuliza; "huyu ndiye mkeo?"

Jamaa: NDIYO.

Malaika akakasirika sana na kumuuliza: kwa nini umenidanganya?

Jamaa: Nimesema ndiyo kwa sababu ningesema hapana ungezama tena na kuibuka na AUNT EZEKIEL na ningesema hapana tena ungezama na kuibuka na MKE wangu alafu ningesema ndiyo ungenipa wote watatu!

Sasa mimi maskini sina uwezo wa kuhudumia wote hao, ndio maana nikasema NDIYO kwa Wema Sepetu.

*FUNDISHO*
Wanaume huwa hatusemi uongo bila sababu na inakuwa sababu maalumu kwa faida ya wote.

WANAUME WOTE NI WAAMINIFU. Hii ndiyo kauli mbiu yetu.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Janet Mwikali (Guest) on November 12, 2021

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Richard Mulwa (Guest) on November 7, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Salima (Guest) on October 10, 2021

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Ruth Mtangi (Guest) on October 3, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Joyce Mussa (Guest) on October 2, 2021

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

George Tenga (Guest) on September 13, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on September 4, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Betty Cheruiyot (Guest) on August 24, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

Ruth Mtangi (Guest) on August 24, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Samson Mahiga (Guest) on August 20, 2021

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on August 2, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on July 25, 2021

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Anna Malela (Guest) on July 24, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

David Chacha (Guest) on July 5, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on June 26, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Patrick Mutua (Guest) on June 25, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Warda (Guest) on June 18, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Joyce Aoko (Guest) on June 15, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Kitine (Guest) on June 9, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on May 20, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Maneno (Guest) on May 14, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Janet Mwikali (Guest) on May 5, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nancy Kawawa (Guest) on April 27, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Mhina (Guest) on April 26, 2021

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Charles Mrope (Guest) on April 25, 2021

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Mwakisu (Guest) on April 13, 2021

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Irene Akoth (Guest) on April 10, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Grace Mligo (Guest) on April 7, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Betty Kimaro (Guest) on March 21, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Francis Mtangi (Guest) on March 19, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Alice Mrema (Guest) on February 22, 2021

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Ruth Wanjiku (Guest) on February 3, 2021

πŸ˜… Bado ninacheka!

Lydia Mahiga (Guest) on January 11, 2021

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Jackson Makori (Guest) on December 26, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Nora Kidata (Guest) on December 24, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joseph Kitine (Guest) on December 19, 2020

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Betty Akinyi (Guest) on December 18, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Halimah (Guest) on December 10, 2020

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Benjamin Masanja (Guest) on November 15, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Edward Chepkoech (Guest) on November 8, 2020

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Stephen Kikwete (Guest) on October 26, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on October 23, 2020

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Charles Mboje (Guest) on August 2, 2020

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sultan (Guest) on July 30, 2020

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Peter Mwambui (Guest) on July 26, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Joyce Aoko (Guest) on June 17, 2020

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Thomas Mtaki (Guest) on June 13, 2020

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Kikwete (Guest) on May 31, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Mary Njeri (Guest) on April 10, 2020

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 28, 2020

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on March 16, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Nyota (Guest) on February 17, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mary Kidata (Guest) on February 12, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Elizabeth Mtei (Guest) on February 9, 2020

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Frank Sokoine (Guest) on February 1, 2020

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Sarah Achieng (Guest) on January 21, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Paul Ndomba (Guest) on January 1, 2020

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Lydia Mutheu (Guest) on December 21, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Margaret Mahiga (Guest) on December 19, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on December 15, 2019

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Related Posts

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwamb... Read More

Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujita... Read More
Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Kama Nyani na ngedere wangekuwa na pesa…

Trust me Kuna wanawa... Read More

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Pale unapokuwa umefulia sana…

Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile S... Read More

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Angalia anachokisema Madenge sasa

Angalia anachokisema Madenge sasa

MWALIMU kaingia darasani na kusema. "Wanaojijua wajinga wasimame".

MADENGE akasimama peke y... Read More

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?

Bin... Read More

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More