Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Featured Image

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe walale tu halafu ananyata mdogo mdogo mpaka chumbani kwa binamu yake.

Siku moja umeme ulikuwa umekatika ikabidi aamue kuvua nguo kabisachumbani kwake….

Akanyata taratibua akafungua mlango akazama chumbani kwa mjomba ake bila kujua, ghafla umeme ukarudi…

MJOMBA; we mshenzi umefata nini chumbani kwangu tena uko uchi

JAMAA; nimekuja kukuaga kesho naondoka

MJOMBA; ndo uje uchi?

JAMAA; ndio kwasababu nimeshapaki kila kitu kwenye begi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Faith Kariuki (Guest) on April 11, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Nancy Kawawa (Guest) on April 2, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Janet Sumaye (Guest) on March 31, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Esther Cheruiyot (Guest) on March 25, 2022

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Victor Mwalimu (Guest) on March 2, 2022

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Kevin Maina (Guest) on February 10, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Hellen Nduta (Guest) on February 2, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Joseph Njoroge (Guest) on January 4, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline!

Binti (Guest) on January 3, 2022

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Monica Nyalandu (Guest) on December 15, 2021

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Maimuna (Guest) on October 23, 2021

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Isaac Kiptoo (Guest) on August 24, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on August 2, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Khamis (Guest) on July 28, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Diana Mumbua (Guest) on July 21, 2021

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Charles Mboje (Guest) on July 3, 2021

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Grace Majaliwa (Guest) on June 26, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Mwachumu (Guest) on June 22, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Henry Sokoine (Guest) on June 22, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Baraka (Guest) on May 11, 2021

😁 Kicheko bora ya siku!

Lucy Wangui (Guest) on April 22, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Mary Sokoine (Guest) on March 11, 2021

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Jane Muthui (Guest) on February 17, 2021

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Elizabeth Malima (Guest) on February 10, 2021

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Joseph Kawawa (Guest) on January 4, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on December 30, 2020

πŸ˜‚πŸ˜†

Anna Sumari (Guest) on December 26, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Edith Cherotich (Guest) on December 1, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Samson Mahiga (Guest) on November 26, 2020

πŸ˜„ Kichekesho gani!

David Kawawa (Guest) on November 20, 2020

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Stephen Malecela (Guest) on November 14, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Rahim (Guest) on November 8, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Sarah Mbise (Guest) on November 7, 2020

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on October 30, 2020

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Lucy Mahiga (Guest) on October 29, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Henry Mollel (Guest) on October 16, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Violet Mumo (Guest) on October 15, 2020

πŸ˜‚ Kali sana!

Wilson Ombati (Guest) on October 14, 2020

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Lydia Mzindakaya (Guest) on September 25, 2020

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on September 15, 2020

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Rose Amukowa (Guest) on August 23, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Hawa (Guest) on July 29, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Janet Wambura (Guest) on July 28, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

James Malima (Guest) on July 21, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nahida (Guest) on July 17, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Irene Makena (Guest) on July 2, 2020

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Janet Sumari (Guest) on June 17, 2020

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Faith Kariuki (Guest) on June 10, 2020

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Lydia Mzindakaya (Guest) on June 8, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

David Nyerere (Guest) on May 18, 2020

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Rahma (Guest) on May 10, 2020

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on April 18, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Grace Mushi (Guest) on March 14, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Muslima (Guest) on March 14, 2020

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Simon Kiprono (Guest) on February 9, 2020

🀣πŸ”₯😊

Zawadi (Guest) on February 2, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Lydia Mutheu (Guest) on November 4, 2019

πŸ˜‚πŸ€£

Maneno (Guest) on November 1, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mary Sokoine (Guest) on October 29, 2019

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Andrew Odhiambo (Guest) on October 2, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Related Posts

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Kumkomoa…

MPENZI WAKO AKIKUACHA BILA SABABU CHUKUA SIMU MPIGIE MAMA AKE MWAMBIE M... Read More

Duh, huyu mama alichokifanya

Duh, huyu mama alichokifanya

Mke:Β Naelekea london, nikuletee zawadi gani?

Mume:Β kitu... Read More

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto buana! eti mnacheza mpira wa makaratasi(chandimu) unapiga chenga kibao afu ukifika... Read More

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

πŸ˜‚πŸ˜‚ kweli nimeamin mitandao inahribu watu

Leo kuna jamaa kamuona Dada akipita barabara... Read More

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza v... Read More

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Mwanafunz alikuwa kila siku anachelewa shule, na kila siku alikuwa anachapwa, basi siku moja mwal... Read More

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima aj... Read More

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke aka... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.<... Read More