Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Featured Image

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari mangapi chooni utaenda kwa miguu.

3. Kama ubinadamu kazi mbona hatupewi mishahara?

4. Ukichanganya wali na choroko unapata mseto, lakini hautibu malaria.

5. Hata njiwa nae ana makinda, lakini hawezi kuwa spika wa Bunge.

6. Hata uwe na haraka vipi kwenda Zenj, huwezi kupanda Jahazi ya Yusuph Mzee.

7. Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika.

8. Hata uwe kauzu vipi, huwezi kujamba wakati unatongoza.

9. Hata uwe na imani kali vipi, huwezi kusali wakati unafanya mapenzi.

10. Hata kizibo ni mfuniko lakini hauwezi kufunika sufuria.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Jane Muthui (Guest) on January 11, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Omari (Guest) on January 8, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Tabu (Guest) on December 26, 2021

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 15, 2021

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Mtumwa (Guest) on December 8, 2021

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Peter Mbise (Guest) on December 6, 2021

πŸ˜„ Kali sana!

Thomas Mwakalindile (Guest) on October 22, 2021

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on October 21, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Josephine Nekesa (Guest) on October 4, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Margaret Mahiga (Guest) on September 15, 2021

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Jamila (Guest) on September 12, 2021

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Edward Lowassa (Guest) on September 6, 2021

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Janet Wambura (Guest) on September 6, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Faith Kariuki (Guest) on August 11, 2021

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on July 22, 2021

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Victor Mwalimu (Guest) on June 14, 2021

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Joseph Kiwanga (Guest) on May 28, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Betty Cheruiyot (Guest) on May 9, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Sarah Achieng (Guest) on May 8, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Elizabeth Mtei (Guest) on March 28, 2021

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Mariam (Guest) on February 28, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Samuel Were (Guest) on February 25, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Isaac Kiptoo (Guest) on February 14, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Anthony Kariuki (Guest) on February 11, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Zakia (Guest) on February 2, 2021

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Samson Tibaijuka (Guest) on February 1, 2021

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Maneno (Guest) on January 24, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Grace Mligo (Guest) on January 13, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Ruth Wanjiku (Guest) on December 13, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Biashara (Guest) on December 1, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Tabitha Okumu (Guest) on November 30, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on November 26, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚

David Chacha (Guest) on November 22, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Paul Kamau (Guest) on November 17, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on November 15, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Wande (Guest) on November 1, 2020

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Jane Muthoni (Guest) on October 26, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Ruth Kibona (Guest) on October 17, 2020

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on October 2, 2020

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Violet Mumo (Guest) on September 30, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Peter Tibaijuka (Guest) on September 17, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Jafari (Guest) on September 16, 2020

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Robert Okello (Guest) on September 7, 2020

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Victor Sokoine (Guest) on July 29, 2020

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Patrick Kidata (Guest) on July 27, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Alice Mwikali (Guest) on July 17, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Diana Mallya (Guest) on June 11, 2020

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Richard Mulwa (Guest) on June 11, 2020

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Tambwe (Guest) on June 10, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Christopher Oloo (Guest) on June 8, 2020

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Lucy Kimotho (Guest) on May 29, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on May 12, 2020

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Esther Nyambura (Guest) on May 10, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Malela (Guest) on May 7, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Grace Wairimu (Guest) on April 27, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on April 9, 2020

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on March 15, 2020

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Frank Sokoine (Guest) on February 16, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Mwanaidi (Guest) on February 10, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Lydia Mahiga (Guest) on January 30, 2020

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Related Posts

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Sijui Kama ushawai fall in love ile haswaa..

yani unampenda mtoto hadi akikupigia ile sauti... Read More

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Pale unapokuwa umefulia sana…

Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile S... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More
Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Mtu una degree 1 unachagua kazi! Wakati thermometer ina degree 100, inafanya kazi kwenye kwapa.<... Read More

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
*UCHAWI* ni nini?

`Uchawi ni pale mpenzi wako anapokupeleka kwao ... Read More

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

JE, una KITAMBI na unataka kukiondoa?

FANYA HAYA;

1. Kopa mkopo mkubwa benkiRead More

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Juma... Read More

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wan... Read More