Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Featured Image

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl akaliendesha?
Baba: siwezi kumwachia gari langu hili aliendeshe ni ghali sana.
Mtoto: je mnaweza kumwachia chumba chenu house boy/girl kikiwa wazi na mkaenda kazini?
Baba: haiwezekani kamwe kuna vitu vya gharama na pia heshima haitakuwepo.

Mtoto: unaweza ukampa house boy/girl ATM CARD yako na namba ya siri ukakuchulie pesa?

Baba: mtoto unatafuta balaa sasa, unataka siku akiiba hii card akachukue pesa zote tuwe maskini, sithubutu.

Mtoto: aahaaaaaa, kumbe hauwezi kumkabidhi chochote chenye thamani house boy/ girl, sasa kwa nini mnanikabidhi mimi kwa house boy/girl na nyie mnaenda kazini mpaka mnarudi kumbe mimi sina thamani kwenu eeeeh!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Chris Okello (Guest) on November 12, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Yusra (Guest) on November 6, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Nasra (Guest) on October 31, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Charles Mrope (Guest) on October 26, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

George Wanjala (Guest) on October 20, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Francis Mtangi (Guest) on October 3, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Emily Chepngeno (Guest) on October 2, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Nicholas Wanjohi (Guest) on September 11, 2021

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Sarah Mbise (Guest) on September 2, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Nora Lowassa (Guest) on August 28, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Peter Otieno (Guest) on August 18, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

John Lissu (Guest) on August 15, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Moses Mwita (Guest) on August 7, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Benjamin Kibicho (Guest) on July 31, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Moses Kipkemboi (Guest) on July 22, 2021

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Mustafa (Guest) on July 8, 2021

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Stephen Mushi (Guest) on June 24, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Joseph Mallya (Guest) on June 15, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Hashim (Guest) on June 11, 2021

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Esther Cheruiyot (Guest) on June 4, 2021

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Arifa (Guest) on May 27, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Mwanajuma (Guest) on May 12, 2021

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Maneno (Guest) on May 6, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Robert Ndunguru (Guest) on April 24, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Stephen Mushi (Guest) on April 23, 2021

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Halimah (Guest) on April 11, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Lucy Wangui (Guest) on April 2, 2021

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Mariam (Guest) on February 27, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Isaac Kiptoo (Guest) on February 18, 2021

🀣πŸ”₯😊

Rose Mwinuka (Guest) on February 17, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on January 22, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

John Mushi (Guest) on January 6, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Joseph Kawawa (Guest) on December 19, 2020

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Hassan (Guest) on December 12, 2020

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Edward Lowassa (Guest) on December 9, 2020

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Jafari (Guest) on November 28, 2020

πŸ˜„ Kali sana!

Chris Okello (Guest) on October 17, 2020

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Alice Mrema (Guest) on October 15, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Henry Sokoine (Guest) on October 10, 2020

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Shukuru (Guest) on October 2, 2020

🀣 Hii imewaka moto!

Diana Mallya (Guest) on September 18, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Betty Kimaro (Guest) on September 14, 2020

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Benjamin Kibicho (Guest) on September 13, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Michael Mboya (Guest) on September 1, 2020

πŸ˜† Ninakufa hapa!

John Malisa (Guest) on August 21, 2020

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on August 13, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on August 10, 2020

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Patrick Kidata (Guest) on July 19, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Peter Mbise (Guest) on July 19, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on June 22, 2020

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Ann Awino (Guest) on June 17, 2020

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Anthony Kariuki (Guest) on June 17, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on June 14, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Lissu (Guest) on June 5, 2020

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Elizabeth Malima (Guest) on April 30, 2020

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on April 23, 2020

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Alice Wanjiru (Guest) on April 6, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on March 20, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on February 17, 2020

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on February 5, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Related Posts

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Mke mmoja alimpa mme wake redio aende nayo chooni ili asiboreke kwa vile huwa anakaa muda mrefu.<... Read More

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?... Read More

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Phone call gal: hellow Boy: sweety mambo vipi? Girl: poa Boy: utakuwa free weekend? nilikuwa nataka ... Read More
Amri za chuo

Amri za chuo

Ndio hizi sasa

1.Hicho ndicho chuo chako usiwe na chuo kingine ila hicho.
2.Usilitaje ... Read More

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa... Read More

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yen... Read More

Angalia uhuni wa huyu dereva

Angalia uhuni wa huyu dereva

Dereva alikamatwa kwa kosa la kusababisha ajari ya watu wa5 aliowagonga. Trafik akamuliza kwanin ume... Read More
MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Siku moja ... Read More

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula🍽🍨 kurudi kazini ka... Read More