Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Featured Image

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJUE ni jamaa wa UDSM.

2. Ukaona geto lina nguo nyingi za watu tofauti tofauti, unga mwingi, vtunguu vng, nyanya halaf pembeni, Vitabu vya kutosha na lundo la karatasi za betting ujue huyu JAMAA ni wa SAUT.

3. Ukaona geto halina kitu ndani zaidi ya mkate wa bakheresa na kopo la maji UJUE huyu jamaa ni wa UDOMπŸ˜‚β˜

4. Ukaona geto lina visamaki vikavu mezani, Notes za kutosha mezani na jaba pembeni UJUE huyu ni MJAMAA WA MWENGE/MWECAUπŸ˜œπŸ‘€

5. Ukaona geto lina Mawigi mengi na dressing table pembeni, ngazi ya kuwekea viatu UJUE huyu mjamaa ni wa RUCO IRINGA😘

6. Ukaona geto lina spray za kila aina, Nguo nyingi hasa za mitumba ambazo zimemodolewa mpaka tight UJUE huyu MJAMAA ni wa USHIRIKA MOSHI.

7.Ukiona geto lina Nyanya na mikungu ya ndizi halafu halafu nje kuna jiko la Mkaa UJUE huyu mjamaa ni wa TEKU mbeya😳

8. Ukiona geto lina tranka na nje wamevulia buti, viatu vya matope UJUE huyu Mjamaa ni Wa SMUCO MWIKA.

9. Ukaona geto ndan mashuka ya kimasai kinabao, hapa usipatwe na Mashaka, Jua huyu ni Mjamaa wa MAKUMIRA. 😜😜😜😜

10. Ukaona geto lina vimodo, vimini, miwani za tittled, jiko la mafuta ya taa, kitandani mito zaidi ya Minne,Visarafu kwenye meza, Tshirt nyingi za semina za family planning, Ukimwi n.k halafu chini tv ya chogo na king'amuz cha continental Ujue huyu MJAMAA ni wa TIA DSM 😱😱😱😱😱😱😱

β¬β¬β¬β¬β¬β¬β¬β¬β€΅β¬πŸ†™πŸ†™πŸ†™πŸ†™
JE, KWAKO KUKOJE? ???
πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Stephen Malecela (Guest) on July 3, 2024

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Guest (Guest) on September 21, 2025

Unyama sana

Neema (Guest) on June 7, 2024

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

John Mushi (Guest) on June 1, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on May 15, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on April 24, 2024

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Mwafirika (Guest) on April 4, 2024

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Joseph Mallya (Guest) on March 8, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Nancy Komba (Guest) on February 22, 2024

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on January 28, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Sumaya (Guest) on January 26, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Victor Sokoine (Guest) on January 10, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on December 26, 2023

πŸ˜‚πŸ˜…

Linda Karimi (Guest) on December 23, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Guest (Guest) on November 10, 2025

Nimeshangaa!! Sana

Omari (Guest) on December 18, 2023

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Edith Cherotich (Guest) on December 16, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Diana Mallya (Guest) on December 13, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Grace Mligo (Guest) on November 20, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Bakari (Guest) on November 7, 2023

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Elijah Mutua (Guest) on November 1, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Samson Mahiga (Guest) on October 9, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Betty Kimaro (Guest) on October 7, 2023

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on August 20, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on July 26, 2023

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Anna Malela (Guest) on July 23, 2023

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Kawawa (Guest) on June 30, 2023

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Nora Lowassa (Guest) on May 19, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Lydia Mutheu (Guest) on May 18, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Richard Mulwa (Guest) on May 12, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Nancy Komba (Guest) on April 28, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Stephen Kangethe (Guest) on April 15, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Edwin Ndambuki (Guest) on March 31, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Samson Tibaijuka (Guest) on March 12, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on March 10, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Abubakari (Guest) on March 4, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on February 22, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Christopher Oloo (Guest) on February 2, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on January 31, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Lucy Wangui (Guest) on January 28, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Janet Mwikali (Guest) on December 24, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Stephen Kikwete (Guest) on December 12, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Agnes Njeri (Guest) on November 18, 2022

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Anna Mchome (Guest) on October 29, 2022

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Esther Cheruiyot (Guest) on October 24, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Diana Mumbua (Guest) on October 19, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Kiza (Guest) on October 12, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Charles Mchome (Guest) on October 11, 2022

😁 Kicheko bora ya siku!

Fredrick Mutiso (Guest) on September 11, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

David Ochieng (Guest) on September 10, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Zawadi (Guest) on August 30, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

Andrew Mahiga (Guest) on August 29, 2022

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Wilson Ombati (Guest) on August 26, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Betty Kimaro (Guest) on August 18, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on August 11, 2022

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Faiza (Guest) on July 19, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Linda Karimi (Guest) on June 30, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Samuel Were (Guest) on June 20, 2022

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on June 20, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kazija (Guest) on June 20, 2022

Asante Ackyshine

Related Posts

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

_Sheria inasema kila anaetembea na chombo cha moto barabarani sharti awe na leseni._
_Sasa h... Read More

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni viumbe WASTAARABU sana..Mdada anapokua kavaa BIKINI na BRA tu, 98% ya mwili wake unak... Read More

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Mhindi kwenye mtihani wa kiswahili anaambiwa amalizie methali:

(a)Nyani haoni…..valisa... Read More

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Et

Umexhawah kuwa single had ukaamua kununua viatu vya kike kix... Read More

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Wewe ni mza... Read More

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wan... Read More

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHE…..... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More

Kichekesho cha mke wa mvuvi

Kichekesho cha mke wa mvuvi

CHEKA KIDOGO

MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.
Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huk... Read More