Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Featured Image

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo maarufu
ya kwenye daladala.

1.Yatima hadeki
2.Utamu wa chips mimba
3.Ukitaka kujua ugumu wa kudai kopesha ukweni
4. Usiyempenda kaja
5. Kobe hapimwi joto
6. Acha kazi uone kaz kupata kaz
7. Ukichezea koki utalowa
8. Heshima pesa kipara kovu tu!
9. Mtumbwi hauna saitmira.
9. Silaha pesa bastola mzigo
10. Hata uoge mjini huendi
11. Chezea mshahara usichezee kazi.
12. Ukiona manyoya ujue kishaliwa
13. Ikisimama Panda
14. Pombe pombe tuu kunywea bar mbwebwe
15. Njia ya chooni haioti nyasi
16. Likizo ya maskini ugonjwa
17. When i grow up i want to be a scania
18. Hata bibi alikuwa binti
19. Kisigino hakikai mbele
20. Kama mapenz pesa kaolewe na benki
21. Hata barabara ina matuta lakin huwez panda viazi
22. Mavi hayana miba lakin ukikanyaga lazma uchechemee
23. Paka haishi kwa msela
24. Ukipendwa ujue kuna boya kaachwa
25. NIPO NIPO KWANZA
26. Mchana nzi ucku mbu
27. Ucmshangae funza kukata viuno ndio mwendo wake
28. Kama umelipenda(gari) bonyeza nyota liwe lako
29. Supermarket hawauzi mkaa
30. We nisubiri mi nakungoja.
31. Zetu dagaa kuku tamaa
32. Hata uwe na heshima vipi huwezi kumpokea askari bunduki
H
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜πŸ˜πŸ˜

Share na wenzako kuongeza siku za kuishi

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Philip Nyaga (Guest) on July 8, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Guest (Guest) on September 12, 2025

Ukipenda mwanafunzi mshoee mkeo nguo za shule

Diana Mallya (Guest) on April 26, 2024

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Anthony Kariuki (Guest) on April 3, 2024

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Guest (Guest) on July 29, 2025

Noma sanaa

Edwin Ndambuki (Guest) on March 13, 2024

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on February 16, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on February 16, 2024

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Benjamin Masanja (Guest) on January 24, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Betty Cheruiyot (Guest) on January 17, 2024

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mwanaisha (Guest) on January 15, 2024

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Tabitha Okumu (Guest) on December 25, 2023

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Edward Lowassa (Guest) on November 4, 2023

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

John Mwangi (Guest) on October 15, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Joseph Njoroge (Guest) on October 6, 2023

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Guest (Guest) on July 11, 2025

NAWEW PIA

Margaret Mahiga (Guest) on October 5, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Diana Mallya (Guest) on August 20, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Nancy Kabura (Guest) on July 9, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Irene Akoth (Guest) on June 12, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on June 5, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on June 2, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

George Ndungu (Guest) on April 12, 2023

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Mwanahawa (Guest) on April 12, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mjaka (Guest) on April 2, 2023

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Shamsa (Guest) on February 17, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Nancy Kawawa (Guest) on February 13, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Khatib (Guest) on January 29, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Richard Mulwa (Guest) on January 22, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Arifa (Guest) on January 12, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Monica Lissu (Guest) on December 16, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Monica Nyalandu (Guest) on December 1, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Henry Sokoine (Guest) on October 31, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Robert Ndunguru (Guest) on October 22, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Betty Kimaro (Guest) on October 20, 2022

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Robert Ndunguru (Guest) on October 11, 2022

Asante Ackyshine

Sharon Kibiru (Guest) on October 4, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on September 29, 2022

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Alice Jebet (Guest) on September 27, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Grace Mushi (Guest) on September 26, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Maimuna (Guest) on September 11, 2022

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Edward Lowassa (Guest) on September 1, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Samuel Were (Guest) on August 9, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Nora Kidata (Guest) on July 25, 2022

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Guest (Guest) on July 29, 2025

Mim Disa gang na sema iv noma sanaa .

Nassor (Guest) on July 22, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

David Ochieng (Guest) on July 19, 2022

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Sharon Kibiru (Guest) on June 17, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Christopher Oloo (Guest) on June 3, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

Nasra (Guest) on April 3, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Lydia Wanyama (Guest) on March 8, 2022

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Rose Waithera (Guest) on February 20, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Benjamin Masanja (Guest) on February 16, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Jackson Makori (Guest) on February 13, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

John Malisa (Guest) on February 2, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mariam Hassan (Guest) on January 19, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Malecela (Guest) on December 29, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Andrew Mahiga (Guest) on December 4, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on November 30, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Esther Cheruiyot (Guest) on November 30, 2021

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Related Posts

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?... Read More

Hawa Machizi wamezidi sasa

Hawa Machizi wamezidi sasa

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

<... Read More
Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujita... Read More
Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
Huyu mlinzi bwana

Huyu mlinzi bwana

High school Flashback!!
.
Watchman : Amkeni muende morning preps.
Allan : Mimi ni ... Read More

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

House girl mmoja alipewa kazi na mzungu mara akavunja sahani.
Mzungu aliporejea,kazin akamuu... Read More