Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Featured Image

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye mkutano fanya mipango yote.
SEKRETARI (anamuaga mumewe): Tunaenda na bosi Serena hotel kwenye mkutano for 1 week.
MUME (anampigia mpango wa kando): Mambo safi, wife anaenda kikazi Serena, jitayarishe tujipe raha for 1 week
(Mpango wa kando) anamwambia mwanafunzi wake wa tution: wiki hii nina kazi fulani hakuna tution mpaka week ijayo.
MWANAFUNZI anampigia simu sugar daddy wake ambaye ndo (BOSS): Dear hakuna tution wiki hii nakuja kwako…..





BOSS anamwambia sekretari wake: Siendi Serena tena coz mjukuu wangu atanitembelea.
SEKRETARI: Mume wangu hatuendi Serena
MUME (anampigia Mpango): dah! mpenzi, huyu mke wangu haendi tena. Shit! So hadi next time plz
Mpango wa kando a.k.a teacher (anampigia mwanafunzi): Darasa kama kawaida sorry for the earlier message.
MWANAFUNZI: darling tution inaendelea kumbe, so nakuja wiki ijayo!!
BOSS: Sekretari sorry jitayarishe ile safari ya Serena iko palepale……


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Frank Sokoine (Guest) on July 15, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Guest (Guest) on December 25, 2025

Daa!

Mwinyi (Guest) on July 10, 2024

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Grace Mligo (Guest) on June 12, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Moses Mwita (Guest) on June 6, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on June 3, 2024

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on June 3, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Edward Chepkoech (Guest) on May 15, 2024

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on April 28, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Maimuna (Guest) on April 22, 2024

Asante Ackyshine

Agnes Sumaye (Guest) on March 26, 2024

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Ann Awino (Guest) on March 10, 2024

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Dorothy Nkya (Guest) on February 9, 2024

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Mariam Kawawa (Guest) on February 3, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Muslima (Guest) on December 14, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Mtumwa (Guest) on December 9, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Ruth Mtangi (Guest) on December 3, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Monica Adhiambo (Guest) on November 13, 2023

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Daniel Obura (Guest) on November 10, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on October 15, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Anna Mahiga (Guest) on October 4, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

James Malima (Guest) on September 30, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Patrick Akech (Guest) on September 10, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Baridi (Guest) on September 5, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Susan Wangari (Guest) on September 1, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Stephen Amollo (Guest) on August 19, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Mariam Kawawa (Guest) on July 29, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Andrew Mchome (Guest) on July 18, 2023

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Mwanaidi (Guest) on July 15, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Lydia Mzindakaya (Guest) on July 11, 2023

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on July 6, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Sharon Kibiru (Guest) on July 5, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Ruth Kibona (Guest) on June 20, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on June 18, 2023

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Dorothy Majaliwa (Guest) on June 15, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Janet Sumaye (Guest) on June 4, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on May 27, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Betty Cheruiyot (Guest) on May 7, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Latifa (Guest) on April 28, 2023

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Anthony Kariuki (Guest) on April 28, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Henry Mollel (Guest) on March 27, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Jane Malecela (Guest) on March 2, 2023

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Zakaria (Guest) on January 29, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Zakaria (Guest) on January 18, 2023

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Amani (Guest) on January 5, 2023

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Mashaka (Guest) on December 28, 2022

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Chris Okello (Guest) on December 21, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Dorothy Majaliwa (Guest) on December 13, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Zubeida (Guest) on October 21, 2022

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Grace Wairimu (Guest) on September 1, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Jackson Makori (Guest) on August 12, 2022

🀣 Hii imewaka moto!

Charles Mchome (Guest) on August 1, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Irene Akoth (Guest) on July 23, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Selemani (Guest) on July 6, 2022

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Jacob Kiplangat (Guest) on June 24, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

John Lissu (Guest) on June 14, 2022

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Jane Malecela (Guest) on May 31, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on April 27, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Elizabeth Malima (Guest) on April 21, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on April 10, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Related Posts

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli kiboko

Hii january sabuni za kuogea ni zile za kuoshea vyombo, yani u... Read More

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More
Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mke: Unampango gani na pasaka hii mmewangu..
Mume: Nitafanya kama yesu..
Mke: Unamaanis... Read More

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumba... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Acha usumbufu…

Acha usumbufu…

UNAMNG'ANG'ANIZA MPENZI WAKO AKUWEKE KWNY PROFILE PICHA MLOPIGA PAMOJA

HIVI ULIDHANI MWL.NY... Read More

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhud... Read More
Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kusaidia Mtoto wa Nursery Homework ni Ngumu. Unamuuliza "Nina Pipi Tano, nikiwagawia Wat... Read More

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini... Read More