Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Featured Image

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nikalipe ada nimetumia shilingi alfu 30 kubeti
BABA : Unasema nini we mpumbavu mshenzi
mkubwa? Nimekukanya mara ngapi kuhusu kubeti?
DOGO : Lakini baba
BABA : Lakini baba nini ngoja urudi utaona
ntakachofanya.
DOGO : Nilitaka kukwambia kuwa nimeshinda
shilingi milioni 3
BABA : Ndio hayo ninayosema wewe mpumbavu
sana kwanini hukutumia laki nzima kubeti? Si
ungepata pesa nyingi zaidi? Ngoja urudi niwataarifu
ndugu zako kuhusu uulivyo na akili za kuamua
haraka mwanangu mpenzi…

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nancy Kawawa (Guest) on July 12, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on May 17, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Paul Kamau (Guest) on April 24, 2024

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

David Ochieng (Guest) on March 18, 2024

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Binti (Guest) on March 2, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Anna Sumari (Guest) on February 29, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Joseph Njoroge (Guest) on February 6, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Elizabeth Mtei (Guest) on December 15, 2023

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Rose Mwinuka (Guest) on December 7, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on November 20, 2023

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Margaret Mahiga (Guest) on November 15, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on November 12, 2023

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Lydia Wanyama (Guest) on November 9, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on November 7, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

John Mwangi (Guest) on October 1, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Samson Mahiga (Guest) on September 29, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Kazija (Guest) on September 20, 2023

πŸ˜† Kali sana!

Edward Chepkoech (Guest) on September 15, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Violet Mumo (Guest) on September 14, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Sokoine (Guest) on August 27, 2023

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Tambwe (Guest) on July 30, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Elizabeth Mrema (Guest) on July 27, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on July 24, 2023

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

John Kamande (Guest) on July 24, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Jackson Makori (Guest) on June 1, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Jabir (Guest) on May 5, 2023

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Lucy Wangui (Guest) on April 20, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Edward Chepkoech (Guest) on March 28, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Alex Nyamweya (Guest) on March 8, 2023

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Khamis (Guest) on February 21, 2023

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Stephen Kangethe (Guest) on February 17, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

John Kamande (Guest) on February 14, 2023

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Abdullah (Guest) on February 2, 2023

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Ann Wambui (Guest) on January 22, 2023

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Francis Njeru (Guest) on January 7, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

John Mwangi (Guest) on January 3, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Peter Tibaijuka (Guest) on December 30, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Monica Nyalandu (Guest) on December 28, 2022

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on December 17, 2022

🀣 Hii imewaka moto!

Ali (Guest) on December 13, 2022

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

John Mushi (Guest) on December 11, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Thomas Mtaki (Guest) on December 6, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

David Sokoine (Guest) on December 4, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Grace Majaliwa (Guest) on November 26, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Shamim (Guest) on October 10, 2022

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Andrew Mchome (Guest) on October 5, 2022

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on September 10, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on September 5, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Grace Wairimu (Guest) on August 31, 2022

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Catherine Naliaka (Guest) on July 30, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Lucy Kimotho (Guest) on July 12, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Abubakar (Guest) on July 9, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on April 21, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 6, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on February 13, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Jane Muthoni (Guest) on February 6, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Dorothy Majaliwa (Guest) on February 6, 2022

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on January 8, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Linda Karimi (Guest) on December 30, 2021

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Charles Wafula (Guest) on December 18, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka,... Read More

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Leo nimeiogopa pombe.

Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muzik... Read More

Huyu mlinzi bwana

Huyu mlinzi bwana

High school Flashback!!
.
Watchman : Amkeni muende morning preps.
Allan : Mimi ni ... Read More

Duh, hii sasa kazi

Duh, hii sasa kazi

Wakati unafikiria dingi yako afe ili urithi nyumba, dingi nae anafikiria uanze kufa ili apangishe... Read More

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wan... Read More

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Asilimia 76% Ya Wasichana Kila Ukiwatongoza Wanakwambia Wapo In relationship SAWA ATUKATAI…Read More

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubui

πŸ™ˆPenzi la kuku sekunde 2 ila vifaranga kibao.Lakini binadamu masaa kib... Read More

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka... Read More
Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Hakuna Kitu Kilikua Kinaniumizaga Kipindi Nipo Shuleni.

Time Mmetoka Kwenye Mitihani Wa Mat... Read More

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More