Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Featured Image

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari mlinzi,anaondoka.Hilo jambo likamkera sana askari mlinzi, askari akawa na mvizia yule mzee wa kichaga ,siku alipokuja tena akamkamata, akamuuliza kwa nini unakuja unapiga honi kisha unakimbia? Mzee akasema: Haki ya mungu babaangu , Nina pesa zangu ktk account hapa bank naogopa usilale usingizi ndo maana kila siku usiku napita kukuangalia kama umelala!!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Francis Njeru (Guest) on July 14, 2024

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lydia Wanyama (Guest) on July 12, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on June 22, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Violet Mumo (Guest) on June 21, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Sekela (Guest) on May 29, 2024

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Linda Karimi (Guest) on May 14, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Wande (Guest) on May 3, 2024

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Victor Mwalimu (Guest) on April 29, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Stephen Amollo (Guest) on March 25, 2024

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Rahma (Guest) on February 18, 2024

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on January 30, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Waithera (Guest) on January 11, 2024

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Sarah Mbise (Guest) on January 6, 2024

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Violet Mumo (Guest) on December 8, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on December 3, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Raha (Guest) on December 1, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Margaret Mahiga (Guest) on November 20, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Stephen Kangethe (Guest) on November 11, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

David Sokoine (Guest) on October 25, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Anna Malela (Guest) on October 11, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Abdullah (Guest) on September 21, 2023

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Brian Karanja (Guest) on September 15, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

James Mduma (Guest) on September 12, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

John Mwangi (Guest) on August 22, 2023

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Sarah Mbise (Guest) on August 15, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Anna Malela (Guest) on August 12, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Juma (Guest) on August 9, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Samuel Omondi (Guest) on August 6, 2023

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Patrick Kidata (Guest) on July 22, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Alice Mwikali (Guest) on July 2, 2023

πŸ˜† Kali sana!

Peter Tibaijuka (Guest) on June 24, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Grace Minja (Guest) on June 11, 2023

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Lucy Kimotho (Guest) on April 26, 2023

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on April 5, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Abubakar (Guest) on March 25, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Jane Muthoni (Guest) on March 23, 2023

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Brian Karanja (Guest) on February 28, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Esther Cheruiyot (Guest) on January 29, 2023

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Moses Mwita (Guest) on January 24, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

John Kamande (Guest) on January 15, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Alex Nakitare (Guest) on January 4, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on December 20, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Makame (Guest) on November 24, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Grace Njuguna (Guest) on October 18, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Komba (Guest) on September 22, 2022

πŸ˜‚πŸ€£

Kevin Maina (Guest) on August 27, 2022

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Michael Mboya (Guest) on August 20, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on July 13, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Victor Mwalimu (Guest) on July 9, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Tambwe (Guest) on July 3, 2022

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Fadhili (Guest) on June 23, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Patrick Akech (Guest) on June 23, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Samuel Omondi (Guest) on June 17, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Robert Ndunguru (Guest) on June 6, 2022

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Ann Awino (Guest) on June 2, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Maneno (Guest) on May 14, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Jane Malecela (Guest) on May 5, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Mwagonda (Guest) on April 12, 2022

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Stephen Amollo (Guest) on March 17, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on February 24, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Related Posts

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana... Read More

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Duh! Huyu kazidi sasa

Duh! Huyu kazidi sasa

Kuna jamaa kapita hapa kaniuliza et mbona umekunja sura nikamjibu nataka niweke kwenye begiπŸ˜‚π... Read More

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Nipo kwenye daladala siti ya nyuma kabisa nimekaa na mrembo mzurii.sasa nikawa namtongoza kwa sau... Read More

Eti kwani wewe ni turubali?

Eti kwani wewe ni turubali?

Unakuta MTU mwaka Mzima

Umehudhuria,Β birthday... Read More

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale unaitwa kufanya interview na unajua tuu hutapata kazi tuu…..
Interviewer: where were ... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Tulikua kwa basi tunaelekea arusha,ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua... Read More

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHE…..... Read More

Hapa itakuaje?

Hapa itakuaje?

NAJISIKIA NIMEBOEKA…

SIJUI NIENDE KAMBI YOYOTE YA JESHI NITEREMSHE BENDERA

ALAFU NI... Read More

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More