Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Featured Image

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangalia nini kimemshitua, mwanamke hushituka halafu huzimia hivyo ataambiwa na mwanaume kilichomshituaπŸ˜‚πŸ˜‚
2. Kwenye kupenda; mwanaume huanza kutamani alafu hupenda, mwanamke huanza kupenda moja kwa moja bila kumjua vizuri huyo ampendaeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
3.Kwenye kusaidia; mwanaume hutoa msaada alafu uhuzunika, mwanamke huuzunika badae ndo anakumbuka km msaada unahitajikaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
4.Kwenye maamuzi; mwanaume hufikiri ndipo hutenda, mwanamke hutenda halafu hufikiriπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
5.Kwenye kudanganya; Mwanaume hudanganya ili kumlinda mwanamke, mwanamke hudanganya ili kumkomoa mwanaumeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
6.Kwenye ugomvi; wanaume hupigana halafu hueshimiana, wanawake hupiga mikelele alafu kila mmoja hurud kwake, kexho tenaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
7.Kwenye ndoa; mwanaume hutafuta maixha ndipo huoa, mwanamke huolewa ndipo atafute maishaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
8.Kwenye kukata tamaa; mwanaume hukata tamaa mapema ili jambo lisimsumbue, mwanamke hajui kukata tamaa hadi aumizweπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
9.Kwenye kula;Mwanaume hushiba alafu huanza madoido, mwanamke huanza na madoido alafu badae hujilaumu hakushibaπŸ˜‚πŸ˜‚
10.Kwenye siri; Mwanaume hutunza siri hasa za aibu, mwanamke humueleza shoga yake badae hugombana nae baada ya kumrudia mwenyewe kwa siku 2 tuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hizi ni baadhi tu ya sifa tofauti kati ya mwanaume na mwanamke….. VIVA GENTLEMENπŸ‘ŠπŸ½πŸ‘Š

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Victor Sokoine (Guest) on June 28, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Jackson Makori (Guest) on May 30, 2024

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Amir (Guest) on May 19, 2024

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Fadhili (Guest) on April 29, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Betty Cheruiyot (Guest) on April 22, 2024

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Mwakisu (Guest) on April 8, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline!

Mary Mrope (Guest) on March 25, 2024

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Sharon Kibiru (Guest) on March 18, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Janet Mwikali (Guest) on January 13, 2024

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on January 8, 2024

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on November 26, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Frank Sokoine (Guest) on November 4, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Hassan (Guest) on November 3, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Charles Mchome (Guest) on October 28, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on September 16, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Victor Malima (Guest) on August 27, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

John Mwangi (Guest) on August 22, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Sharon Kibiru (Guest) on August 18, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Betty Kimaro (Guest) on August 3, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Grace Mligo (Guest) on July 22, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Rubea (Guest) on July 3, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Mzee (Guest) on July 2, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Omar (Guest) on June 27, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Fredrick Mutiso (Guest) on May 14, 2023

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Esther Cheruiyot (Guest) on May 10, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

James Mduma (Guest) on May 2, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Alice Jebet (Guest) on April 14, 2023

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on April 11, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 4, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

David Musyoka (Guest) on February 19, 2023

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Khadija (Guest) on December 24, 2022

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Samson Mahiga (Guest) on December 20, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Moses Mwita (Guest) on November 30, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Peter Tibaijuka (Guest) on November 20, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on November 1, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Henry Sokoine (Guest) on October 31, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Warda (Guest) on October 1, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Tabitha Okumu (Guest) on September 23, 2022

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mwakisu (Guest) on September 22, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

David Nyerere (Guest) on September 7, 2022

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Rose Waithera (Guest) on September 6, 2022

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on August 8, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Omar (Guest) on August 1, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Margaret Mahiga (Guest) on June 13, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Janet Mbithe (Guest) on June 8, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Fredrick Mutiso (Guest) on June 2, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Victor Kamau (Guest) on May 20, 2022

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Elizabeth Mrope (Guest) on May 19, 2022

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Tambwe (Guest) on May 14, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Carol Nyakio (Guest) on May 2, 2022

🀣πŸ”₯😊

Nchi (Guest) on April 28, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Dorothy Majaliwa (Guest) on April 23, 2022

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Janet Sumari (Guest) on April 6, 2022

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Betty Akinyi (Guest) on March 26, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Charles Wafula (Guest) on February 2, 2022

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Diana Mallya (Guest) on January 25, 2022

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Thomas Mtaki (Guest) on January 22, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on January 11, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Anna Mchome (Guest) on January 4, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

David Kawawa (Guest) on December 11, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
Utani kwa wadada wembamba

Utani kwa wadada wembamba

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wadada wembamba hebu nenepeni basi mn... Read More

Amri za chuo

Amri za chuo

Ndio hizi sasa

1.Hicho ndicho chuo chako usiwe na chuo kingine ila hicho.
2.Usilitaje ... Read More

Huyu mme ni shida

Huyu mme ni shida

MKE..mume wangu unaweza kuua simba kwasababu yangu???

MME: Hapana mke wangu, sema kingineRead More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

😁😁😁😁 .. TABU KUDATE NA MADEMU WA CHUO
Demu ;Β Baby Safari Hii N... Read More

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Nilipanda tax leo.dereva tax akaanza kuongea…

Naipenda sana kazi yang... Read More

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta ... Read More

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubui

πŸ™ˆPenzi la kuku sekunde 2 ila vifaranga kibao.Lakini binadamu masaa kib... Read More

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwamb... Read More

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More