Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMS💌💕
AckyShine

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Featured Image

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja. Alipobisha hodi mtoto wa kiume wa umri upatao miaka 12 akamfungulia mlango. Mazungumzo yafuatayo yakafuatia:

Mkulima: Baba yako yupo?

Mtoto: Hapana Mzee, amekwenda mjini.

 

237 Comments

Angalia anachokisema Madenge sasa

Featured Image
238 Comments

Wanaume wote ni waaminifu

Featured Image
236 Comments

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Featured Image

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungura anayeishi mwituni anaitwaje?"

ZUZU:"Sunguramilia."

2.Ticha:"Rais wa kwanza wa kenya aliitwa KENYATTA…Je rais wa kwanza wa
Tanzania aliitwaje?"
ZUZU:"TANZANIATTA."

3. Ticha:"Kuku yuko katika jamii ya NDEGE…Je samaki yuko katika jamii ya nini?"

ZUZU:"MELI."

 

237 Comments

Madenge hakosi visa. Soma hii

Featured Image
236 Comments

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Featured Image
236 Comments

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

Featured Image
236 Comments

Mambo ya pesa haya..

Featured Image
237 Comments

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Featured Image
236 Comments

Sio kwa wivu huu

Featured Image
236 Comments