Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kisa cha mzaramo na mchaga

Featured Image
241 Comments

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

Featured Image
236 Comments

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Featured Image
Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni: Nipe nianze na soda wakati chai inachemka. Mwenyeji: Utakunywa fanta au sprite? Mgeni: Nipe fanta wakati sprite inapoa.
236 Comments

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Featured Image
236 Comments

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Featured Image
236 Comments

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Featured Image
240 Comments

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Featured Image

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl akaliendesha?
Baba: siwezi kumwachia gari langu hili aliendeshe ni ghali sana.
Mtoto: je mnaweza kumwachia chumba chenu house boy/girl kikiwa wazi na mkaenda kazini?
Baba: haiwezekani kamwe kuna vitu vya gharama na pia heshima haitakuwepo.

236 Comments

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Featured Image
Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti kwa njia ya simu juu ya walichokikuta ASKARI: Mkuu tumekuta mama mwenye nyumba kampiga mumewe chuma cha kichwa na kumuumiza vibaya sanaa
238 Comments

Ujinga wa ndoto ndio huu

Featured Image
238 Comments

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Featured Image
236 Comments