Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMS💌💕
AckyShine

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Featured Image
236 Comments

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Featured Image
237 Comments

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Featured Image
Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyumbani Bukoba mjini na kufungua ofisi yake kwa ajili ya huduma kwa wateja. Siku moja akiwa ndani ya ofisi yake alimuona mtanashati na mdada mmoja mrembo anakuja ofisini kwake akajua ni mteja anamletea kesi. Ndipo akanyanyua mkoni wa wa simu ya TTCL na kuanza kuongea huku anajizunguusha kwenye kiti cha kuzunguuka.
237 Comments

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Featured Image
238 Comments

Duh. mjamzito ana kazi

Featured Image
237 Comments

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Featured Image
236 Comments

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Featured Image

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai akachukua tax wakati wa kurudi.walipofika sasa shughuli ilikuwa hivi.

Masai: we dureva? Naulisa Ng'ombe na mbusi ipi ngali?
Dereva: Ni ng'ombe ghali Masai.

236 Comments

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Featured Image
237 Comments

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Featured Image
MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo Bebi pengne mtoto anakojoa kitandani au akalia asije msumbua usiku
236 Comments

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Featured Image
237 Comments