Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa
Updated at: 2023-04-29 22:53:45 (2 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
Mchungaji Kauliza: Yeyote mwenye pingamizi la haki kwa ndoa hii asimame na aje mbele.
Mara kasimama kibabu na kwenda mbele, bibi harusi alipomuona tu yule babu akazimia.
Mchungaji akauliza: tueleze pingamizi lako
Kibabu kikajibu: Nimeamua kuja mbele kwasababu kule nyuma sisikii!!!.
kanisa zima hoi,
Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu
Updated at: 2024-05-25 17:12:32 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagonga mlango wake takribani masaa mawili,wakati hapa anaishi peke yake, kwakuwa sipendagi ujinga nimetoka nikamwambia mwenyewe kasafiri.Nae kaondoka.