Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!
Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinzi watoroke!
Walipofika getini wakakuta geti lipo wazi na hakuna mlinzi, wakasema
Updated at: 2023-04-29 22:53:24 (2 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinzi watoroke!
Walipofika getini wakakuta geti lipo wazi na hakuna mlinzi, wakasema "Turudi mipango yote imevurugikaโฆ
Read more
Close
Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno
MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea? JAMAA: please beby forget me. MSichAnA: eeeh unaniambia hivo mimi? JAMAA: nakuomba sana forget me. MSICHANA: aya bwana poa maisha mema.
Updated at: 2023-04-29 22:52:13 (2 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea? JAMAA: please beby forget me. MSichAnA: eeeh unaniambia hivo mimi? JAMAA: nakuomba sana forget me. MSICHANA: aya bwana poa maisha mema.
Msichana anakata simu jamaa ndo ananiuliza."sasa sijui amekasirikia lipi?" Mi nikamwambia we zuzu umemwambia AKUSAHAU, dah, kumbe ningemwambiaje? hahaha, ungemwambia ForgivE me! au Ungesema Tu NaombA nSameHe.
Read more
Close
Lugha za namba ni noma
Updated at: 2024-05-25 17:16:07 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Leo kuna mdogo wangu nimemtumia meseji nimemuomba aniazime chaja yake ya simu. Akanijibuย 21002 ย Nikawa mkali nikamuambia kuchajia mara moja tu ndio HELA yote hio si bora nikanunue Chaja yangu mpya. Akaniambia nimesema TUMIA TU ๐๐mtatuua na lugha zenu๐
Read more
Close
Wasichana wafupi wanafurahisha
Updated at: 2024-05-25 17:09:11 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Wasichana wafupi wananifurahisha sanaโฆ. Yaan siku ya Valentine, wakivaa magauni mekundu huwa wanakuwa kama Fire extinguishers au mitungi ya Oryx ๐๐๐๐๐
Read more
Close
Huyu panya wa tatu ni noma
Updated at: 2024-05-25 17:04:03 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
๐ ๐ ๐ย Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi
Panya 1: ย jamani mimi ni noma Wiki hii nimekula rat rat(sumu ya panya) mara tatu na sijadedi !!!
Panya 2 ย Wewe unasema nini, mimi nimekula nyama ikiwa kwa mtego mara 5 nasijawahi dakwa
RAT 3 ย Mmemaliza? Mie hata sijui mnabishana nini? Mimi hii mimba niliyo nayo ni ya paka !!!
Panya WA 1 na 2 wakazimia๐๐๐๐๐Panya wa 3 huwa hapendi ujinga kabisa
Read more
Close
Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test
Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.
Swali la kwanza, Taja vyakula vi3 ambavyo ukienda hotelini umelipiwa utapenda kula (marks 1)
WAVULANA wakajaza; wali, ugali, mihogo. WADADA wakajaza; burger, pizza, egg chop. Swali la
ย
Updated at: 2023-04-29 22:52:57 (2 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.
Swali la kwanza, Taja vyakula vi3 ambavyo ukienda hotelini umelipiwa utapenda kula (marks 1)
WAVULANA wakajaza; wali, ugali, mihogo. WADADA wakajaza; burger, pizza, egg chop. Swali la
2: Eleza jinsi ya kupika kila chakula ulichotaja hapo juu. (marks 99) wacha wadada waanze kuhangaika kukata majibu ya mwanzo!
Read more
Close
Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema
Updated at: 2024-05-25 17:59:59 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine akaanza kucheka, watu wakamuuliza "kwanini unacheka unafurahia mwenzako kufariki?" Daktari yule akajibu "hapana mimi ni Daktari wa kutahiri nafikilia nikifa mtanichongea jeneza lenye umbo la โฆ."
Read more
Close
Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti
Updated at: 2024-05-25 16:58:11 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
BABA MWEUSI MAMA MWEUSI
na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua mweupe
โฆ..HAPO NDO WAZAZI WANAJIULIZA hv mbegu ilkua ya kinyonga au๐๐๐๐
Read more
Close
Duh! Huyu kazidi sasa
Updated at: 2024-05-25 17:53:48 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kuna jamaa kapita hapa kaniuliza et mbona umekunja sura nikamjibu nataka niweke kwenye begi๐๐๐
Read more
Close
Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga
Updated at: 2024-05-25 17:16:48 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Tofauti ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo pale ambapo Mwanaume wake atokapo kuoga.
Binti wa Kizungu:ย Baby you look nice and fresh. ย
Binti wa Kibongo:ย Naona safari imeiva, Mwanaume hupumziki kama nesi wa zamu ย
๐๐๐๐
Read more
Close