Asubuhi ya leo huko nchini Colombia baada ya serikali kuidhinisha matumizi ya bangi kuwa halali +++ Wavutaji bangi wamepanda basi la gorofa wengine juu wengine chini….
Waliopanda chini wanawauliza wa juu huko speed ni ngapi maana huku ni 80.
Wajuu wakajibu huku mpaka sasa hatujui dereva bado hajaja…. 😂😂😂
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
😅 Bado nacheka!
Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! 😅
Hii ni dhahabu ya vichekesho! 😄
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! 👏😂
Nimefurahia sana hii! 😅😊