Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa siku na muda husika
1. UGALI NA KUNDE
Mwitaji : 🗣Joniiiii
Mwitikiaji : Eeeh
Mwitaji : Uje ukule
2. UGALI NA SAMAKI
Mwitaji: 🗣 we Joniiii
Mwitikiaji : Eeeh
Mwitaji : Unaitwa na Mama
3. WALI NA NYAMA/KUKU
Mwitaji: 🗣 Joniiii
Mwitikiaji : Eeeh
Mwitaji : Shauri yako!
😂😂😂😂😂😂
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
😂🤣😆👏
😆😅😂
Hii imenifurahisha sana! 😂😂
🤣 Ninashiriki hii sasa hivi!
Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! 😅