Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa siku na muda husika
1. UGALI NA KUNDE
Mwitaji : π£Joniiiii
Mwitikiaji : Eeeh
Mwitaji : Uje ukule
2. UGALI NA SAMAKI
Mwitaji: π£ we Joniiii
Mwitikiaji : Eeeh
Mwitaji : Unaitwa na Mama
3. WALI NA NYAMA/KUKU
Mwitaji: π£ Joniiii
Mwitikiaji : Eeeh
Mwitaji : Shauri yako!
ππππππ
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
ππ€£ππ
ππ π
Hii imenifurahisha sana! ππ
π€£ Ninashiriki hii sasa hivi!
Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! π