SIFA MBAYA…
Jamaa alikuwa ndani ya daladala Mara simu ikaita alikuwa ni mkewe kwa sifa jamaa akaweka loud speaker ili watu wasikie wanavyopendana.
JAMAA;wife Mara hii umenimiss jaman
WIFE; kwa nini umekunywa uji wa mtoto?!!!
😂😂😂😂😂
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 🤣😂
😆 Bado nacheka!
Kweli mnajua kuchekesha! 😂😂
Hizi jokes ni za kipekee sana! 😆😊
Ucheshi wenu unanifurahisha! 😊😂