Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Ijue Ishara ya Msalaba

Featured Image
Ishara ya Msalaba ni tendo la mtu kugusa paji la uso, kifua na mabega kwa kutumia mkono wa kulia na kutamka 'Kwa Jina la Baba, na la Mwana na la Roho Mtakatifu, Amina'.
Kugusa paji la uso tuna maana kukubali kwa akili, kugusa kifua maana yake ni kupokea na kuupenda msalaba moyoni na kugusa Mabega maana yake ni kuwa tayari kuubeba Msalaba kwa nguvu zetu zote.
Tunafanya njia ya Msalaba kwa nia ya kumkiri Mungu Mmoja katika Nafsi tatu. Pia Msalaba ni Ishara ya Ukombozi wetu.
Ishara ya Msalaba Juu ya Paji la uso, mdomo na kifua kabla ya injili:
Hii ina maana kwamba Niko tayari kulifahamu Neno la Mungu Kwa Akili yangu,
Nitalitangaza kishujaa kwa midomo yangu, na Nitalipenda na kulishika kwa Moyo wangu Wote.
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Agnes Sumaye (Guest) on June 29, 2024

Nguvu hutoka kwa Bwana

Paul Ndomba (Guest) on May 3, 2024

Katika imani, yote yanawezekana

Victor Kamau (Guest) on April 20, 2024

Mungu ni mwema, wakati wote!

Ruth Mtangi (Guest) on December 21, 2023

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Elizabeth Mrema (Guest) on December 19, 2023

Rehema hushinda hukumu

Joseph Mallya (Guest) on June 21, 2023

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Agnes Njeri (Guest) on June 12, 2023

Tumaini ni nanga ya roho

Paul Ndomba (Guest) on April 26, 2023

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Faith Kariuki (Guest) on April 15, 2023

Baraka kwako na familia yako.

Samson Tibaijuka (Guest) on December 8, 2022

Neema ya Mungu inatosha kwako

Dorothy Mwakalindile (Guest) on September 13, 2022

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Stephen Amollo (Guest) on August 27, 2022

Rehema zake hudumu milele

Benjamin Kibicho (Guest) on June 25, 2022

Nakuombea πŸ™

Grace Minja (Guest) on January 28, 2022

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Charles Wafula (Guest) on October 24, 2021

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Lucy Mahiga (Guest) on October 7, 2021

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Diana Mallya (Guest) on September 22, 2021

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Peter Mbise (Guest) on April 13, 2021

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Charles Wafula (Guest) on December 28, 2020

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Charles Wafula (Guest) on November 28, 2020

Sifa kwa Bwana!

Janet Wambura (Guest) on June 26, 2020

Dumu katika Bwana.

Peter Tibaijuka (Guest) on April 3, 2020

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Mercy Atieno (Guest) on March 22, 2020

Imani inaweza kusogeza milima

Jane Muthoni (Guest) on February 9, 2020

Mwamini Bwana; anajua njia

Ann Awino (Guest) on February 1, 2020

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Janet Mwikali (Guest) on September 16, 2019

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

David Kawawa (Guest) on July 11, 2019

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Jane Malecela (Guest) on May 5, 2019

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Grace Wairimu (Guest) on February 10, 2019

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Mary Njeri (Guest) on October 8, 2018

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Samuel Were (Guest) on May 6, 2018

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Francis Njeru (Guest) on April 19, 2018

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

James Mduma (Guest) on January 11, 2018

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Richard Mulwa (Guest) on October 12, 2017

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Joy Wacera (Guest) on July 30, 2017

Tembea kwa imani, si kwa kuona

David Musyoka (Guest) on January 15, 2017

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Jackson Makori (Guest) on October 11, 2016

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Rose Amukowa (Guest) on August 16, 2016

Neema na amani iwe nawe.

James Kimani (Guest) on June 25, 2016

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Moses Mwita (Guest) on May 19, 2016

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Lydia Mutheu (Guest) on May 12, 2016

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Kenneth Murithi (Guest) on March 2, 2016

Endelea kuwa na imani!

Ann Wambui (Guest) on December 29, 2015

Mwamini katika mpango wake.

Andrew Odhiambo (Guest) on November 30, 2015

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Alex Nakitare (Guest) on September 14, 2015

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Joy Wacera (Guest) on September 5, 2015

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Francis Mrope (Guest) on June 16, 2015

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Mariam Hassan (Guest) on June 9, 2015

Mungu akubariki!

Nancy Kabura (Guest) on May 27, 2015

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Stephen Malecela (Guest) on April 18, 2015

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Related Posts

Thamani ya Kazi ya Upadre

Thamani ya Kazi ya Upadre

Read More
Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu msamaha na rehema?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu msamaha na rehema?

Leo tutajadili kuhusu imani ya Kanisa Katoliki kuhusu msamaha na rehema. Kwa Wakatoliki, msamaha ... Read More

Mbinu 4 anazotumia Shetani kuteka na kurubuni Watu

Mbinu 4 anazotumia Shetani kuteka na kurubuni Watu

1. Kutushawishi tuache kusali maaana njia kuu ya mawasiliano kati yetu na MUNGU.Hivyo akifanikiwa ha... Read More
Nafasi ya Bikira Maria Katika Kanisa Katoliki

Nafasi ya Bikira Maria Katika Kanisa Katoliki

Read More
Njia Bora ya Kuelewa Masomo ya Misa ya Dominika ya Jumapili

Njia Bora ya Kuelewa Masomo ya Misa ya Dominika ya Jumapili

Njia Bora ya Kuelewa Masomo ya Misa ya Dominika ya Jumapili

Moyo wangu unajaa furaha na sh... Read More

Mafundisho ya kumfundisha mtu mzima kabla ya ubatizo wa hatari

Mafundisho ya kumfundisha mtu mzima kabla ya ubatizo wa hatari

Read More
Ibada ya Huruma ya Mungu: Njia ya Ukarabati na Uongofu

Ibada ya Huruma ya Mungu: Njia ya Ukarabati na Uongofu

Ibada ya Huruma ya Mungu: Njia ya Ukarabati na Uongofu.

Ndugu yangu, Ibada ya Huruma ya Mu... Read More

Asili na matumizi ya Neno "AMINA" kama kiitikio muhimu katika Liturujia

Asili na matumizi ya Neno "AMINA" kama kiitikio muhimu katika Liturujia

Read More
Je, Kanisa Katoliki linakiri na kufundisha amri kumi za Mungu kama mwongozo wa maisha ya Kikristo?

Je, Kanisa Katoliki linakiri na kufundisha amri kumi za Mungu kama mwongozo wa maisha ya Kikristo?

Je, Kanisa Katoliki linakiri na kufundisha amri kumi za Mungu kama mwongozo wa maisha ya Kikristo... Read More

Ibada ya Novena ya Huruma ya Mungu: Kupokea Neema na Baraka

Ibada ya Novena ya Huruma ya Mungu: Kupokea Neema na Baraka

Ibada ya Novena ya Huruma ya Mungu: Kupokea Neema na Baraka

Karibu kwa Ibada ya Novena ya ... Read More

Huruma ya Mungu: Faraja na Ufariji katika Majaribu

Huruma ya Mungu: Faraja na Ufariji katika Majaribu

Huruma ya Mungu: Faraja na Ufariji katika Majaribu

Huruma ya Mungu ni zawadi kubwa kutoka ... Read More

MITAGUSO MIKUU YA KANISA KATOLIKI

MITAGUSO MIKUU YA KANISA KATOLIKI

Read More