Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
AckyShine

Heshima za Liturujia kwa Bikira Maria

Featured Image
Kuna ibada za Mama Bikira Maria zinazoadhimishwa katika liturujia ya Kiroma. Hapa zimepangwa kulingana na heshima zinavyozidiana:
Sherehe
8 Desemba – Bikira Maria Mkingiwa Dhambi ya Asili 1 Januari – Bikira Maria Mama wa Mungu 25 Machi – Bikira Maria Kupashwa Habari 15 Agosti – Bikira Maria Kupalizwa Mbinguni

Sikukuu

31 Mei – Maamkio ya Bikira Maria 8 Septemba – Kuzaliwa kwa Bikira Maria

Kumbukumbu

Juni – Moyo Safi wa Maria 15 Septemba – Mama Yetu wa Huzuni 22 Agosti – Bikira Maria Malkia 7 Oktoba – Bikira Maria wa Rozari 21 Novemba – Bikira Maria Kutolewa Hekaluni

Kumbukumbu za Hiari

11 Februari – Bikira Maria wa Lurdi 13 Mei – Bikira Maria wa Fatima 16 Julai – Bikira Maria wa Mlima Karmeli 5 Agosti – Kutabaruku Kanisa la Bikira Maria 12 Septemba – Jina takatifu la Maria 12 Desemba – Bikira Maria wa Guadalupe
Tena kila Jumamosi isiyo na adhimisho maalumu, Kanisa huadhimisha kumbukumbu ya Mama wa Mungu.
Pia zipo heshima za binafsi kwa Bikira Maria: mashariki zinatumika tenzi na nyimbo mbalimbali, k.mf. Akatistos inayomuita “daraja linalounganisha dunia na mbingu”, “ngazi aliyoiona Yakobo” “kina kisichochunguzika kwa macho ya malaika” (Mwa 28:12); magharibi]] anaheshimiwa kwa rozari.
Wakristo wanaomheshimu Bikira Maria hawamuabudu hata kidogo, lakini wanamtolea heshima ya juu kuliko watakatifu wengine. Tofauti ni kwamba Mungu tu anastahili kuabudiwa (kwa Kigiriki, ‘latria’) watakatifu wanapewa heshima (‘dulia’) na Bikira Maria heshima zaidi (‘yuper-dulia’). Kanisa Katoliki linakiri neema zote za Mungu zinampitia Maria.
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Stephen Malecela (Guest) on July 19, 2024

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Andrew Mahiga (Guest) on May 24, 2024

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Josephine Nduta (Guest) on April 1, 2024

Sifa kwa Bwana!

Elizabeth Mrema (Guest) on March 22, 2024

Mungu akubariki!

Stephen Amollo (Guest) on February 28, 2024

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Samson Tibaijuka (Guest) on October 2, 2023

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Patrick Kidata (Guest) on September 26, 2023

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

James Kimani (Guest) on September 7, 2023

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Victor Malima (Guest) on September 2, 2023

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Victor Mwalimu (Guest) on July 1, 2023

Mungu ni mwema, wakati wote!

David Sokoine (Guest) on March 15, 2023

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Josephine Nekesa (Guest) on November 25, 2022

Mwamini katika mpango wake.

Edward Lowassa (Guest) on October 28, 2022

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Paul Kamau (Guest) on August 10, 2022

Neema ya Mungu inatosha kwako

Alex Nyamweya (Guest) on August 9, 2021

Katika imani, yote yanawezekana

Francis Njeru (Guest) on May 24, 2021

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Alex Nakitare (Guest) on March 9, 2021

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Catherine Mkumbo (Guest) on February 18, 2021

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Lucy Wangui (Guest) on August 25, 2020

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Rose Mwinuka (Guest) on June 4, 2020

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Lucy Kimotho (Guest) on May 16, 2020

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Brian Karanja (Guest) on May 8, 2020

Mwamini Bwana; anajua njia

Alice Jebet (Guest) on December 20, 2019

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Victor Mwalimu (Guest) on September 18, 2019

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Emily Chepngeno (Guest) on May 2, 2019

Nguvu hutoka kwa Bwana

Irene Akoth (Guest) on April 21, 2019

Rehema hushinda hukumu

Anna Malela (Guest) on March 7, 2019

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Peter Mugendi (Guest) on January 24, 2019

Dumu katika Bwana.

Grace Njuguna (Guest) on January 19, 2019

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Stephen Amollo (Guest) on August 25, 2018

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Diana Mumbua (Guest) on June 3, 2018

Endelea kuwa na imani!

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 26, 2018

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Samuel Were (Guest) on January 31, 2018

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Chris Okello (Guest) on January 21, 2018

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Joseph Mallya (Guest) on January 5, 2018

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Margaret Mahiga (Guest) on December 17, 2017

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Simon Kiprono (Guest) on October 29, 2017

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Mary Mrope (Guest) on August 29, 2017

Rehema zake hudumu milele

Joseph Kiwanga (Guest) on May 7, 2017

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Samson Tibaijuka (Guest) on March 21, 2017

Baraka kwako na familia yako.

Victor Malima (Guest) on March 5, 2017

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Anna Kibwana (Guest) on December 19, 2016

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Rose Waithera (Guest) on November 19, 2016

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Simon Kiprono (Guest) on June 27, 2016

Neema na amani iwe nawe.

Ruth Mtangi (Guest) on December 23, 2015

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

David Kawawa (Guest) on December 20, 2015

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Peter Mwambui (Guest) on December 10, 2015

Imani inaweza kusogeza milima

Nancy Kawawa (Guest) on October 9, 2015

Nakuombea 🙏

David Nyerere (Guest) on July 17, 2015

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Mary Kendi (Guest) on July 5, 2015

Tumaini ni nanga ya roho

Related Posts

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu imani na matendo?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu imani na matendo?

Kanisa Katoliki ni moja ya madhehebu makubwa zaidi ya Ukristo duniani. Na kama madhehebu mengine ... Read More

Mambo ya Msingi Unayopaswa kufahamu kuhusu Ekaristi Takatifu: Mwili na Damu Ya Bwana Wetu Yesu Kristu

Mambo ya Msingi Unayopaswa kufahamu kuhusu Ekaristi Takatifu: Mwili na Damu Ya Bwana Wetu Yesu Kristu

Read More

Kuumbwa kwa mtu, Mungu alivyoumba binadamu

Kuumbwa kwa mtu, Mungu alivyoumba binadamu

Read More
Siri ya kamba nyekundu

Siri ya kamba nyekundu

Miaka zaidi ya 3000 iliyopita katika mji wa Yeriko alikuwepo mwanamke mmoja kahaba, jina lake Rah... Read More

Siri za Dominika: Masomo ya Misa ya Jumapili Zafichua Ujumbe Muhimu

Siri za Dominika: Masomo ya Misa ya Jumapili Zafichua Ujumbe Muhimu

Siri za Dominika: Masomo ya Misa ya Jumapili Zafichua Ujumbe Muhimu

Katika kila Jumapili, ... Read More

Kugundua Huruma ya Mungu: Kupata Amani ya Ndani

Kugundua Huruma ya Mungu: Kupata Amani ya Ndani

Kugundua Huruma ya Mungu: Kupata Amani ya Ndani

Karibu kwenye makala hii inayojadili kuhus... Read More

Utaratibu wa Mkristo Mkatoliki Kanisani

Utaratibu wa Mkristo Mkatoliki Kanisani

Read More
Huruma ya Mungu: Ukarimu Usiokuwa na Kikomo

Huruma ya Mungu: Ukarimu Usiokuwa na Kikomo

Huruma ya Mungu: Ukarimu Usiokuwa na Kikomo

Katika maisha yetu ya kila siku, tunakabiliana... Read More

Kupokea Huruma ya Mungu: Kuishi kwa Shukrani na Ukarimu

Kupokea Huruma ya Mungu: Kuishi kwa Shukrani na Ukarimu

Kupokea Huruma ya Mungu: Kuishi kwa Shukrani na Ukarimu

Karibu kwenye makala hii ambayo in... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maisha ya milele?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maisha ya milele?

Kanisa Katoliki ni moja ya madhehebu ya Kikristo yanayoamini katika maisha ya milele. Imani hii n... Read More

MITAGUSO MIKUU YA KANISA KATOLIKI

MITAGUSO MIKUU YA KANISA KATOLIKI

Read More

Ibada ya Novena ya Huruma ya Mungu: Kupokea Neema na Baraka

Ibada ya Novena ya Huruma ya Mungu: Kupokea Neema na Baraka

Ibada ya Novena ya Huruma ya Mungu: Kupokea Neema na Baraka

Karibu kwa Ibada ya Novena ya ... Read More