Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
โ˜ฐ
AckyShine

Hadithi: Mkasa wa kusisimua, Jifunze kitu hapa

Featured Image

Watu wawili๐Ÿ‘ฌ walikuwa wanakunywa pombe๐Ÿบ๐Ÿป baa. Wakati wanakunywa wakaanza kubishana๐Ÿ™…๐Ÿพโ€โ™‚ na baadaye ule ubishi ukawa ugomvi.

Mmoja akamrukia mwenzake akaanza kumpiga. Baada ya kumpiga kwa muda mrefu akagundua kuwa mwenzake hapumui tena.

Kumbe amemwua mwenzie.๐Ÿ˜ฐ

Ndipo alipoanza kukimbia๐Ÿƒ๐Ÿพ huku shati laki likiwa limechafuka sana na damu. Wale waliyokuwa wanauangalia ule ugomvi wakaanza kumfukuza.
๐Ÿƒ๐Ÿพ ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™€๐Ÿƒ๐Ÿพ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™€๐Ÿƒ๐Ÿพ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™€๐Ÿƒ๐Ÿพ

Huyu mwuaji akakimbilia kwenye ๐Ÿก๐Ÿƒ๐Ÿพnyumba ya mtu mmoja mcha Mungu na akamwomba yule mtu amfiche maana ameua mtu na watu walikuwa wanamfukuza.

Yule mcha Mungu akasema nitakuficha wapi wakati mimi nina chumba kimoja tu?๐Ÿ˜จ

Yule mwuaji akamjibu akamwambia acha kuendelea kupoteza wakati fikiria tu mahali pa kunificha. Yule mcha Mungu akavua shati๐Ÿ‘” lake safi akampa yule mwuaji alafu yeye akachukua lile shati la muaji lililojaa damu akalivaa.

Akampa sharti yule mwuaji na kumwambia tunza shati langu usilichafue. Yule mcha Mungu alipofungua mlango wa chumba chake wale watu wakamvamia๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™€๐Ÿƒ๐Ÿพ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™€๐Ÿƒ๐Ÿพ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™€๐Ÿƒ๐Ÿพ๐Ÿƒ๐Ÿพ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™€๐Ÿƒ๐Ÿพ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™€๐Ÿƒ๐Ÿพ na kumpiga sana wakijua yeye ndo mwuaji huku mwuaji akiondoka salama na kurudi kwake.

Baada ya kumpiga sana yule ndugu akapelekwa polisi๐Ÿ‘ฎ๐Ÿพ๐Ÿ‘ฎ๐Ÿฝโ€โ™€ na baadaye akapelekwa mahakamani na akahukumiwa kunyongwa๐Ÿ‘ด๐Ÿผ kwa kumwua mtu mwingine.

Yule mwuaji halisi akiwa kule nyumbani alijisikia vibaya sana๐Ÿ˜ž akaenda mahakamani akajisalimisha akasema yeye ndiye aliyeua, yule ndugu aachiwe huru.

Hakimuโš– akamwambia umechelewa, yule ndugu kesha nyongwa.

Alilia๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ฉ sana na kujiambia kuwa yule mtu amekufa kwa kosa ambalo sio lake.๐Ÿ˜ฐ

Akakumbuka maneno ya mwisho ya yule ndugu _*"LITUNZE SHATI LANGU USILICHAFUE."*_

Wapendwa,
YESU alikufa kwa ajili ya dhambi zako na zangu. Alichukua vazi letu lililochafuliwa na uchafu wa dhambi zetu akatupa vazi Lake takatifu la haki. YESU aliuawa kwa kosa lako na langu. Akatupa haki Yake na kutuambia tusichafue tena maisha yetu.

Kuendelea kutenda dhambi baada ya yale ambayo Yesu ametufanyia ni kuidharau sana kazi ya msalaba na kuikanyagia chini Damu Yake ambayo tumesafishwa kwayo.

Ni kushindwa kuthamini kuwa kuna mtu alishakufa kwa ajili yetu. Ni kushindwa kutambua uthamani wa wokovu ambao tumeupokea.

Wapendwa,
*Tutapataje kupona tusipojali wokovu mkuu namna hii?*

T A F A K A R I

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Benjamin Kibicho (Guest) on July 21, 2024

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Betty Akinyi (Guest) on June 14, 2024

Dumu katika Bwana.

Peter Otieno (Guest) on March 16, 2024

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Mariam Kawawa (Guest) on March 13, 2024

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

David Musyoka (Guest) on December 9, 2023

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Thomas Mwakalindile (Guest) on September 1, 2023

Rehema hushinda hukumu

David Kawawa (Guest) on July 18, 2023

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Jane Malecela (Guest) on February 23, 2023

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Michael Onyango (Guest) on February 14, 2023

Neema ya Mungu inatosha kwako

Vincent Mwangangi (Guest) on December 19, 2022

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Mary Kidata (Guest) on June 6, 2022

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Henry Mollel (Guest) on May 26, 2022

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

David Ochieng (Guest) on May 14, 2022

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Isaac Kiptoo (Guest) on August 29, 2021

Nguvu hutoka kwa Bwana

Francis Mrope (Guest) on January 30, 2021

Tumaini ni nanga ya roho

Chris Okello (Guest) on June 28, 2020

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Peter Tibaijuka (Guest) on June 10, 2020

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Chris Okello (Guest) on May 20, 2020

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Sarah Karani (Guest) on May 13, 2020

Endelea kuwa na imani!

Ann Awino (Guest) on March 1, 2020

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Betty Akinyi (Guest) on February 24, 2020

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Betty Kimaro (Guest) on December 11, 2019

Imani inaweza kusogeza milima

Jane Muthui (Guest) on October 23, 2019

Baraka kwako na familia yako.

Thomas Mwakalindile (Guest) on October 14, 2019

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Peter Mugendi (Guest) on September 7, 2019

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Irene Akoth (Guest) on May 28, 2019

Mwamini katika mpango wake.

Ann Wambui (Guest) on May 26, 2019

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Robert Ndunguru (Guest) on April 22, 2019

Mungu akubariki!

Elizabeth Malima (Guest) on March 11, 2019

Neema na amani iwe nawe.

Edward Lowassa (Guest) on October 16, 2018

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Jane Muthoni (Guest) on September 5, 2018

Nakuombea ๐Ÿ™

Charles Wafula (Guest) on August 13, 2018

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Robert Okello (Guest) on July 3, 2018

Katika imani, yote yanawezekana

Monica Adhiambo (Guest) on May 13, 2018

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Betty Akinyi (Guest) on April 2, 2018

Mwamini Bwana; anajua njia

Stephen Kikwete (Guest) on October 1, 2017

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

James Kimani (Guest) on July 15, 2017

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Benjamin Kibicho (Guest) on June 8, 2017

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Betty Kimaro (Guest) on May 1, 2017

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Faith Kariuki (Guest) on March 27, 2017

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Francis Mtangi (Guest) on March 26, 2017

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Henry Sokoine (Guest) on October 26, 2016

Sifa kwa Bwana!

Grace Minja (Guest) on August 10, 2016

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Joy Wacera (Guest) on April 3, 2016

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

George Tenga (Guest) on February 20, 2016

Rehema zake hudumu milele

Victor Kamau (Guest) on December 8, 2015

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

John Lissu (Guest) on November 5, 2015

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Lucy Mahiga (Guest) on October 4, 2015

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Janet Mbithe (Guest) on June 5, 2015

Mungu ni mwema, wakati wote!

Frank Sokoine (Guest) on April 27, 2015

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Related Posts

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu toba na wongofu?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu toba na wongofu?

Katika Kanisa Katoliki, toba na wongofu ni sehemu muhimu ya maisha ya Kikristo. Imani yetu inatuf... Read More

Je, Kanisa Katoliki linamwamini Mungu mmoja au Miungu mingi?

Je, Kanisa Katoliki linamwamini Mungu mmoja au Miungu mingi?

Salaam wapenzi wa Kristo! Leo tunajadili swali muhimu sana kuhusu imani yetu ya kikatoliki. Je, K... Read More

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa haki na kulinda haki za binadamu?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa haki na kulinda haki za binadamu?

Kanisa Katoliki ni moja kati ya makanisa makubwa duniani ambayo yamejikita katika kufundisha na k... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu sakramenti ya Kipaimara?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu sakramenti ya Kipaimara?

Sakramenti ya Kipaimara ni sakramenti ya tatu katika Kanisa Katoliki baada ya Sakramenti ya Ubati... Read More

Mafundisho makubwa ya Yesu Kristo

Mafundisho makubwa ya Yesu Kristo

Read More
Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maisha ya milele?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maisha ya milele?

Kanisa Katoliki ni moja ya madhehebu ya Kikristo yanayoamini katika maisha ya milele. Imani hii n... Read More

Je, Kanisa Katoliki linapinga utoaji mimba na kuhimiza kulinda na kuheshimu uhai wa watoto wachanga?

Je, Kanisa Katoliki linapinga utoaji mimba na kuhimiza kulinda na kuheshimu uhai wa watoto wachanga?

Karibu kwenye makala hii, ambapo tutajadili suala la utoaji mimba na jinsi Kanisa Katoliki linavy... Read More

Tarehe ya Pasaka inavyopatikana

Tarehe ya Pasaka inavyopatikana

KWANINI TAREHE ZA PASAKA HUBADILIKA KILA MWAKA ??

JIBU:
KALENDA za mwanzo ziliutumia m... Read More

Mafundisho na mapokeo Katika Kanisa Katoliki yanapopatikana kwenye Biblia

Mafundisho na mapokeo Katika Kanisa Katoliki yanapopatikana kwenye Biblia

Read More
Kupokea Huruma ya Mungu: Kuishi kwa Shukrani na Ukarimu

Kupokea Huruma ya Mungu: Kuishi kwa Shukrani na Ukarimu

Kupokea Huruma ya Mungu: Kuishi kwa Shukrani na Ukarimu

Karibu kwenye makala hii ambayo in... Read More

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha Ndoa kama sakramenti ya agano la upendo na uaminifu?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha Ndoa kama sakramenti ya agano la upendo na uaminifu?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha Ndoa kama sakramenti ya agano la upendo na uaminifu?... Read More

Soma stori hii, unaweza ukajifunza kitu

Soma stori hii, unaweza ukajifunza kitu

Kijana mmoja alisafiri kwa meli na rafiki zake,
wakiwa katikati ya safari yao meli ilianzaRead More