Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
AckyShine

Mambo 7 ya kubadili katika maisha ili ubadilike

Featured Image

1. Huwezi kubadili namna watu walivyokutendea mpaka ubadili namna unavyowatendea.​

Matayo 7:12;
"Basi yote myatakayo mtendewe na watu, nanyi watendeeni vivyo hivyo; maana hiyo ndiyo Torati na Manabii."

​2. Huwezi kubadili tabia mpaka ubadili marafiki.​

1Wakorintho 15:33
"Msidanganyike; Mazungumzo mabaya huharibu tabia njema."

​3. Huwezi kubadili ulichovuna mpaka ubadili ulichokipanda.​

Wagalatia 6:7;
"Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa chochote apandacho mtu, ndicho atakachovuna."

​4. Huwezi kubadili mwelekeo wa maisha yako mpaka ubadili dereva.​

Kutoka 23:1-3;
"Msivumishe habari za uongo; usishirikiane na mwovu kwa kuwa shahidi wa uongo. Usiwafuate walio wengi katika kutenda uovu; wala usitie ushahidi wako katika neno lolote kwa kugeukia kando na kuandamana na mkutano ili kupotosha hukumu; wala usimpendelee mtu mnyonge katika neno lake".

Maisha yako yaweza ongozwa na mkumbo wa watu au ​MSIMAMO​ wako ​BINAFSI​ kwa ​UNACHOKIAMINI.​

​5. Huwezi kubadili hali yako ya kifedha mpaka ubadili tabia yako ya kifedha.​

Mithali 21:17;
Mtu apendaye anasa atakuwa maskini; yeyote apendaye mvinyo, kula na manukato hatakuwa tajiri."

​Mtindo wa maisha ya ufukara ndiyo busara kwa wengi.​

​6. Huwezi kunibadili mpaka ujibadili mwenyewe.​

Matayo 7:3-5.
"Basi, mbona wakitazama kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako, na boriti iliyo ndani ya jicho lako mwenyewe huioni? Au utamwambiaje nduguyo, Niache nikitoe kibanzi katika jicho lako; na kumbe! Mna boriti ndani ya jicho lako mwenyewe? Mnafiki wewe, itoe kwanza ile boriti katika jicho lako mwenyewe; ndipo utakapoona vema kukitoa kile kibanzi katika jicho la ndugu yako."

​7. Huwezi kubadili mtazamo wako wa kifikra mpaka ubadilipo usikiacho.​

Mithali 23:7;
"Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo.
Akuambia haya kula, kunywa; lakini moyo wake hauwi pamoja nawe."

​(Waache wenye Hekima wasikilize na kuongeza ufahamu wao.)​

Huyo anayesikiliza, huashiria na kuamua kile anachojifunza.

Kile unachojifunza, huashiria uelewa ulio nao kichwani mwako.

Uelewa ulionao kichwani mwako, huashiria maamuzi yako.

Na maamuzi yako, huashiria ​mwelekeo wa maisha yako.​

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Elizabeth Mrope (Guest) on March 31, 2024

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Peter Mwambui (Guest) on February 22, 2024

Mwamini katika mpango wake.

Samuel Omondi (Guest) on January 22, 2024

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

John Lissu (Guest) on January 1, 2024

Nakuombea 🙏

James Malima (Guest) on August 21, 2023

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Edward Chepkoech (Guest) on July 26, 2023

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

George Ndungu (Guest) on July 25, 2023

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Elizabeth Malima (Guest) on April 30, 2023

Imani inaweza kusogeza milima

Joyce Aoko (Guest) on February 15, 2023

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Moses Mwita (Guest) on February 10, 2023

Nguvu hutoka kwa Bwana

Victor Sokoine (Guest) on December 4, 2022

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Agnes Lowassa (Guest) on November 4, 2022

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Paul Kamau (Guest) on October 5, 2022

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Joyce Aoko (Guest) on September 20, 2022

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Alice Wanjiru (Guest) on June 24, 2022

Mungu ni mwema, wakati wote!

Patrick Mutua (Guest) on April 19, 2022

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Ann Wambui (Guest) on March 12, 2022

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Anna Kibwana (Guest) on March 7, 2022

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Anna Mahiga (Guest) on March 4, 2022

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Lucy Mahiga (Guest) on February 9, 2022

Katika imani, yote yanawezekana

Fredrick Mutiso (Guest) on January 5, 2022

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Thomas Mtaki (Guest) on October 16, 2021

Rehema hushinda hukumu

Diana Mallya (Guest) on July 22, 2021

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Dorothy Majaliwa (Guest) on June 4, 2021

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Peter Otieno (Guest) on March 31, 2021

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Brian Karanja (Guest) on March 22, 2021

Sifa kwa Bwana!

Raphael Okoth (Guest) on March 16, 2021

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Victor Kamau (Guest) on January 30, 2021

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Peter Mwambui (Guest) on January 24, 2021

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Mary Mrope (Guest) on May 20, 2020

Baraka kwako na familia yako.

Mary Kendi (Guest) on April 11, 2020

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Alex Nakitare (Guest) on December 29, 2019

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

John Mwangi (Guest) on October 2, 2019

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Edwin Ndambuki (Guest) on March 20, 2019

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Irene Akoth (Guest) on January 5, 2019

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Anna Kibwana (Guest) on November 13, 2018

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Joy Wacera (Guest) on October 8, 2018

Tumaini ni nanga ya roho

Francis Mtangi (Guest) on June 21, 2018

Neema na amani iwe nawe.

Catherine Mkumbo (Guest) on January 15, 2018

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Thomas Mwakalindile (Guest) on January 4, 2018

Neema ya Mungu inatosha kwako

Mercy Atieno (Guest) on May 24, 2017

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

George Ndungu (Guest) on April 22, 2017

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Benjamin Kibicho (Guest) on January 29, 2017

Mwamini Bwana; anajua njia

Janet Sumaye (Guest) on January 24, 2017

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Frank Sokoine (Guest) on August 6, 2016

Rehema zake hudumu milele

Janet Mbithe (Guest) on April 25, 2016

Dumu katika Bwana.

Peter Mugendi (Guest) on April 24, 2016

Mungu akubariki!

Grace Mushi (Guest) on March 9, 2016

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Lydia Wanyama (Guest) on October 11, 2015

Endelea kuwa na imani!

Grace Minja (Guest) on May 25, 2015

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Related Posts

Je, Kanisa Katoliki linamwamini shetani kama mkuu wa uovu?

Je, Kanisa Katoliki linamwamini shetani kama mkuu wa uovu?

Je, Kanisa Katoliki linamwamini shetani kama mkuu wa uovu? Jibu ni Ndio,  Swali hili limekuwa likiz... Read More
Kukusanya Hekima Kutoka kwa Masomo ya Misa ya Dominika: Jinsi ya Kufanya

Kukusanya Hekima Kutoka kwa Masomo ya Misa ya Dominika: Jinsi ya Kufanya

Kukusanya Hekima Kutoka kwa Masomo ya Misa ya Dominika: Jinsi ya Kufanya

Kumekuwa na destu... Read More

Mafundisho ya kumfundisha mtu mzima kabla ya ubatizo wa hatari

Mafundisho ya kumfundisha mtu mzima kabla ya ubatizo wa hatari

Read More
Kuumbwa kwa Dunia

Kuumbwa kwa Dunia

Read More
Zaburi ya Toba, Zaburi ya 51

Zaburi ya Toba, Zaburi ya 51

Read More
Majivuno na Kujikweza Mbele ya Mungu

Majivuno na Kujikweza Mbele ya Mungu

Read More
Asili na matumizi ya Neno "AMINA" kama kiitikio muhimu katika Liturujia

Asili na matumizi ya Neno "AMINA" kama kiitikio muhimu katika Liturujia

Read More
Je, Kanisa Katoliki linatambua na kufundisha umuhimu wa familia na ndoa katika maisha ya Kikristo?

Je, Kanisa Katoliki linatambua na kufundisha umuhimu wa familia na ndoa katika maisha ya Kikristo?

Je, Kanisa Katoliki linatambua na kufundisha umuhimu wa familia na ndoa katika maisha ya Kikristo... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu toba na wongofu?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu toba na wongofu?

Katika Kanisa Katoliki, toba na wongofu ni sehemu muhimu ya maisha ya Kikristo. Imani yetu inatuf... Read More

Soma stori hii, unaweza ukajifunza kitu

Soma stori hii, unaweza ukajifunza kitu

Kijana mmoja alisafiri kwa meli na rafiki zake,
wakiwa katikati ya safari yao meli ilianzaRead More

Ufafanuzi wa Sala ya Baba yetu

Ufafanuzi wa Sala ya Baba yetu

Read More
Mafundisho na mapokeo Katika Kanisa Katoliki yanapopatikana kwenye Biblia

Mafundisho na mapokeo Katika Kanisa Katoliki yanapopatikana kwenye Biblia

Read More