Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Ushauri kuhusu mwanamke wa kufaa kuoa

Featured Image

Nawaandikia ninyi vijana wa kiume na wanaume wote, maana mna nguvu na mmejaliwa na mwenyezi Mungu utashi, hekima na busara. Yote hayo ni ili muweze kutawala kila kitu tokea kuumbwa kwa misingi ya ulimwengu huu. Wekeni wivu pembeni na Yafuateni haya;


1. Oa mwanamke ambae unaweza KUSALI nae na sio kwa sababu anajua KUFANYA MAPENZI vema.


2. Mwanaume bora KAMWE hapimwi kwa idadi ya wanawake alionao au aliotembea nao BALI kwa idadi ya wanawake aliowaambia "Mimi ni mume wa mtu" au ninae mtu tayari.


3. Kuna aina ya wanawake unatakiwa kuwaepuka kabisa kwa gharama yoyote ile, "wanawake wamaodhani uzuri wao ndio bora zaidi kuliko tabia zao"


4. Kila mwanamke anavutia akivaa nguo fupi inayoonesha maungo yake wazi, ila kama utakuta mwanamke amevaa nguo ndefu au za kusitiri mwili wake na bado anavutia, huyu ni dhahabu! Anathamini mali za mumewe!


5. Kamwe usimpe mwanamke mimba ya mtoto kabla hujampa mimba ya malengo na ukayatimiza.


6. Tafuta mwanamke ambae atakupa challenge ya maisha na kuongeza uwezo wako wa kufikiri na sio mwanamke wa kila kitu Ndio mzee!


7. Wanawake wakamilifu hawapatikani popote duniani, ila wanawake bora wapo kila mahali.


8. Mwanamke anaweza kukusaliti, ila Mungu hawezi kukusaliti, hivyo basi kabla hujapata mwanamke Mpate Mungu kwanza. Kuna raha sana kuwa ndani ya Mungu asikwambie mtu!


9. Kama unajijua umefikisha miaka 25 na kuendelea epuka mambo ya kivulana, kuvaa suruali katikati ya makalio, kuvaa hereni, kubadili badili wanawake kama unachambua mitumba ya karume etc


10. Usitumie kichwa chako kunyoa kiduku, tumia kichwa chako kuwaza mambo yenye tija ikiwemo kutafuta pesa na kuongeza hazina ya maarifa.
MBARIKIWE SANA WANAUME WOTE WENYE BUSARA..






Kama Mwanamme Download Kitabu cha SIRI ZA MWANAMKE ili uweze kuwafahamu zaidi wanawake




[products columns="2" ids="30827"]


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Je, ni muhimu kuzungumzia kuhusu upendeleo wako wa ngono/kufanya mapenzi kabla ya kuingia katika uhusiano?

Je, ni muhimu kuzungumzia kuhusu upendeleo wako wa ngono/kufanya mapenzi kabla ya kuingia katika uhusiano?

Je, ni muhimu kuzungumzia upendeleo wako wa ngono kabla ya kuingia katika uhusiano? Jibu ni ndio!... Read More

Jinsi ya Kujenga na kudumisha urafiki na ndugu wa mpenzi wako

Jinsi ya Kujenga na kudumisha urafiki na ndugu wa mpenzi wako

Kujenga na kudumisha urafiki na ndugu wa mpenzi wako ni muhimu kwa kukuza uhusiano wako na mpenzi wa... Read More
Jinsi ya Kuunda Mazingira ya Kujifunza na Kukua katika Familia

Jinsi ya Kuunda Mazingira ya Kujifunza na Kukua katika Familia

Karibu katika makala hii ambapo tutaangazia jinsi ya kuunda mazingira ya kujifunza na kukua katik... Read More

Njia za Kuimarisha Ushirikiano wa Kijamii na Kuwa na Urafiki katika Familia

Njia za Kuimarisha Ushirikiano wa Kijamii na Kuwa na Urafiki katika Familia

Kila familia inahitaji ushirikiano mzuri na urafiki wenye nguvu ili kuweza kudumisha mahusiano ma... Read More

Kujenga Ushirikiano wenye Uwiano na Kuhamasisha Uadilifu katika Familia

Kujenga Ushirikiano wenye Uwiano na Kuhamasisha Uadilifu katika Familia

Kujenga Ushirikiano Wenye Uwiano na Kuhamasisha Uadilifu katika Familia

Familia ni moja ya... Read More

Njia za Kuimarisha Ushirikiano wa Kijamii na Jamaa katika Familia Yako

Njia za Kuimarisha Ushirikiano wa Kijamii na Jamaa katika Familia Yako

Kuimarisha ushirikiano wa kijamii na jamaa katika familia yako ni muhimu sana kwa afya na ustawi ... Read More

Jinsi ya Kujenga Mazingira ya Kimapenzi Kabla ya Kufanya Mapenzi

Jinsi ya Kujenga Mazingira ya Kimapenzi Kabla ya Kufanya Mapenzi

Mapenzi ni muhimu katika maisha ya kila mtu. Lakini, ili uweze kuwa na mapenzi yasiyo ya kawaida ... Read More

Kuhamasisha Upendo na Kuonyesha Upendo katika Kila Siku ya Familia

Kuhamasisha Upendo na Kuonyesha Upendo katika Kila Siku ya Familia

Kuhamasisha Upendo na Kuonyesha Upendo katika Kila Siku ya Familia

Familia ni chanzo muhim... Read More

Kukabiliana na Mazoea ya Kutokuelewana katika Mahusiano: Kusikiliza na Kuwa na Tahadhari

Kukabiliana na Mazoea ya Kutokuelewana katika Mahusiano: Kusikiliza na Kuwa na Tahadhari

Mahusiano yoyote yatakumbwa na changamoto na mojawapo ya changamoto hizo ni kutokuelewana. Hiki n... Read More

Ujumbe kwa mabinti kuhusu uvaaji

Ujumbe kwa mabinti kuhusu uvaaji

Familia Kwanza: Wasichana wawili waliwasili kwenye Kikao huku wamevaa nguo ambazo zilikuwa zikion... Read More

Jinsi ya Kusaidiana katika Kujenga Ustawi wa Kihisia na mke wako

Jinsi ya Kusaidiana katika Kujenga Ustawi wa Kihisia na mke wako

Kusaidiana katika kujenga ustawi wa kihisia na mke wako ni muhimu katika kuimarisha uhusiano wenu na... Read More
Je, kuna umuhimu wa kujadili mipaka ya faragha katika uhusiano wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna umuhimu wa kujadili mipaka ya faragha katika uhusiano wa ngono/kufanya mapenzi?

Leo tutaongelea kuhusu umuhimu wa kujadili mipaka ya faragha katika uhusiano wa ngono au kufanya ... Read More