Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Je, mapacha wanapatikanaje?

Featured Image
Zipo aina mbili za mapacha, wale wanaofanana na wale wasiofanana. Karibu robo ya mapacha wote hufanana. Hii ina maana kwamba wametokana na yai moja lililotungwa mimba ambalo hujigawa katika makundi mawili tofauti ya chembechembe, kila mojawapo hubadilika kuwa kiumbe pekee. Hadi sasa, wataalamu hawaelewi vizuri sababu za yai kujigawa. Mapacha wa aina hii , kwa vile wametokana na yai moja, mara zote huwa na jinsia moja na hufanana sana kimaumbile.
Mapacha wasiofanana hutokea wakati wa yai kupevuka, kokwa za mwanamke hutokea zikawa mayai mawili badala ya moja tu. Mayai yote mawili hurutubishwa na hutungishwa mimba kwa mbegu mbili tofauti za mwanaume. Viumbe viwili hukua wakati mmoja katika mfuko wa uzazi. Mbali ya kukua katika mfuko mmoja wa uzazi na kuwa na umri uleule, mapacha hawa ni sawa sawa na watoto wengine wawili wa wazazi haohao. Wanaweza kuwa wa jinsia na maumbile tofauti kabisa.
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Kumbadilisha mtu aliyeathirika na dawa za kulevya

Kumbadilisha mtu aliyeathirika na dawa za kulevya

Endapo rafiki au jamaa anaomba msaada wa kuacha kutumia dawa za kulevya unaweza kumsaidia kwa kum... Read More

Je, kuna tofauti za kitabia katika ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna tofauti za kitabia katika ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna tofauti za kitabia katika ngono/kufanya mapenzi? Ndio, kuna! Ili kufurahi na kufikia kil... Read More

Je, ni muhimu kuwa na mipaka wazi katika uhusiano wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, ni muhimu kuwa na mipaka wazi katika uhusiano wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, ni muhimu kuwa na mipaka wazi katika uhusiano wa ngono/kufanya mapenzi? Hili ni swali ambalo ... Read More

Je, watu wanaamini katika kutumia dawa za kuongeza hamu ya ngono/kufanya mapenzi?

Je, watu wanaamini katika kutumia dawa za kuongeza hamu ya ngono/kufanya mapenzi?

Je, watu wanaamini katika kutumia dawa za kuongeza hamu ya ngono/kufanya mapenzi? Hili ni swali a... Read More

Je, Ni Sahihi Kufanya Ngono na Mpenzi Wangu wa Mbali (Long-Distance)?

Je, Ni Sahihi Kufanya Ngono na Mpenzi Wangu wa Mbali (Long-Distance)?

Je, ni sahihi kufanya ngono na mpenzi wangu wa mbali? Swali hili limekuwa likiwasumbua vijana wen... Read More

Njia ya kuzuia mimba inayofaa kwa kijana anayeanza kujamiiana

Njia ya kuzuia mimba inayofaa kwa kijana anayeanza kujamiiana

Kila njia ya kuzuia mimba ina faida na hasara zake. Kwa mfano faida ya vidonge ni kwamba kama mwa... Read More

Vidokezo vya Kuwa na Tarehe ya Kimapenzi na Msichana

Vidokezo vya Kuwa na Tarehe ya Kimapenzi na Msichana

Kama wewe ni miongoni mwa wanaume wanaotaka kuwa na tarehe ya kimapenzi na msichana, kuna vidokez... Read More

Vidokezo vya Kufanya Msichana Aone Thamani Yako

Vidokezo vya Kufanya Msichana Aone Thamani Yako

Vidokezo vya Kufanya Msichana Aone Thamani Yako

Mara nyingi, kama wanaume, tunataka kuonye... Read More

Kwa nini Albino wanatengwa katika masuala ya mapenzi na wale watu ambao siyo Albino?

Kwa nini Albino wanatengwa katika masuala ya mapenzi na wale watu ambao siyo Albino?

Watu huogopa kujaribu vitu au mambo ambayo hawajayazoea
au yale ambayo yapo tofauti. Jinsi u... Read More

Nikitafuta rafiki kwa nia ya kuoana (mchumba), je ni sifa gani niangalie kwa msichana/mvulana?

Nikitafuta rafiki kwa nia ya kuoana (mchumba), je ni sifa gani niangalie kwa msichana/mvulana?

Kuchagua mchumba ni moja ya maamuzi ambayo kijana anahitaji kuyafanya kwa uangalifu mkubwa sana. Kwa... Read More
Nifanyeje Kuzungumza na Mwenzi Wangu kuhusu Matumizi ya Vidonge vya Kuzuia Mimba?

Nifanyeje Kuzungumza na Mwenzi Wangu kuhusu Matumizi ya Vidonge vya Kuzuia Mimba?

Nifanyeje Kuzungumza na Mwenzi Wangu kuhusu Matumizi ya Vidonge vya Kuzuia Mimba? 🌸🌍

Read More
Jinsi ya Kuwa na Ukaribu wa Kihisia na Msichana

Jinsi ya Kuwa na Ukaribu wa Kihisia na Msichana

Kuwa katika uhusiano wa kimapenzi na msichana ni jambo zuri sana. Hata hivyo, kuwa na ukaribu wa ... Read More