Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Vidonge vya kuzuia mimba vinasababisha vidonda vya tumbo?

Featured Image

Wanawake wengine wanapata vidonda vya tumbo, lakini haya hayana uhusiano na vidonge vya kuzuia mimba. Vyanzo vya vidonda vya tumbo mara nyingi ni maambukizi yatokanayo na msongo wa mawazo, kula vyakula vyenye mafuta mengi na viungo vingi, au kuwa na historia ya ugonjwa huu katika familia. Baadhi ya dawa huathiri tumbo kama vile asprini na ndiyo maana sio kila mtu anashauriwa kuzitumia. Vidonge vya kuzuia mimba havisababishi vidonda vya tumbo.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Nifanye nini nikipata hamu ya kujamiiana au kufanya mapenzi?

Nifanye nini nikipata hamu ya kujamiiana au kufanya mapenzi?

Unapofikia ujana unaanza kuwa na hisia za upendo na kujisikia kupata mvuto au msisimko ambao sio wa ... Read More
Je, watu wanapendelea ngono/kufanya mapenzi ya kawaida au ngono/kufanya mapenzi ya kufanya mazoezi ya kimwili?

Je, watu wanapendelea ngono/kufanya mapenzi ya kawaida au ngono/kufanya mapenzi ya kufanya mazoezi ya kimwili?

Habari rafiki! Karibu katika makala hii ambayo itakupa mwanga kuhusu kile watu wanapendelea kati ... Read More

Je, kwa nini akina mama wajawazito hawatakiwi kunywa pombe?

Je, kwa nini akina mama wajawazito hawatakiwi kunywa pombe?

Wanawake wajawazito ambao hunywa pombe au kuvuta sigara
wanahatarisha afya na maisha ya mtot... Read More

Je, magonjwa ya zinaa yanaweza kuenea ukitoa uume kabla ya kumwaga mbegu?

Je, magonjwa ya zinaa yanaweza kuenea ukitoa uume kabla ya kumwaga mbegu?

Ndiyo, magonjwa ya zinaa yanaweza kuenea, hata ukitoa uume kabla ya kumwaga mbegu. Mwenye magonjw... Read More

Vidokezo vya Kufurahia Safari za Pamoja na Msichana

Vidokezo vya Kufurahia Safari za Pamoja na Msichana

Kila mwanamume anapenda kukutana na msichana ambaye anaweza kuwa rafiki wa karibu na kuwa na uhus... Read More

Nini matatizo ya watoto Albino shuleni?

Nini matatizo ya watoto Albino shuleni?

Ingawaje, akili zao hazina hitilafu watoto Albino mara nyingi
hawafanyi vizuri shuleni, na h... Read More

Je, ni kweli kwamba kuvuta bangi kunaongeza akili na uwezo wa kufikiri?

Je, ni kweli kwamba kuvuta bangi kunaongeza akili na uwezo wa kufikiri?

Hapana, hii si kweli! Vijana wanaoamini kwamba wana uwezo wa kufikiri baada ya kuvuta bangi kwa s... Read More

Njia za Kumshtua Msichana kwa Tarehe ya Kwanza

Njia za Kumshtua Msichana kwa Tarehe ya Kwanza

Hakuna kitu kizuri kama kukutana na msichana unayempenda kwa tarehe ya kwanza. Lakini, unapotaman... Read More

Je, mtu anaweza kuzuia kupata mimba baada yakujamiiana bila kinga (kufanya ngono zembe) kwa mfano amebakwa?

Je, mtu anaweza kuzuia kupata mimba baada yakujamiiana bila kinga (kufanya ngono zembe) kwa mfano amebakwa?

Kama umebakwa au kulazimishwa kujamiiana unaweza kupata
huduma katika hospitali, kituo cha a... Read More

Sifa Bora za Mwanamke: Jinsi ya Kumvutia Msichana Sahihi

Sifa Bora za Mwanamke: Jinsi ya Kumvutia Msichana Sahihi

Sifa Bora za Mwanamke: Jinsi ya Kumvutia Msichana Sahihi

Kila mwanaume anatamani kumpata m... Read More

Mabadiliko gani yanatokea kwenye miili ya wavulana Wakati wa makuzi au wakati wa kubalehe?

Mabadiliko gani yanatokea kwenye miili ya wavulana Wakati wa makuzi au wakati wa kubalehe?

Wakati wa makuzi au kipindi cha kubalehe, wavulana hupitia mabadiliko mbali... Read More

Uwezekano kwa msichana au mwanamke aliyebakwa kupata mimba

Uwezekano kwa msichana au mwanamke aliyebakwa kupata mimba

Inawezekana kwa msichana au mwanamke aliyebakwa kupata
mimba. Uwezekano wa kupata mimba ni s... Read More