Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Sheria gani zimetungwa kuhusu ukeketaji?

Featured Image

Serikali zote na mashirika ya kimataifa wameweka mdhamana
na kukubali kulinda haki za binadamu. Tanzania imetia saini ya
mapatano na mikataba ya kimataifa inayohakikisha kuwa kila
mtu ana haki kwa afya na haki ya kuwa huru kutokunyanyaswa
kwa mfano katika Azimio la Umoja wa Mataifa kuhusu Haki za
Binadamu.
Maazimio mengine yaliyoboreshwa ili kulinda haki za wanawake na
watoto,15 ni kama lile Azimio la Kuondoa Ubaguzi kwa Wanawake
na Azimio la Haki za Mtoto. Maazimio haya yanaeleza wazi kuwa
ukeketaji ni desturi mbaya na ni kinyume na haki za binadamu,
kinyume cha haki za mtoto na kinyume cha haki za afya kwa
wanawake. Na zaidi nchi nyingi za kiafrika wamepitisha sheria
kupiga marufuku ukeketaji.16 Hapa Tanzania, Bunge limepitisha
sheria maalumu ya Makosa ya Kujamiiana ya mwaka 1998 ambayo
inakataza ukeketaji kwa wasichana na wanawake vijana chini ya
miaka 18. Pia kuna sera17 ambayo inaelezea jamii kuondoa mila na
desturi kama vile ukeketaji kwa kuwa zina madhara kwa vijana.
Hivyo kama wewe ni msichana chini ya miaka 18 ni kosa la jinai
kufanyiwa tohara na pia ni kosa kwa mangariba kujishughulisha
na ukeketaji wa wanawake.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Mbinu za Kupata Tarehe na Wasichana kwa Mafanikio

Mbinu za Kupata Tarehe na Wasichana kwa Mafanikio

Leo, tunazungumzia mbinu za kupata tarehe na wasichana kwa mafanikio. Kila mtu anataka kuwa na mp... Read More

Je,mwanaume akitoa uume nje ya uke kabla ya kumwaga shahawa anaweza kuambukizwa yeye au mwanamke na Virusi vya UKIMWI na UKIMWI?

Je,mwanaume akitoa uume nje ya uke kabla ya kumwaga shahawa anaweza kuambukizwa yeye au mwanamke na Virusi vya UKIMWI na UKIMWI?

Ndiyo, hata akitoa uume nje ya uke kabla ya kumwaga mbegu anaweza akaambukizwa Virusi vya UKIMWI... Read More

Kwani Albino hawatakiwi kuishi duniani?

Kwani Albino hawatakiwi kuishi duniani?

Albino ni binadamu kama alivyo binadamu mwingine na ana haki
sawa za kuishi na kufaidi kuwep... Read More

Je, kwa nini unasema kwamba wasichana vijana hawapo tayari kubeba mimba?

Je, kwa nini unasema kwamba wasichana vijana hawapo tayari kubeba mimba?

Ni kweli kwamba kupata hedhi ni dalili ya mwili wa msichana kuwa tayari kwa kubeba mimba, lakini ... Read More

Je, nini imani ya watu katika kuzungumza waziwazi juu ya ngono/kufanya mapenzi na kutokuwa na aibu?

Je, nini imani ya watu katika kuzungumza waziwazi juu ya ngono/kufanya mapenzi na kutokuwa na aibu?

Habari rafiki yangu! Leo tutaongea kuhusu umuhimu wa kuzungumza waziwazi juu ya ngono na kufanya ... Read More

Je, nini imani ya watu katika kuelewa na kuheshimu mipaka ya kimwili katika uhusiano wa ngono wakati wa kufanya mapenzi?

Je, nini imani ya watu katika kuelewa na kuheshimu mipaka ya kimwili katika uhusiano wa ngono wakati wa kufanya mapenzi?

Leo tutazungumzia kuhusu imani za watu katika kuelewa na kuheshimu mipaka ya kimwili katika uhusi... Read More

Je, Ni Sahihi Kufanya Ngono na Mpenzi Wangu wa Mbali (Long-Distance)?

Je, Ni Sahihi Kufanya Ngono na Mpenzi Wangu wa Mbali (Long-Distance)?

Je, ni sahihi kufanya ngono na mpenzi wangu wa mbali? Swali hili limekuwa likiwasumbua vijana wen... Read More

Je, nini imani ya watu katika kuelewa na kuheshimu ukuaji wa kingono/kufanya mapenzi wa mwenza wako?

Je, nini imani ya watu katika kuelewa na kuheshimu ukuaji wa kingono/kufanya mapenzi wa mwenza wako?

Je, nini imani ya watu katika kuelewa na kuheshimu ukuaji wa kingono/kufanya mapenzi wa mwenza wa... Read More

Je, ni njia gani zinaweza kuleta hisia za kihisia wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, ni njia gani zinaweza kuleta hisia za kihisia wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, ni njia gani zinaweza kuleta hisia za kihisia wakati wa ngono/kufanya mapenzi? Swali hili lin... Read More

Njia za Kujenga Ushirikiano na Msichana katika Malengo ya Pamoja

Njia za Kujenga Ushirikiano na Msichana katika Malengo ya Pamoja

Kuwashirikisha wasichana katika malengo ya pamoja ni jambo muhimu sana katika jamii yetu. Wasicha... Read More

Je, kuwa kuna mambo ambayo hayafai kuzungumziwa kuhusu ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuwa kuna mambo ambayo hayafai kuzungumziwa kuhusu ngono/kufanya mapenzi?

Habari yako, mpenzi! Katika mada ya leo, tunajadili kuhusu mambo ambayo hayafai kuzungumziwa kuhu... Read More

Watu wafanye nini iwapo wamelazimishwa kufunga ndoa na mtu wasiyemtaka?

Watu wafanye nini iwapo wamelazimishwa kufunga ndoa na mtu wasiyemtaka?

Iwapo mtu amelazimishwa
kuingia katika hali ya ndoa
(kuoa/kuolewa) na msichana/
mv... Read More