Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kutahiriwa kwa wanaume ni sawa na ukeketaji?

Featured Image

Hapana. Ukeketaji na kutahiriwa kwa mwanaume havifanani.
Kama kutahiriwa kwa mwanamume ni sawa na ukeketaji basi
ingebidi uume wote ukatwe kabisa. Katika kumtahiri mwanamume
ni ile ngozi ya govi ya uume ndiyo inaondolewa. Wakati kutahiriwa
kwa wanaume siyo lazima na pia kuna watu wengine wanapinga,
hauna madhara ya kiafya kwa mvulana kama umefanyika
kwa kutumia vyombo na katika mazingira safi. Kwa mvulana
hakuna matatizo kama ametahiriwa au hakutahiriwa! Baadhi
ya wavulana wametahiriwa wakiwa wadogo sana na wengine
wametahiriwa wakati walipokuwa vijana. Hivyo kutahiriwa kila
mara kunaambatana na kumfundisha mvulana kuhusu mila na
jinsi ya kujiheshimu kama mwanamume. Mafunzo haya ndiyo
kitu ambacho hakitofautiani kwa mwanamume na mwanamke
wanaotahiriwa. Vinginevyo kutahiriwa kwa wasichana ni hatari
na huwezi kufananisha na ile ya wavulana.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Je, unafaa kujadili historia yako ya ngono/kufanya mapenzi na mwenza wako?

Je, unafaa kujadili historia yako ya ngono/kufanya mapenzi na mwenza wako?

Je, unafaa kujadili historia yako ya ngono/kufanya mapenzi na mwenza wako? Swali hili limekuwa li... Read More

Je, ni kweli ukinywa maziwa baada ya kuvuta sigara huwezi kudhurika?

Je, ni kweli ukinywa maziwa baada ya kuvuta sigara huwezi kudhurika?

Hapana. Hii si kweli kwa sababu maziwa hayawezi kuondoa
uharibifu uliosababishwa na nikotini... Read More

Je, kama mwanamke na mwanaume wanapata watoto wa jinsia moja tu, ni kosa la nani?

Je, kama mwanamke na mwanaume wanapata watoto wa jinsia moja tu, ni kosa la nani?

Hakuna mwenye kosa, kwa sababu jinsia ya mtoto i inategemea na bahati na hamna uwezekano wa kupan... Read More

Kwa nini mara nyingi mvulana ni mwepesi sana katika kuanzisha kufanya mapenzi? Na kwa nini mwanaume mara nyingi anafikia mshindo kabla ya mwanamke? Mwanaume anawahi kufika kileleni kwa nini?

Kwa nini mara nyingi mvulana ni mwepesi sana katika kuanzisha kufanya mapenzi? Na kwa nini mwanaume mara nyingi anafikia mshindo kabla ya mwanamke? Mwanaume anawahi kufika kileleni kwa nini?

Kwa kawaida i inakubalika kuwa wavulana ndiyo waaanze kuonyesha ishara za kujamiaana na tafiti zi... Read More

Je, kuna umuhimu wa kufanya ngono/kufanya mapenzi kwa mara kwa mara katika uhusiano?

Je, kuna umuhimu wa kufanya ngono/kufanya mapenzi kwa mara kwa mara katika uhusiano?

Je, kuna umuhimu wa kufanya ngono/kufanya mapenzi kwa mara kwa mara katika uhusiano? Hili ndilo s... Read More

Hatua gani zichukuliwe dhidi ya wanaowakeketa au kuwachezea unyago Albino juani?

Hatua gani zichukuliwe dhidi ya wanaowakeketa au kuwachezea unyago Albino juani?

Swali hili linaonyesha mambo mawili ambayo ni mabaya. Jambo
la kwanza ni ukeketaji ambao ni ... Read More

Kwa nini sio Sahihi Kufanya Ngono na Mtu Mmoja wa Marafiki?

Kwa nini sio Sahihi Kufanya Ngono na Mtu Mmoja wa Marafiki?

Kwa nini sio Sahihi Kufanya Ngono na Mtu Mmoja wa Marafiki? πŸŒΈπŸ’”

Jambo zuri siku zote ... Read More

Jinsi ya Kuwa na Tarehe ya Ushirikiano na Msichana

Jinsi ya Kuwa na Tarehe ya Ushirikiano na Msichana

  1. Anza kwa Kujijenga Kimaumbile Kabla ya kumwomba msichana tarehe ya ushirikiano, ni muhi... Read More

Kwa nini wanaume wengi hupenda kufanya mapenzi baada ya kulewa; na wasichana wengi hupatwa na vishawishi?

Kwa nini wanaume wengi hupenda kufanya mapenzi baada ya kulewa; na wasichana wengi hupatwa na vishawishi?

Pombe ina tabia ya kufanya ubongo kushindwa kufikiri, na
kushindwa kujizuia na vishawishi vy... Read More

Nini kinatokea wakati Virusi vya UKIMWI (VVU) vinapoingia mwilini na vinakwenda wapi katika sehemu ya mwili?

Nini kinatokea wakati Virusi vya UKIMWI (VVU) vinapoingia mwilini na vinakwenda wapi katika sehemu ya mwili?

Virusi hivi vinakaa katika chembechembe nyeupe zilizopo kwenye majimaji ya mwili i wa binadamu ha... Read More

Jinsi ya Kuwa na Mawasiliano Mzuri na Msichana

Jinsi ya Kuwa na Mawasiliano Mzuri na Msichana

Leo tutazungumzia jinsi ya kuwa na mawasiliano mzuri na msichana. Kwa sababu ya tofauti za kijins... Read More

Kunyonyana ulimi kunaweza kuchangia kupata virusi vya UKIMWI?

Kunyonyana ulimi kunaweza kuchangia kupata virusi vya UKIMWI?

Uwezekano wa kuambukizwa virusi vya UKIMWI kwa kunyonyana ndimi ni mdogo sana. Kwa kubadilishana ... Read More