Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Je, kuna madhara gani yatokanayo na uvutaji sigara kwa vijana hasa kijana Albino?

Featured Image

Kuna madhara mengi ambayo hutokana na uvutaji sigara.
Madhara mengi yanampata mvutaji kwani moshi unaingia
kwenye mapafu na kuendelea kuleta madhara mengine sehemu
nyingine za mwili.

Unaweza pia kupata madhara kwa kukaa karibu na mtu
anayevuta (hii inaitwa mvutaji baki). Uvutaji unafanya mwili
wako kunyonya sumu ijulikanayo kama nikotini. Nikotini ndio
chanzo kikubwa cha matatizo yatokanayo na uvutaji.
Uvutaji sigara unahusishwa na magonjwa mengi. Kiungo cha
mwili kinachoathirika kwanza ni mapafu. Uvutaji husababisha
kukohoakohoa, vichomi na kulipuka kwa kifua kikuu (TB) na
hatimaye saratani ya mapafu. Uvutaji pia unaathiri ngozi.
Ngozi ya mvutaji inakuwa nyepesi kwani inaathiri mishipa ya
damu iliyopo karibu chini ya ngozi. Hali hii inaifanya ngozi
kushindwa kujitengeneza upya (regenerate). Kwa vile Albino
tayari wana matatizo ya ngozi ni vizuri kama hawatavuta na
kwa wale wanaovuta basi waache kuvuta.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kukosa Ujasiri wa Kujihusisha na Ngono?

Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kukosa Ujasiri wa Kujihusisha na Ngono?

Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kukosa Ujasiri wa Kujihusisha na Ngono? 🌈

Karibu kija... Read More

Iwapo msichana atajamiiana wakati wa siku salama anaweza kuepuka kupata mimba?

Iwapo msichana atajamiiana wakati wa siku salama anaweza kuepuka kupata mimba?

Siku salama ni siku ambazo hakuna yai ambalo lipo tayari kwa kurutubishwa. Iwapo mwanamke atajami... Read More

Je, watu wanapendelea kutumia muda mwingi katika mchezo wa hatua wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, watu wanapendelea kutumia muda mwingi katika mchezo wa hatua wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Habari yako rafiki, leo tutajadili kuhusu swali linaloulizwa sana kuhusu watu kwa nini wanapendel... Read More

Kama sitaki kujamiiana kabla ya ndoa, nifanye nini ili kuondokana na adha ya vishawishi vya hao ambao ameshaanza kujamiiana?

Kama sitaki kujamiiana kabla ya ndoa, nifanye nini ili kuondokana na adha ya vishawishi vya hao ambao ameshaanza kujamiiana?

Kama umeamua kutojamiiana kabla ya ndoa, huo ni uamuzi mzuri na ni haki yako. Kutojamiiana kabla ... Read More

Je, ni kweli kwamba mtu anayekunywa pombe anaishi kwa muda mrefu kuliko yule ambaye hanywi kabisa?

Je, ni kweli kwamba mtu anayekunywa pombe anaishi kwa muda mrefu kuliko yule ambaye hanywi kabisa?

Si kweli. Mpaka sasa wanasayansi hawajathibitisha kwamba
mtu anayekunywa pombe kidogo ndiye ... Read More

Njia za Kufanya Tarehe ya Kwanza Iwe ya Kusisimua na Msichana

Njia za Kufanya Tarehe ya Kwanza Iwe ya Kusisimua na Msichana

Unapokwenda kwenye tarehe ya kwanza na msichana, ni muhimu sana kufikiria njia za kufanya tarehe ... Read More

Njia za Kujenga Ushawishi na Msichana katika Uhusiano

Njia za Kujenga Ushawishi na Msichana katika Uhusiano

Njia za Kujenga Ushawishi na Msichana katika Uhusiano

  1. Kuwasiliana kwa Ukaribu Ha... Read More

Afya ya uzazi ni nini?

Afya ya uzazi ni nini?

Afya ya uzazi inahusiana na mfumo wa uzazi wa mtu, na via vya uzazi kwa watu. Kwa hali hiyo basi ina... Read More
Je,niwasiliane na niishi vipi na watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI na UKIMWI?

Je,niwasiliane na niishi vipi na watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI na UKIMWI?

Mtu anayeishi na virusi vya UKIMWI na UKIMWI anahitaji ushauri na mara pale atakapohisi unamjali ... Read More

Ugumba wa mwanamke unasababishwa na nini?

Ugumba wa mwanamke unasababishwa na nini?

Ugumba wa mwanamke ni hali ya mwanamke kushindwa kupata mimba. Kama kwa wanaume kuna mambo mengi ... Read More

Je, kuna umuhimu wa kujadili matarajio ya ngono/kufanya mapenzi ya baadaye katika uhusiano?

Je, kuna umuhimu wa kujadili matarajio ya ngono/kufanya mapenzi ya baadaye katika uhusiano?

Kama wapenzi wapya au wapenzi wa muda mrefu, ni muhimu sana kujadili matarajio ya ngono/kufanya m... Read More

Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kubaguliwa Kuhusiana na Ngono?

Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kubaguliwa Kuhusiana na Ngono?

Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kubaguliwa Kuhusiana na Ngono? 🌟

Habari rafiki! Leo t... Read More