Idadi kamili ya Albino Tanzania haijulikani kwani hakuna
aliyewahesabu. Inakisiwa kufuatana na tafiti katika nchi
nyingine kama Nigeria na Afrika Kusini kuwa mtu 1 kati ya
4,000- 5,000 ni Albino hapa Tanzania. Namba hii ni kubwa mara
nne au mara tano ukilinganisha na Ulaya au Marekani ambako
tunapata Albino 1 kati ya watu 15,000-20,000. Hapa Tanzania
inakisiwa kuwa kuna Albino wapatao elfu kumi.

Je, Tanzania kuna Albino wangapi?

Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
No comments yet. Be the first to share your thoughts!