Hatua za kufuata kutengeneza dawa ya kitunguu saumu
- Saga kitunguu saumu kimoja,
- Changanyakwenye lita moja ya maji
- Nyunyizia kwenye mazao.
Namna nyingine ya kutengeneza dawa
- Unaweza pia kusaga vitunguu saumu 3,
- kishachanganya na mafuta taa,
- acha ikae kwa siku tatu,
- kisha ongeza lita 10 za maji ya sabuni na unyunyizie.
Hii itaondoa aina nyingi sana ya wadudu wanaosababisha magonjwa.
No comments yet. Be the first to share your thoughts!