Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Featured Image

KUMBUKA





Kumbuka ee Bikira mwenye rehema, haijasikika kamwe kwamba ulimwacha mtu aliyekimbilia ulinzi wako, akiomba msaada wako, akitaka umwombe.





Nami kwa matumaini hayo, nakukimbilia ee mama, mkuu wa mabikira, ninakuja kwako, ninasimama mbele yako,Β  nikilalamika mimi mkosefu ewe mama wa neno la mungu, usiyakatae maneno yangu, mbali uyasikilize kwa wema na unitimizie Amina.


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Miriam Mchome (Guest) on October 15, 2017

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Nicholas Wanjohi (Guest) on May 16, 2017

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Irene Akoth (Guest) on April 13, 2017

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Ann Wambui (Guest) on March 31, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Anna Mchome (Guest) on March 20, 2017

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Janet Sumaye (Guest) on March 10, 2017

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Peter Mwambui (Guest) on February 9, 2017

Nguvu hutoka kwa Bwana

Patrick Akech (Guest) on January 30, 2017

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Emily Chepngeno (Guest) on August 29, 2016

Imani inaweza kusogeza milima

Paul Ndomba (Guest) on August 19, 2016

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Nancy Komba (Guest) on August 7, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Thomas Mwakalindile (Guest) on June 12, 2016

Tumaini ni nanga ya roho

Peter Tibaijuka (Guest) on April 14, 2016

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Mwanajuma (Guest) on March 13, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Anna Sumari (Guest) on January 28, 2016

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Miriam Mchome (Guest) on January 6, 2016

Sifa kwa Bwana!

Margaret Anyango (Guest) on October 19, 2015

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Rose Mwinuka (Guest) on September 11, 2015

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Christopher Oloo (Guest) on September 10, 2015

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Ruth Kibona (Guest) on August 4, 2015

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Ann Awino (Guest) on June 5, 2015

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Edith Cherotich (Guest) on May 24, 2015

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Benjamin Masanja (Guest) on May 4, 2015

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Related Posts

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yes... Read More

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti T... Read More

Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

Read More
Sala kwa wenye kuzimia

Sala kwa wenye kuzimia

Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu... Read More

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Ee Yosef mwenye heri, tunakimbilia kwako, katika masumbuko yetu, na kishaomba shime ya Mchumba wa... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)