Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

Featured Image

Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha Mungu, ninakukabidhi nia na haja zangu zote. Ee Mt. Yosefu, unisaidie kwa maombezi yako yenye nguvu, na unipatie kutoka kwa Mwanao Mungu, baraka zote za kiroho, kwa njia ya Kristu Bwana wetu, ili nikishapata msaada wako wa mbinguni ningali bado hapa duniani, niweze nami kumsifu, kumwabudu na kumshukuru Mungu aliye Baba mwema kabisa kushinda wote. Ee Mt. Yosefu, sichoki kamwe kufikiri moyoni kwa upendo, jinsi Mtoto Yesu alivyokuwa amesinzia mikononi mwako. Akiwa amepumzika hivyo karibu na moyo wako, sithubutu kujongea, nisije nikamsumbua, bali nakuomba wewe umkumbatie na kumbusu kwa niaba yangu na kumwambia anipe busu lake nitakapovuta pumzi yangu ya mwisho.
Mtakatifu Yosefu Msimamizi wa wanaozimia roho; Utuombee.
Amina.

Sala hii ilipatikana katika mwaka wa hamsini wa Bwana na Mwokozi Wetu Yesu Kristu. Mnamo mwaka 1505 Baba Mtakatifu alimtumia sala hii Mfalme Charles wakati alipokuwa anaenda vitani. Yeyote atakayeisoma sala hii, au kuisikia ikisomwa, au kuibeba, hatakufa kifo cha ghafla,hatazama majini, hatadhurika kwa sumu, wala hataanguka katika mikono ya adui zake, au kuunguzwa katika moto wowote ule, au kushindwa katika vita.

Sali sala hii kwa siku tisa mfululizo, kwa kuomba jambo lolote unalolihitaji. Haijawahi kusikika kuwa sala hii imeshindwa jambo.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Sarah Karani (Guest) on December 27, 2017

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Samuel Were (Guest) on December 27, 2017

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Peter Tibaijuka (Guest) on December 19, 2017

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Benjamin Masanja (Guest) on October 11, 2017

Mwamini Bwana; anajua njia

Joseph Njoroge (Guest) on August 10, 2017

Sifa kwa Bwana!

Stephen Kikwete (Guest) on June 15, 2017

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Nora Lowassa (Guest) on May 7, 2017

πŸ™πŸ™πŸ™

Chris Okello (Guest) on May 2, 2017

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Ruth Wanjiku (Guest) on December 10, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Alex Nyamweya (Guest) on November 14, 2016

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Peter Mbise (Guest) on October 15, 2016

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

James Kimani (Guest) on September 26, 2016

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Monica Nyalandu (Guest) on August 20, 2016

Endelea kuwa na imani!

Joseph Kawawa (Guest) on June 29, 2016

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Andrew Odhiambo (Guest) on May 20, 2016

Imani inaweza kusogeza milima

Chris Okello (Guest) on May 20, 2016

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Violet Mumo (Guest) on May 6, 2016

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Victor Kimario (Guest) on November 22, 2015

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Lydia Mzindakaya (Guest) on October 28, 2015

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Joseph Kawawa (Guest) on October 13, 2015

Neema ya Mungu inatosha kwako

Nancy Komba (Guest) on August 18, 2015

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Rose Lowassa (Guest) on August 14, 2015

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Charles Mchome (Guest) on July 11, 2015

Nakuombea πŸ™

John Lissu (Guest) on June 18, 2015

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Ruth Wanjiku (Guest) on June 13, 2015

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Related Posts

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu wa Yesu, ninakukimbilia, ninakuja kwako katika mikono yako yenye huruma. Ndiwe ... Read More

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

SALA YA MTAKATIFU INYASI

SALA YA MTAKATIFU INYASI

Roho ya Kristo unitakase
Mwili wa Kristo uniokoe
Damu ya Kristo unifurahishe
Maji ... Read More

AMRI ZA MUNGU

AMRI ZA MUNGU

1. NDIMI BWANA MUNGU WAKO, USIABUDU MIUNGU WENGINE.
2. USILITAJE BURE JINA LA MUNGU WAKO.Read More

ATUKUZWE BABA

ATUKUZWE BABA

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo... Read More

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Kristo utuhurumie
Bwana utuhurumie ... Read More

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal... Read More

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti T... Read More

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

Baba yetu uliye mbinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako ufike
Utakalo lifanyikeRead More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

Ufuatao ni mtiririko wa Novena ya Roho Mtakatifu kwa siku zote tisa.

Kusali nov... Read More