Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, Aleluya. Utuombee kwa Mungu, Aleluya. Furahi shangilia, ee Bikira Maria, Alaluya. Kwani hakika Bwana amefufuka Aleluya. Tuombe. Ee Mungu, uliyependa kuifurahisha dunia kwa kufufuka kwake Bwana wetu Yesu Kristu, Mwanao: fanyiza, twakuomba, kwa ajili ya Bikira Maria, tupate nasi furaha za uzima wa milele. Tunaomba hayo kwa njia ya Kristu Bwana wetu. Amina.

Malkia wa Mbingu
Date: January 17, 2016
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine

Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts

Sala kwa Mtakatifu Yosefu
Ee Yosef mwenye heri, tunakimbilia kwako, katika masumbuko yetu, na kishaomba shime ya Mchumba wa... Read More

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE
Ee Mama mbarikiwa na Bikira mwenye uchungu, Malkia wa Mashahidi, uliyesimama chini ya msalaba na ... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II
Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

SALA YA MTAKATIFU INYASI
Roho ya Kristo unitakase
Mwili wa Kristo uniokoe
Damu ya Kristo unifurahishe
Maji ...
Read More

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU
Sali Atukuzwe 7 kwa heshima ya Malaika 7 wateule ujipatie neema ya kuepa dhambi mbaya saba na kut... Read More

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu
Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA
Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima
(Tumia rosari ya kawaida... Read More

Sala ya Asubuhi ya kila siku

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU
Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti T... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA
Ee Mt. Yosefu, tunakuomba kwa ajili ya wale asio na ajira, kwa ajili ya wale wanaotaka kujipatia ... Read More
David Ochieng (Guest) on June 28, 2017
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Victor Kamau (Guest) on May 16, 2017
Baraka kwako na familia yako.
Grace Njuguna (Guest) on May 10, 2017
πβ¨ Neema ya Mungu iwe nawe
Samson Tibaijuka (Guest) on January 28, 2017
Katika imani, yote yanawezekana
Nora Kidata (Guest) on October 28, 2016
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Agnes Sumaye (Guest) on September 2, 2016
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
David Kawawa (Guest) on May 28, 2016
πβ¨ Mungu atupe nguvu
Catherine Naliaka (Guest) on April 29, 2016
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Henry Mollel (Guest) on April 15, 2016
πβ€οΈ Mungu ni mwaminifu
Benjamin Masanja (Guest) on April 8, 2016
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Betty Akinyi (Guest) on March 25, 2016
πππ
Alice Mwikali (Guest) on March 11, 2016
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
David Chacha (Guest) on February 6, 2016
πβ€οΈπ Bwana akujalie baraka
Ruth Mtangi (Guest) on December 19, 2015
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Elizabeth Mrope (Guest) on December 11, 2015
Dumu katika Bwana.
Wilson Ombati (Guest) on November 23, 2015
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Alice Mwikali (Guest) on October 24, 2015
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Emily Chepngeno (Guest) on September 16, 2015
πβ€οΈβ¨ Mungu akujalie furaha
Susan Wangari (Guest) on September 10, 2015
πβ¨ Mungu asikie maombi yetu
Monica Lissu (Guest) on August 27, 2015
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Lydia Mutheu (Guest) on August 24, 2015
Mungu akubariki!
Margaret Mahiga (Guest) on July 30, 2015
Tembea kwa imani, si kwa kuona
David Sokoine (Guest) on April 15, 2015
ππ Mungu akujalie amani