Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Malkia wa Mbingu

Featured Image

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, Aleluya. Utuombee kwa Mungu, Aleluya. Furahi shangilia, ee Bikira Maria, Alaluya. Kwani hakika Bwana amefufuka Aleluya. Tuombe. Ee Mungu, uliyependa kuifurahisha dunia kwa kufufuka kwake Bwana wetu Yesu Kristu, Mwanao: fanyiza, twakuomba, kwa ajili ya Bikira Maria, tupate nasi furaha za uzima wa milele. Tunaomba hayo kwa njia ya Kristu Bwana wetu. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

David Ochieng (Guest) on June 28, 2017

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Victor Kamau (Guest) on May 16, 2017

Baraka kwako na familia yako.

Grace Njuguna (Guest) on May 10, 2017

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Samson Tibaijuka (Guest) on January 28, 2017

Katika imani, yote yanawezekana

Nora Kidata (Guest) on October 28, 2016

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Agnes Sumaye (Guest) on September 2, 2016

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

David Kawawa (Guest) on May 28, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Catherine Naliaka (Guest) on April 29, 2016

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Henry Mollel (Guest) on April 15, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Benjamin Masanja (Guest) on April 8, 2016

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Betty Akinyi (Guest) on March 25, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Alice Mwikali (Guest) on March 11, 2016

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

David Chacha (Guest) on February 6, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Ruth Mtangi (Guest) on December 19, 2015

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Elizabeth Mrope (Guest) on December 11, 2015

Dumu katika Bwana.

Wilson Ombati (Guest) on November 23, 2015

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Alice Mwikali (Guest) on October 24, 2015

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Emily Chepngeno (Guest) on September 16, 2015

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Susan Wangari (Guest) on September 10, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Monica Lissu (Guest) on August 27, 2015

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Lydia Mutheu (Guest) on August 24, 2015

Mungu akubariki!

Margaret Mahiga (Guest) on July 30, 2015

Tembea kwa imani, si kwa kuona

David Sokoine (Guest) on April 15, 2015

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Related Posts

SALA YA MAPENDO

SALA YA MAPENDO

Mungu wangu,

nakupenda zaidi ya cho chote,

kwani ndiwe mwema,

ndiwe mwenye kupe... Read More

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Ee Yosef mwenye heri, tunakimbilia kwako, katika masumbuko yetu, na kishaomba shime ya Mchumba wa... Read More

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

Ee Mama mbarikiwa na Bikira mwenye uchungu, Malkia wa Mashahidi, uliyesimama chini ya msalaba na ... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

SALA YA MTAKATIFU INYASI

SALA YA MTAKATIFU INYASI

Roho ya Kristo unitakase
Mwili wa Kristo uniokoe
Damu ya Kristo unifurahishe
Maji ... Read More

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

Sali Atukuzwe 7 kwa heshima ya Malaika 7 wateule ujipatie neema ya kuepa dhambi mbaya saba na kut... Read More

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima

(Tumia rosari ya kawaida... Read More

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

... Read More
Sala ya Asubuhi ya kila siku

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Kwa jina la Baba….. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M... Read More
SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti T... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

Ee Mt. Yosefu, tunakuomba kwa ajili ya wale asio na ajira, kwa ajili ya wale wanaotaka kujipatia ... Read More