Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Majitoleo ya Asubuhi

Featured Image

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Nilinde tena siku hii, Niache dhambi nikutii, Naomba sana Baba wee, Baraka yako nipokee, Bikira safi ee Maria, Nisipotee unisimamie, Mlinzi Mkuu Malaika wee, Kwa Mungu wetu niombee, Nitake nitende mema tu, Na mwisho nije kwake juu, Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Peter Otieno (Guest) on November 23, 2017

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Anna Mchome (Guest) on September 14, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Janet Mwikali (Guest) on September 8, 2017

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Nancy Kabura (Guest) on July 11, 2017

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Grace Njuguna (Guest) on July 3, 2017

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Edward Chepkoech (Guest) on May 13, 2017

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Kevin Maina (Guest) on December 24, 2016

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Benjamin Kibicho (Guest) on November 7, 2016

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

David Kawawa (Guest) on September 10, 2016

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Peter Mugendi (Guest) on September 10, 2016

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Rose Kiwanga (Guest) on July 5, 2016

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Agnes Sumaye (Guest) on June 11, 2016

Sifa kwa Bwana!

Grace Mligo (Guest) on May 16, 2016

Nguvu hutoka kwa Bwana

Sarah Karani (Guest) on March 21, 2016

Endelea kuwa na imani!

Robert Ndunguru (Guest) on March 20, 2016

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Samson Tibaijuka (Guest) on March 4, 2016

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Peter Tibaijuka (Guest) on August 29, 2015

Rehema hushinda hukumu

Lydia Wanyama (Guest) on August 25, 2015

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Elizabeth Mrema (Guest) on July 22, 2015

Nakuombea πŸ™

Mary Sokoine (Guest) on July 2, 2015

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Charles Mrope (Guest) on June 1, 2015

Mungu ni mwema, wakati wote!

Sekela (Guest) on April 27, 2015

πŸ™πŸ™πŸ™

Violet Mumo (Guest) on April 7, 2015

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Related Posts

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

... Read More
Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Read More

ATUKUZWE BABA

ATUKUZWE BABA

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo... Read More

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

Malaika wa Mungu Mlinzi wangu mpenzi,
Ambaye upendo wake unanifanya niwepo hapa,
Uwe na... Read More

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

Kwa nguvu zangu zote za moyo wangu/ ninakuabudu ee Moyo Mtakatifu/ na Mwabudiwa sana,/ Moyo Mtaka... Read More

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

SALA YA IMANI

SALA YA IMANI

Mungu wangu,

nasadiki maneno yote linalosadiki na linalofundisha kanisa katoliki la Roma;Read More

Sala fupi ya Asubuhi

Sala fupi ya Asubuhi

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, milele na milele, Amina... Read More

Sala ya Saa Tisa

Sala ya Saa Tisa

✝⌚✝

Sala ya saa tisaπŸ™πŸΎ

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

SALA YA KUTUBU

SALA YA KUTUBU

Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukiz... Read More