Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Sala ya Malaika wa Bwana

Featured Image

Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria, naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Salamu Maria,….

Ndimi Mtumishi wa Bwana, nitendewe ulivyonena. Salamu Maria, ……
Neno wa Bwana akatwaa Mwili, akakaa kwetu. Salamu Maria, …..

Utuombee, ee Mzazi Mtakatifu wa Mungu, tujaliwe ahadi za Kristo.

Tuombe:

Tunakuomba ee Bwana, utie neema yako mioyoni mwetu, ili sisi tuliojua kwa maelezo ya Malaika, kwamba, Kristo Mwanao amejifanya mtu: kwa mateso na Msalaba wake, utufikishe kwenye utukufu wa ufufuko. Tunaomba hayo kwa njia ya Kristo Bwana wetu, Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Charles Mrope (Guest) on June 22, 2017

Mungu ni mwema, wakati wote!

Catherine Naliaka (Guest) on June 19, 2017

Baraka kwako na familia yako.

Samson Mahiga (Guest) on June 7, 2017

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Raphael Okoth (Guest) on April 25, 2017

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

John Mushi (Guest) on April 10, 2017

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Mary Sokoine (Guest) on March 28, 2017

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Zakaria (Guest) on March 10, 2017

πŸ™πŸ™πŸ™

Margaret Anyango (Guest) on November 16, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Nora Lowassa (Guest) on November 2, 2016

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Irene Makena (Guest) on October 2, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Anna Malela (Guest) on September 26, 2016

Mungu akubariki!

Anna Mahiga (Guest) on August 17, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Christopher Oloo (Guest) on May 7, 2016

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

David Sokoine (Guest) on May 3, 2016

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 15, 2016

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Janet Sumari (Guest) on January 30, 2016

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

James Malima (Guest) on December 7, 2015

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Betty Akinyi (Guest) on November 15, 2015

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Alice Mwikali (Guest) on August 11, 2015

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Vincent Mwangangi (Guest) on July 9, 2015

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Joseph Kitine (Guest) on July 6, 2015

πŸ™πŸ™πŸ™

John Mushi (Guest) on June 12, 2015

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Lucy Mahiga (Guest) on May 1, 2015

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Related Posts

Majitoleo kwa Bikira Maria

Majitoleo kwa Bikira Maria

(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Kwa jina la Baba….. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M... Read More
SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Bwana utuhurumie
Bwana utuhurumie B... Read More

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh... Read More

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

Ee Mama mbarikiwa na Bikira mwenye uchungu, Malkia wa Mashahidi, uliyesimama chini ya msalaba na ... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

... Read More