Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

SALAMU MARIA

Featured Image

Salamu Maria
Umejaa neema
Bwana yu nawe
Umebarikiwa kuliko wanawake wote
Na Yesu mzao wa tumbo lako amebarikiwa
Maria Mtakatifu
Mama wa Mungu
Utuombee sisi wakosefu
Sasa, na saa ya kufa kwetu.
Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Kevin Maina (Guest) on January 24, 2017

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Josephine Nduta (Guest) on December 20, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Ann Awino (Guest) on November 5, 2016

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Brian Karanja (Guest) on September 10, 2016

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Moses Mwita (Guest) on August 19, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Rose Kiwanga (Guest) on August 11, 2016

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Lydia Mutheu (Guest) on July 31, 2016

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Lydia Wanyama (Guest) on July 29, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Catherine Naliaka (Guest) on July 29, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Michael Mboya (Guest) on July 11, 2016

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Emily Chepngeno (Guest) on July 4, 2016

Mwamini katika mpango wake.

Grace Njuguna (Guest) on June 5, 2016

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Raphael Okoth (Guest) on May 23, 2016

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Stephen Kangethe (Guest) on May 19, 2016

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

John Lissu (Guest) on April 30, 2016

Sifa kwa Bwana!

Lucy Mahiga (Guest) on April 4, 2016

Mungu ni mwema, wakati wote!

Esther Nyambura (Guest) on March 21, 2016

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Raphael Okoth (Guest) on January 17, 2016

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

James Kimani (Guest) on November 27, 2015

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Miriam Mchome (Guest) on November 11, 2015

Imani inaweza kusogeza milima

Mariam Hassan (Guest) on August 18, 2015

Mwamini Bwana; anajua njia

Samson Tibaijuka (Guest) on August 4, 2015

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Janet Wambura (Guest) on May 16, 2015

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Related Posts

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

Sala ya Medali ya Mwujiza

Sala ya Medali ya Mwujiza

Ee Bikira Maria uliyekingiwa dhambi ya asili, utuombee sisi wenye kukimbilia kwako, uwaombee na w... Read More

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

Read More
Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

SALA YA MATUMAINI

SALA YA MATUMAINI

Mungu wangu,

natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,

neema zako duniani na ... Read More

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

Sali Atukuzwe 7 kwa heshima ya Malaika 7 wateule ujipatie neema ya kuepa dhambi mbaya saba na kut... Read More

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,

na kwa njia ya Damu yako azizi,

na kwa maombezi ya M... Read More

Malkia wa Mbingu

Malkia wa Mbingu

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More

SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO

SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo ... Read More

Sala kwa wenye kuzimia

Sala kwa wenye kuzimia

Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu... Read More