Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

Featured Image

Mama Mtakatifu, Mama wa Mungu na Malkia wa Mashahidi, leo nakuchagua Wewe uwe mfano wangu, mkingaji na mteteaji wangu. Naweka roho fukara katika moyo wako uliotobolewa na panga nyingi za mateso. Unipokee mimi niwe mtumishi wako wa pekee na mshiriki wa mateso yako. Nijalie nguvu niwe daima karibu na msalaba ule alikosulibiwa Yesu. Nakutolea nafsi yangu na mali yangu yote. Pokea kila tendo langu jema ukalisindikize kwa Mwanao, Mama, nifanye nistahili kuitwa mtumishi wa Maria, Simama karibu yangu katika matendo yangu yote ili yafanwe kwa sifa ya Mungu. Ulivyosimama karibu kabisa ya Mwanao alipokufa msalabani uwe karibu nami saa ya kufa kwangu. Nijalie niweze kutaja jina lako na la Mwana wako nikisema: β€œYesu, Maria na Yosef mnisaidie saa ya kufa kwangu. Yesu, maria na Yosef, naomba nife kwa amani kati yenu!” . Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Wilson Ombati (Guest) on November 7, 2018

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Josephine Nekesa (Guest) on October 3, 2018

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Kenneth Murithi (Guest) on January 24, 2018

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Susan Wangari (Guest) on January 7, 2018

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Janet Sumaye (Guest) on December 21, 2017

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Lydia Wanyama (Guest) on September 11, 2017

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Betty Kimaro (Guest) on August 24, 2017

Katika imani, yote yanawezekana

Robert Okello (Guest) on June 29, 2017

Dumu katika Bwana.

Elizabeth Mtei (Guest) on April 24, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Joyce Mussa (Guest) on February 23, 2017

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Frank Sokoine (Guest) on February 22, 2017

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Janet Mbithe (Guest) on February 20, 2017

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Lydia Wanyama (Guest) on December 14, 2016

Nakuombea πŸ™

Paul Kamau (Guest) on December 8, 2016

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Alice Mwikali (Guest) on May 25, 2016

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Benjamin Masanja (Guest) on May 25, 2016

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Stephen Mushi (Guest) on February 25, 2016

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Samuel Omondi (Guest) on December 15, 2015

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Frank Macha (Guest) on November 28, 2015

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Joseph Kawawa (Guest) on November 15, 2015

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Alice Jebet (Guest) on July 25, 2015

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Charles Mrope (Guest) on July 24, 2015

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Stephen Kikwete (Guest) on May 6, 2015

Rehema hushinda hukumu

Related Posts

AMRI ZA MUNGU

AMRI ZA MUNGU

1. NDIMI BWANA MUNGU WAKO, USIABUDU MIUNGU WENGINE.
2. USILITAJE BURE JINA LA MUNGU WAKO.Read More

SALA YA KUTUBU

SALA YA KUTUBU

Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukiz... Read More

SALA YA MTAKATIFU INYASI

SALA YA MTAKATIFU INYASI

Roho ya Kristo unitakase
Mwili wa Kristo uniokoe
Damu ya Kristo unifurahishe
Maji ... Read More

Sala ya kuomba Kifo chema

Sala ya kuomba Kifo chema

Enyi Yesu na Maria na Yosefu,

nawatolea Moyo, na roho, na uzima wangu.

Enyi Yesu na M... Read More

Majitoleo kwa Bikira Maria

Majitoleo kwa Bikira Maria

(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na... Read More

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,

na kwa njia ya Damu yako azizi,

na kwa maombezi ya M... Read More

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Ee Yosef mwenye heri, tunakimbilia kwako, katika masumbuko yetu, na kishaomba shime ya Mchumba wa... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

Read More
SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I

Utukuzwe ee Bwana wangu Yesu Kristo./ Uliagua kifo chako./ Katika karamu ya mwisho ulitumia mkate... Read More

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More

Malkia wa Mbingu

Malkia wa Mbingu

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More