Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

Featured Image

Mama Mtakatifu, Mama wa Mungu na Malkia wa Mashahidi, leo nakuchagua Wewe uwe mfano wangu, mkingaji na mteteaji wangu. Naweka roho fukara katika moyo wako uliotobolewa na panga nyingi za mateso. Unipokee mimi niwe mtumishi wako wa pekee na mshiriki wa mateso yako. Nijalie nguvu niwe daima karibu na msalaba ule alikosulibiwa Yesu. Nakutolea nafsi yangu na mali yangu yote. Pokea kila tendo langu jema ukalisindikize kwa Mwanao, Mama, nifanye nistahili kuitwa mtumishi wa Maria, Simama karibu yangu katika matendo yangu yote ili yafanwe kwa sifa ya Mungu. Ulivyosimama karibu kabisa ya Mwanao alipokufa msalabani uwe karibu nami saa ya kufa kwangu. Nijalie niweze kutaja jina lako na la Mwana wako nikisema: β€œYesu, Maria na Yosef mnisaidie saa ya kufa kwangu. Yesu, maria na Yosef, naomba nife kwa amani kati yenu!” . Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Wilson Ombati (Guest) on November 7, 2018

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Josephine Nekesa (Guest) on October 3, 2018

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Kenneth Murithi (Guest) on January 24, 2018

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Susan Wangari (Guest) on January 7, 2018

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Janet Sumaye (Guest) on December 21, 2017

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Lydia Wanyama (Guest) on September 11, 2017

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Betty Kimaro (Guest) on August 24, 2017

Katika imani, yote yanawezekana

Robert Okello (Guest) on June 29, 2017

Dumu katika Bwana.

Elizabeth Mtei (Guest) on April 24, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Joyce Mussa (Guest) on February 23, 2017

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Frank Sokoine (Guest) on February 22, 2017

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Janet Mbithe (Guest) on February 20, 2017

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Lydia Wanyama (Guest) on December 14, 2016

Nakuombea πŸ™

Paul Kamau (Guest) on December 8, 2016

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Alice Mwikali (Guest) on May 25, 2016

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Benjamin Masanja (Guest) on May 25, 2016

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Stephen Mushi (Guest) on February 25, 2016

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Samuel Omondi (Guest) on December 15, 2015

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Frank Macha (Guest) on November 28, 2015

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Joseph Kawawa (Guest) on November 15, 2015

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Alice Jebet (Guest) on July 25, 2015

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Charles Mrope (Guest) on July 24, 2015

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Stephen Kikwete (Guest) on May 6, 2015

Rehema hushinda hukumu

Related Posts

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

Ewe Mungu Mwenyezi, sisi kama familia tunakushukuru kwa zawadi ya Mama Kanisa Katoliki ambaye sik... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)

Baba Yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe;
ufalme wako ufike,
... Read More

SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO

SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo ... Read More

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu wa Yesu, ninakukimbilia, ninakuja kwako katika mikono yako yenye huruma. Ndiwe ... Read More

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

Baba yetu uliye mbinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako ufike
Utakalo lifanyikeRead More