Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

SALA YA KUTUBU

Featured Image

Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukizwa na dhambi, basi sitaki kukosa tena, nitafanya kitubio, naomba neema yako nipate kurudi wkako. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Fredrick Mutiso (Guest) on May 16, 2018

Nakuombea πŸ™

Jane Muthui (Guest) on April 8, 2018

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Monica Nyalandu (Guest) on January 13, 2018

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Thomas Mtaki (Guest) on October 23, 2017

Katika imani, yote yanawezekana

Victor Malima (Guest) on April 11, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Zainab (Guest) on March 9, 2017

πŸ™πŸ™πŸ™

Lucy Kimotho (Guest) on January 30, 2017

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Kenneth Murithi (Guest) on January 15, 2017

Neema ya Mungu inatosha kwako

Josephine Nekesa (Guest) on January 6, 2017

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Moses Mwita (Guest) on November 21, 2016

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Lydia Mzindakaya (Guest) on September 2, 2016

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Elijah Mutua (Guest) on August 29, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Joseph Kitine (Guest) on May 29, 2016

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Charles Mrope (Guest) on May 13, 2016

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

John Mwangi (Guest) on April 30, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Samuel Were (Guest) on April 25, 2016

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Jane Malecela (Guest) on April 13, 2016

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Grace Wairimu (Guest) on March 29, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Moses Kipkemboi (Guest) on January 21, 2016

Baraka kwako na familia yako.

Grace Minja (Guest) on January 18, 2016

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Josephine Nekesa (Guest) on January 2, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

David Sokoine (Guest) on November 11, 2015

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Agnes Sumaye (Guest) on August 19, 2015

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Linda Karimi (Guest) on August 9, 2015

Dumu katika Bwana.

Related Posts

SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI

SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI

Ee Yesu Mfungwa wa Upendo wa Mungu,/ ninapofikiri Upendo wako na jinsi ulivyojitolea kwa ajili ya... Read More

SALAMU MARIA

SALAMU MARIA

Salamu Maria
Umejaa neema
Bwana yu nawe
Umebarikiwa kuliko wanawake wote
Na Y... Read More

SALA YA MAPENDO

SALA YA MAPENDO

Mungu wangu,

nakupenda zaidi ya cho chote,

kwani ndiwe mwema,

ndiwe mwenye kupe... Read More

ATUKUZWE BABA

ATUKUZWE BABA

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo... Read More

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

Ufuatao ni mtiririko wa Novena ya Roho Mtakatifu kwa siku zote tisa.

Kusali nov... Read More

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

Ee Mama mbarikiwa na Bikira mwenye uchungu, Malkia wa Mashahidi, uliyesimama chini ya msalaba na ... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)