Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

Featured Image

Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha Mungu, ninakukabidhi nia na haja zangu zote. Ee Mt. Yosefu, unisaidie kwa maombezi yako yenye nguvu, na unipatie kutoka kwa Mwanao Mungu, baraka zote za kiroho, kwa njia ya Kristu Bwana wetu, ili nikishapata msaada wako wa mbinguni ningali bado hapa duniani, niweze nami kumsifu, kumwabudu na kumshukuru Mungu aliye Baba mwema kabisa kushinda wote. Ee Mt. Yosefu, sichoki kamwe kufikiri moyoni kwa upendo, jinsi Mtoto Yesu alivyokuwa amesinzia mikononi mwako. Akiwa amepumzika hivyo karibu na moyo wako, sithubutu kujongea, nisije nikamsumbua, bali nakuomba wewe umkumbatie na kumbusu kwa niaba yangu na kumwambia anipe busu lake nitakapovuta pumzi yangu ya mwisho.
Mtakatifu Yosefu Msimamizi wa wanaozimia roho; Utuombee.
Amina.

Sala hii ilipatikana katika mwaka wa hamsini wa Bwana na Mwokozi Wetu Yesu Kristu. Mnamo mwaka 1505 Baba Mtakatifu alimtumia sala hii Mfalme Charles wakati alipokuwa anaenda vitani. Yeyote atakayeisoma sala hii, au kuisikia ikisomwa, au kuibeba, hatakufa kifo cha ghafla,hatazama majini, hatadhurika kwa sumu, wala hataanguka katika mikono ya adui zake, au kuunguzwa katika moto wowote ule, au kushindwa katika vita.

Sali sala hii kwa siku tisa mfululizo, kwa kuomba jambo lolote unalolihitaji. Haijawahi kusikika kuwa sala hii imeshindwa jambo.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Victor Sokoine (Guest) on June 7, 2024

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Victor Mwalimu (Guest) on June 1, 2024

Mungu ni mwema, wakati wote!

jenifa (Guest) on May 23, 2024

asante sana

Melkisedeck Leon Shine (Master Admin) on May 26, 2024

Ubarikiwe

Peter Mwambui (Guest) on May 17, 2024

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

David Sokoine (Guest) on January 28, 2024

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Samson Tibaijuka (Guest) on June 25, 2023

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Henry Mollel (Guest) on June 24, 2023

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Jane Muthui (Guest) on May 24, 2023

Amina

Agnes Njeri (Guest) on May 12, 2023

Mungu akubariki!

Stephen Mushi (Guest) on March 30, 2023

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Janet Mwikali (Guest) on February 17, 2023

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Lydia Mzindakaya (Guest) on February 11, 2023

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Elizabeth Mrope (Guest) on January 18, 2023

Mwamini katika mpango wake.

Charles Mchome (Guest) on January 14, 2023

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

John Lissu (Guest) on January 14, 2023

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Robert Ndunguru (Guest) on November 2, 2022

Rehema hushinda hukumu

Raphael Okoth (Guest) on October 24, 2022

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Francis Mtangi (Guest) on September 10, 2022

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

James Malima (Guest) on August 23, 2022

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Bernard Oduor (Guest) on May 4, 2022

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Peter Otieno (Guest) on April 22, 2022

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Janet Wambura (Guest) on February 21, 2022

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Lucy Wangui (Guest) on January 19, 2022

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Frank Sokoine (Guest) on November 17, 2021

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Michael Mboya (Guest) on October 2, 2021

Dumu katika Bwana.

Francis Mtangi (Guest) on August 13, 2021

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Jane Malecela (Guest) on August 4, 2021

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Jane Muthoni (Guest) on July 8, 2021

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Elizabeth Mtei (Guest) on July 3, 2021

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Josephine Nduta (Guest) on June 29, 2021

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Betty Kimaro (Guest) on June 14, 2021

Rehema zake hudumu milele

Anna Mahiga (Guest) on June 11, 2021

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Miriam Mchome (Guest) on March 16, 2021

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Joseph Kawawa (Guest) on March 1, 2021

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Betty Cheruiyot (Guest) on January 28, 2021

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Joseph Njoroge (Guest) on December 19, 2020

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Linda Karimi (Guest) on December 12, 2020

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Lucy Wangui (Guest) on November 16, 2020

Nguvu hutoka kwa Bwana

Esther Cheruiyot (Guest) on November 10, 2020

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Mary Njeri (Guest) on October 6, 2020

Katika imani, yote yanawezekana

Irene Akoth (Guest) on August 12, 2020

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Henry Mollel (Guest) on July 22, 2020

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Alice Wanjiru (Guest) on July 10, 2020

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Rose Lowassa (Guest) on June 22, 2020

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Peter Mugendi (Guest) on March 3, 2020

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Diana Mumbua (Guest) on February 21, 2020

Tumaini ni nanga ya roho

Alice Wanjiru (Guest) on January 16, 2020

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Fredrick Mutiso (Guest) on December 10, 2019

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Francis Mrope (Guest) on October 24, 2019

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

James Kimani (Guest) on October 6, 2019

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Anthony Kariuki (Guest) on July 22, 2019

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Charles Wafula (Guest) on July 8, 2019

Baraka kwako na familia yako.

Joy Wacera (Guest) on June 17, 2019

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Nora Kidata (Guest) on June 14, 2019

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Alice Mrema (Guest) on March 13, 2019

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Dorothy Majaliwa (Guest) on February 18, 2019

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Betty Cheruiyot (Guest) on December 10, 2018

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Peter Mwambui (Guest) on October 4, 2018

Neema na amani iwe nawe.

Mazrui (Guest) on March 6, 2018

πŸ™πŸ™πŸ™

Related Posts

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

Ee Mt. Yosefu, tunakuomba kwa ajili ya wale asio na ajira, kwa ajili ya wale wanaotaka kujipatia ... Read More

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I

Utukuzwe ee Bwana wangu Yesu Kristo./ Uliagua kifo chako./ Katika karamu ya mwisho ulitumia mkate... Read More

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yes... Read More

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

Ewe Mtakatifu Yuda Tadei,/ mtume mtukufu na shahidi wa Kristo,/ umesifika pote kwa wepesi wako wa... Read More

SALA YA JIONI

SALA YA JIONI

TUNAKUSHUKURU, EE MUNGU KWA MAPAJI YOTE ULIYOTUJALIA LEO AMINA


BABA YETU…………β... Read More

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

Baba yetu uliye mbinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako ufike
Utakalo lifanyikeRead More

SALA YA MTAKATIFU INYASI

SALA YA MTAKATIFU INYASI

Roho ya Kristo unitakase
Mwili wa Kristo uniokoe
Damu ya Kristo unifurahishe
Maji ... Read More

SALAMU MARIA

SALAMU MARIA

Salamu Maria
Umejaa neema
Bwana yu nawe
Umebarikiwa kuliko wanawake wote
Na Y... Read More

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

Read More
Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)