Kama yalivyo maisha ya kimwili, maisha ya kiroho pia yanahitaji mipango. Kila siku panga utafanya nini kiroho, mfano unaweza kupanga sala, kusaidia masikini, kuwa mpole au mwema. Vivyo hivyo kila wiki, kila mwezi na kila mwaka mpya panga cha kufanya kiroho naye Mungu atakubariki na kukupangia zaidi. Huwezi kufanikiwa kiroho kama hujui unafanya nini kiroho.

Maisha ya kiroho yanahitaji Mipango (Strategy)
Date: May 25, 2022
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine

Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts

Njia ya Kumtafuta Mungu
Mungu ni rahisi sana kupatikana. Ugumu ni njia ya Kumtafuta Mungu na namna ya kumuishi Mungu. Hap... Read More

Sala ni Upendo
Sala sio maneno mengi au maneno ya kurudiarudia. Sala ni maneno au hata neno moja la kimapendo li... Read More

Kuomba na Kushukuru
Unapo mwomba Mungu Usisahau Kushukuru. Kushukuru ni kuomba mara ya pili. Utazidishiwa kile ulicho... Read More

Maisha ya Kikristo ni sala
Hakuna Maisha ya Kikristo bila Kusali. Kama kuna Mkristo anaishi bila kusali huyo siyo Mkristo ba... Read More

Mawazo ya Mungu tunapokua na shida na mateso
Mawazo ya Mungu ni makuu. Mungu anatuwazia mema daima. Hata unapopitia shida na matatizo katika m... Read More

Hakuna Binadamu anayemchukia Mungu
Hakuna Binadamu anayemchukia Mungu kama hajichukii yeye mwenyewe na wale wanaomzunguka. Huwezi ku... Read More

Mungu ni mwenye Huruma
Mungu ni mwenye Huruma na Upendo na Anataka watu wote waokolewe naye. Mungu hayupo kwa ajili ya k... Read More

Namna Mungu anavyojibu Sala au Maombi
Mungu ni mwenye Hekima, anajibu Sala zetu kwa kutupa kile tunachohitaji na chenye kutufaa na Sio ... Read More

Tumaini kwa Mungu
Mtumainie Mungu kwa maana Mungu hawatupi wale wamtumainiao na kumgoja. Mkono wake upo tayari kwa ... Read More

Furaha ya Binadamu
Kufanya Mambo mema ndipo kunaleta furaha ya kweli kwa Binadamu yeyote yule. Hakuna Binadamu anaye... Read More

Uwepo wa Mungu wakati wa shida
Kwa kawaida kwenye maisha unapofikia Hatua unaona Mungu hayupo kabisa na wewe basi ujue huo ndio ... Read More

Sala ni ufunguo
Sala ni ufunguo wa kufungulia mema na kufungia Mabaya. Tusali ili tufungue mema katika maisha yet... Read More
Victor Malima (Guest) on April 21, 2024
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Elijah Mutua (Guest) on March 18, 2024
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Grace Minja (Guest) on March 11, 2024
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Patrick Akech (Guest) on January 19, 2024
Neema ya Mungu inatosha kwako
Diana Mumbua (Guest) on January 19, 2024
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Betty Akinyi (Guest) on January 7, 2024
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Catherine Mkumbo (Guest) on October 22, 2023
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Francis Mtangi (Guest) on July 26, 2023
Nakuombea π
Stephen Amollo (Guest) on May 26, 2023
Katika imani, yote yanawezekana
Joseph Kitine (Guest) on May 8, 2023
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Mary Kidata (Guest) on April 2, 2023
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Victor Kimario (Guest) on February 28, 2023
Mungu ni mwema, wakati wote!
Alice Wanjiru (Guest) on December 30, 2022
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Benjamin Kibicho (Guest) on December 29, 2022
Sifa kwa Bwana!
Nancy Komba (Guest) on November 29, 2022
Imani inaweza kusogeza milima
Nancy Komba (Guest) on November 28, 2022
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Mercy Atieno (Guest) on November 2, 2022
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Joy Wacera (Guest) on October 9, 2022
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Nancy Kawawa (Guest) on August 3, 2022
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Stephen Kangethe (Guest) on July 26, 2022
Neema na amani iwe nawe.
Rose Waithera (Guest) on July 17, 2022
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Andrew Mahiga (Guest) on June 28, 2022
Rehema zake hudumu milele
Kenneth Murithi (Guest) on April 26, 2022
Rehema hushinda hukumu
Peter Mugendi (Guest) on June 20, 2021
Nguvu hutoka kwa Bwana
George Tenga (Guest) on May 1, 2021
Mwamini katika mpango wake.
Monica Lissu (Guest) on January 18, 2021
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Catherine Mkumbo (Guest) on September 5, 2020
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Charles Mrope (Guest) on September 1, 2020
Dumu katika Bwana.
Charles Wafula (Guest) on July 24, 2020
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Joyce Aoko (Guest) on September 5, 2019
Tumaini ni nanga ya roho
Irene Akoth (Guest) on June 17, 2019
Baraka kwako na familia yako.
Josephine Nduta (Guest) on March 25, 2019
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Faith Kariuki (Guest) on February 26, 2019
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Alex Nakitare (Guest) on February 2, 2019
Mwamini Bwana; anajua njia
Faith Kariuki (Guest) on December 24, 2018
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Stephen Kangethe (Guest) on September 11, 2018
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Thomas Mwakalindile (Guest) on March 5, 2018
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Tabitha Okumu (Guest) on January 23, 2018
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Henry Sokoine (Guest) on December 2, 2017
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
John Mwangi (Guest) on October 15, 2017
Endelea kuwa na imani!
Jane Malecela (Guest) on August 28, 2017
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Benjamin Kibicho (Guest) on August 4, 2017
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Grace Minja (Guest) on July 17, 2017
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Dorothy Mwakalindile (Guest) on April 2, 2017
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Ruth Mtangi (Guest) on February 17, 2017
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Grace Minja (Guest) on April 2, 2016
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Victor Mwalimu (Guest) on February 23, 2016
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Grace Mushi (Guest) on September 29, 2015
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Monica Nyalandu (Guest) on August 3, 2015
Mungu akubariki!
Lydia Mutheu (Guest) on April 15, 2015
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe