Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Hakuna Binadamu anayemchukia Mungu

Featured Image

Hakuna Binadamu anayemchukia Mungu kama hajichukii yeye mwenyewe na wale wanaomzunguka. Huwezi kusema humtaki Mungu kama hujichukii mwenyewe na wale waliokuzunguka vivyo hivyo huwezi kusema Unampenda Mungu kama hupendi wengine waliokuzunguka.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Lucy Mahiga (Guest) on July 5, 2024

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Richard Mulwa (Guest) on May 16, 2024

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Francis Njeru (Guest) on November 18, 2023

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Daniel Obura (Guest) on October 14, 2023

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

David Kawawa (Guest) on September 1, 2023

Dumu katika Bwana.

Agnes Sumaye (Guest) on July 9, 2023

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

John Mushi (Guest) on May 20, 2023

Mungu akubariki!

Peter Mwambui (Guest) on May 15, 2023

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Mary Mrope (Guest) on April 4, 2023

Nguvu hutoka kwa Bwana

Nicholas Wanjohi (Guest) on December 23, 2022

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Nancy Kabura (Guest) on November 29, 2022

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Elizabeth Malima (Guest) on August 30, 2022

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Agnes Njeri (Guest) on June 24, 2022

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Francis Mtangi (Guest) on May 12, 2022

Neema na amani iwe nawe.

Kevin Maina (Guest) on May 2, 2022

Rehema hushinda hukumu

Lucy Kimotho (Guest) on April 16, 2022

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Rose Mwinuka (Guest) on April 14, 2022

Nakuombea πŸ™

Andrew Odhiambo (Guest) on March 6, 2022

Sifa kwa Bwana!

Janet Mbithe (Guest) on February 7, 2022

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Lydia Wanyama (Guest) on September 28, 2021

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Betty Kimaro (Guest) on August 21, 2021

Baraka kwako na familia yako.

Moses Kipkemboi (Guest) on July 28, 2021

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Charles Mrope (Guest) on March 2, 2021

Imani inaweza kusogeza milima

Francis Mrope (Guest) on December 22, 2020

Tumaini ni nanga ya roho

Lucy Mushi (Guest) on December 17, 2020

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Janet Wambura (Guest) on February 4, 2020

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Edward Lowassa (Guest) on January 9, 2020

Mungu ni mwema, wakati wote!

Edwin Ndambuki (Guest) on October 23, 2019

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Victor Malima (Guest) on September 1, 2019

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Irene Akoth (Guest) on May 30, 2019

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Rose Lowassa (Guest) on April 13, 2019

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Sarah Mbise (Guest) on April 12, 2019

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Vincent Mwangangi (Guest) on April 6, 2019

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Moses Mwita (Guest) on March 27, 2019

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Diana Mumbua (Guest) on June 4, 2018

Rehema zake hudumu milele

James Kawawa (Guest) on December 19, 2017

Endelea kuwa na imani!

Nancy Akumu (Guest) on July 2, 2017

Neema ya Mungu inatosha kwako

Charles Mchome (Guest) on June 29, 2017

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

John Malisa (Guest) on March 31, 2017

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Alex Nakitare (Guest) on February 17, 2017

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Isaac Kiptoo (Guest) on February 17, 2017

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Paul Kamau (Guest) on December 19, 2016

Mwamini Bwana; anajua njia

Kenneth Murithi (Guest) on September 15, 2016

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Patrick Kidata (Guest) on August 27, 2016

Katika imani, yote yanawezekana

Benjamin Kibicho (Guest) on April 4, 2016

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Edwin Ndambuki (Guest) on November 13, 2015

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Rose Lowassa (Guest) on November 12, 2015

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Stephen Kikwete (Guest) on August 7, 2015

Mwamini katika mpango wake.

Susan Wangari (Guest) on May 19, 2015

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Benjamin Masanja (Guest) on May 9, 2015

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Related Posts

Thamani ya Neno "Nimekusamehe"

Thamani ya Neno "Nimekusamehe"

Ni jambo jema kusamehe... Read More

Jambo la muhimu zaidi Duniani

Jambo la muhimu zaidi Duniani

Hakuna kitu cha Muhimu zaidi Duniani kama kumjua Mungu na kumuishi Mungu. Kila binadamu ameumbwa ... Read More

Maisha ya Kikristo ni sala

Maisha ya Kikristo ni sala

Hakuna Maisha ya Kikristo bila Kusali. Kama kuna Mkristo anaishi bila kusali huyo siyo Mkristo ba... Read More

Njia ya sala

Njia ya sala

Kwa njia ya sala Binadamu anampa Mungu Utukufu, Mungu anampa Binadamu Wokovu na Neema.

... Read More
Sala ni kuongea na Mungu

Sala ni kuongea na Mungu

Jifunze na jijengea tabia ya kumsikiliza Mungu rohoni mwako unaposali. Sala ni mazungumzo ya Mung... Read More

Mkono wa Mungu

Mkono wa Mungu

Kila jambo lina Mkono wa Mungu juu yake hata kama limefanyika bila kupangwa au kukusudiwa. Mbele ... Read More

Kutubu ni njia ya kumrudia Mungu

Kutubu ni njia ya kumrudia Mungu

Kutubu ndio njia pekee ya kumrudia Mungu. Toba ya kweli ndiyo iletayo maondoleo ya dhambi. Ukiond... Read More

Mungu yupo kwa ajili yako

Mungu yupo kwa ajili yako

Usifadhaike moyoni pale unapokuwa katika matatizo au unapopitia changamoto katika maisha. Kumbuka... Read More

Mungu anasubiri sala zako

Mungu anasubiri sala zako

Mungu anasubiri sala zako kila siku. Anasubiri sala zako akujibu ili uone utukufu wake. Anasubiri... Read More

Sali daima

Sali daima

Kama mtu anasali kila siku katika maisha yake hakuna kitu kitakachokuwa kigumu. Sala ni njia ya k... Read More

Tumaini kwa Mungu

Tumaini kwa Mungu

Mtumainie Mungu kwa maana Mungu hawatupi wale wamtumainiao na kumgoja. Mkono wake upo tayari kwa ... Read More

Mafundisho ya amani

Mafundisho ya amani

Ukitaka kupata amani, tumaini katika Ahadi za Mungu. Ahadi ya Mungu ni hii "Hatoacha kutusaidia w... Read More